KERO Miezi mitatu nafuatilia Passport mpya, napigwa kalenda tu, ni kweli UHAMIAJI mmeishiwa material ya kuprinti Passport mpya?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Sasa sikiliza mkuu, hii ni corrupt country yaan hapo inabidi utembee na bahasha yenye mpunga kunja km 250 au 300 wafuate wale maafisa pale ongea nao kibingwa waambie hio passport naitaka leo leo mshikishe kibunda akiwa anazihesabu msikilize anasemaje lazima atakwambia sawa subiri hilo sio suala la siku 2 au 3 ni suala la siku 1 tu ila kwa sababu hii Nchi inanuka rushwa kila sehemu ndio maana mambo yanakua na mlolongo mrefu sana na bila kutoa rushwa utasubiri na kusubiri wenzio wanaotoa unashangaa wanahudumiwa wanakupita wewe usietoa unapigwa kalenda

Kwa hio fanya hivyo nenda kawape hela wale maafisa siku hio hio waambie naitaka passport watakufanyia chapu chapu utaipata haichukui Muda
 
Sikutaka usumbufu nilitoa 750,000/= na ndqni ya wiki moja tu ikawa tayari.
 
 
Kupata Passport ni kimbembe. Mm nilifatilia huku mkoani kwangu nikaferi afisa mmoja akanimbia tafuta 350 ukija dar nicheki wiki 1 tu unapata. Nikaona ngoja kwanza nitafute nauli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…