Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio dharau hata.😉Dharau nyingi kweli
Yaani nijifeal inferior kwenye nyuzi za jf hahahahaa....kumbe wewe ni comedian eeee.......?Inferiority complex inakupelekesha . Ukikua utaacha.
Aliekufundisha hilo neno anajuta maana hukulielewa
Nasema anadharau nyingi kweli,anachukulia rahisi kuzaa
Nani kasemaSikuhizi wanawake ndo twala Kwa jasho
Kama nature ingeamua ningebeba kiroho safi tuUbebeshwe na ww tuone kama utarudi na hii comment
Umepanic itakuwa umetoa mimba weweHata mzazi angejua atakuja kuzaa kituko kisichothamini aliemleta duniani angeflash tu
Ukibebeshwa unabeba 🤨Kama nature ingeamua ningebeba kiroho safi tu
Mwanaume anabebaje mizigo kama hiyo?Ukibebeshwa unabeba 🤨
Kumbe hujawai onaMwanaume anabebaje mizigo kama hiyo?
Au ndio wale wanaume mkewe akiwa mjamzito naye anaanza kutapika nakula udongo?Kumbe hujawai ona