Ni ngumu kukuta hiyo. Angalia hata wasanii asilimia kubwa wameimba nani kama mama.Atatokeza mwingine na thread ya kumtukuza baba mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ngumu kukuta hiyo. Angalia hata wasanii asilimia kubwa wameimba nani kama mama.Atatokeza mwingine na thread ya kumtukuza baba mkuu
HAHAHAHATembo anabeba Miaka miwili na Wala haringi.
siku ya TACAIDS kuja na mkeka mpya kesho
kesho ni mwendo wa kuunginishana luku
Sasa miezi Tisa sio mchezo inatoka wapi?Nasi hatujawahi ringa mkuu
Sasa Dr Mwaka atampenda Nani. Kati ya wale Wake wanne?Mpende sana mama mzazi,mpende sana mkeo mama wa watoto wako.Mungu awabariki sana.
Happy Valentine's day.
Ubebeshwe na ww tuone kama utarudi na hii commentHuo ni uumbaji ndio mlivyoumbwa hivyo kubeba mimba so hakuna mpende bibi wala mpende mama.
Hakuna cha uzi wala nini ...! Kila kiumbe kinastahili kupendwa na kuheshimiwa. Acheni tabia za kutaka kutushika masikio kizembe hivyoAcha makasiriko, subirini uzi wenu wa kupendwa.
Kwa sababu ya ufeminist wako ndio maana unachukia . We all need respect and love ishi humoHakuna neno linanikera humu jf kama hilo feminist. Limewakaa sana so mtu haruhusiwi kumsifia mwanamke?
Sasa kuna tabu gani wakati mmeumbiwa hivo. Ndio maana mnambususu kwa ajiri hiyo kupitisha vitu vizito. Mngekua na ukuni kama sisi alafu kwenye kale kashimo ndio mpishe mtoto je.....?Kuzaa kwenye imekuwa shida kaka, wanawake nawatoto wanapotea sana
Viburi vyenu na ujuaji hamna wa kumlaumuSikuhizi wanawake ndo twala Kwa jasho
Inferiority complex inakupelekesha . Ukikua utaacha.Kwa sababu ya ufeminist wako ndio maana unachukia . We all need respect and love ishi humo
Hata mzazi angejua atakuja kuzaa kituko kisichothamini aliemleta duniani angeflash tuWashenzi na malaya ndio wanaotoa mimba