Wamaasai waliibembeleza sana serikali kabla hawajaamua kuandamana.
Hapa chini kuna video ya wenyeviti wa vijiji waliokwenda kumuomba RC Makonda awarudishie huduma za kijamii katika maeneo yao.
Bila shaka viongozi hao wa wananchi hawakusikilizwa, na matokeo yake ni maandamano makubwa tuliyoyashuhudia.
Serikali yetu na CCM wanawachukulia Watanzania kama makondoo wasioweza kusimamia haki zao.
Soma Pia: Rais Samia Aagiza urejeshwaji wa huduma za kijamii Ngorongoro
Fuatilia video hii hapa chini.
Hapa chini kuna video ya wenyeviti wa vijiji waliokwenda kumuomba RC Makonda awarudishie huduma za kijamii katika maeneo yao.
Bila shaka viongozi hao wa wananchi hawakusikilizwa, na matokeo yake ni maandamano makubwa tuliyoyashuhudia.
Serikali yetu na CCM wanawachukulia Watanzania kama makondoo wasioweza kusimamia haki zao.
Soma Pia: Rais Samia Aagiza urejeshwaji wa huduma za kijamii Ngorongoro
Fuatilia video hii hapa chini.