Miezi 9 si mchezo

Usiumie na kujiangaisha bure mkuu,anzisha thread ya kuwasifu wanaume....mbona rahisi.....Hivi mama ako anajua kuwa humpendi kias hicho,eti ndugu?
 
Watoto wa kike wakishajifungua huwa wanatoa kauli kama hizi sijui kabla ya hapo walikuwa wanawachukuliaje mama zao
Mama zetu tunawapenda hata kabla ya kujua kama wanapitiaga changamoto za uzazi
Ubarikiwe mno... mengine Sina nyongeza mkuu
 
🤣🤣🤣Imebidi nicheke tu
 
😂Jamani kuna father's day every third Sunday of June!!

Makasiriko ni mengi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…