Miezi 7 since October 7 2023: Hizi ni Video za matukio ya kikatili yaliyofanywa na magaidi wa Hamas, Israel wana kila sababu kudeal nao

[emoji1] hivi we unadhani hao wanao pigana na Hamasi wote ni jeshi la Israel, wako wa America, Wafaransa. Waingereza, Wahindi, Warabu hao wote wanamsaidia Muisrael.

Toka lini jeshi la Israel likapigana bila kusaidiwa [emoji1]
Mbona israel pia inapigana na hamas, syria, jordan, lebanon, iran, iraq, yemen wahuth, hezbollah, africa kusini
 
Sa we hebu tuonyeshe hizo video ambazo Hamasi kawauwa raia kama mnazo, mbona mnabana kama mnacho ongea ni uwongo.
Hawa pia ni wana jeshi baada ya kumuua wakamvua na nguo

Kweli Hamas ni wanaume wa shoka






Na huyu dogo alikua captain
 
Ishu sio kutetea au kuogopa ila unateteaje?
Umejificha na id fake jf afu unasema huogopi, acha nongwa bw.mdogo.

Rekebisha uteteaji wako kijana, huu unaotoa hapa ni uharo.
 
Yaani vunatia hasira, yoote hii kisa uislamu, inauma sana.
Majitu yanashabikia bila aibu brazaj
Mpigwe sana nyie watu.
 
Reactions: 511
Ishu sio kutetea au kuogopa ila unateteaje?
Umejificha na id fake jf afu unasema huogopi, acha nongwa bw.mdogo.

Rekebisha uteteaji wako kijana, huu unaotoa hapa ni uharo.
We unapo ongelea kuogopa unakusudia nini? Mimi nilikuwa naongelea we ku complain kwa moderators wakati nyie daima ndio mnatukana Waislam humu, shenzi type nyie.

Ndio nikakuambia we unadhani mimi nababaishwa na ujinga wenu hata ukimwambia moderator atanifanya nini, kwani mimi nafanya kazi hapa au nalipwa nikiwa member.

Wekeni akilini nyie si kila anacho fanya Israel mkifurahie, hata kama anakosea kwa kujidai eti taifa la Mungu, toka lini taifa la Mungu likawa linaongoza kwa ushoga dunia nzima, hilo ni laxima liwe taifa la shetani tu.
 
Endeleeni kufurahi tu.
 

Attachments

  • jacksonhinklle_824p_20240508_181740.mp4
    2 MB
We bwanamdogo umevurugwa kwelikweli, mimi na nani tunasema Israel ni taifa la Mungu?

Tatizo lako una mihemko mno, tuliza hizo hisia kwanza halafu shusha pumzi nyingi, then anza kutype taratibu.
Usipayuke kama mwendawazimu kijana, unaonekana juha na hoja zako unazopigania zinayeyuka kwa lugha mbofu unayotumia.

Nimeita Moderator ili walau wakusaidie uufikishe ujumbe wako na ueleweke na sio kwasababu unawaogopa au unalipwa na jf(hapo kama kidume umepuyanga kuleta mipasho)
 
Reactions: 511
Israel ana haki ya kuwafyeka magaidi wote na Nina Imani Kila gaidi wa hamasi atalambishwa mchanga,uzuri wa Israel ni kama kelele za chura hazimuzui ng'ombe kunywa maji,watapiga kelele weeee lakn mpaka lengo litimie,Kwa Sasa wamebananishwa sehemu Moja na hawana pa kutokea,watakufa kama kuku wa kideli.
 
Kuitetea dini fulani inabidi kujitoa akili
 
Una akili ndogo sana maalim
 
Reactions: 511
Usitutoe kwenye reli ongelea kinachoonekana kwenye hizo video.allah hana sifa za kuwa Mungu
 
Reactions: 511
😄 hivi we unadhani hao wanao pigana na Hamasi wote ni jeshi la Israel, wako wa America, Wafaransa. Waingereza, Wahindi, Warabu hao wote wanamsaidia Muisrael.

Toka lini jeshi la Israel likapigana bila kusaidiwa 😄
Ugaidi umefunga uelewa wako
 
Reactions: 511
Pale Palestina panatikiwa lishushwe Dude Moja kama Nagasaki Au hiloshima Ili Iwe funzo Kwa Vizazi Vyote na Adabu Itawakaa Sawa Sa hivi Naona wanawapalasa palasa Tuuu
 
Reactions: 511
Walizorusha si alipewa na wapumbavu wa kiirani aingie apige Sasa. Wewe Hamas ni waume zako? Mpuuzi wa akili. Dini imekuaribu ubongo. Kwahiyo uislam ndiyo uliowaambia hamas warushe wabomu Yale tarehe 7?. Mpaka uwaze dini inausika. Unataka biblia inausika nini na Upumbavu wa Hamas. Walijikusanya 67 mabwana zako wa kiarabu na hawajaifanya TEL Aviv kuwa ya hamas.
 
Reactions: 511
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…