Jamaa ni mbwisi tu, mi nikimfumania Mama Gaude nafanya sherehe, maana ndio wakati murua wa kufungulia mbwa.
😂😂😂una pepo la wivuSijui kwa nini nikisikia wanandoa wamefumaniana na kupigana ngeta huwa na furaha sana. Nadhan shetani huyu.
Aameen aameen ..kubwa ." Nilichelewa kuiona hii scenario yakoamina, hakika unajua kumtia moyo na kumponyesha mgonjwa aliekata tamaa
I will take your clip of advice and do same to my brother, nahisi itakuwa hivyo na Mungu awasaidie
Mm nakuhamu sana
Aww jamani, aisee mimi nipo bongo tz ila si unajua jf ni kichaka,Mm nakuhamu sana
Uko Tz kweli?
Mbona hana shida bhana? Vyote hunifanyia kwa kiasi na napendaAww jamani, aisee mimi nipo bongo tz ila si unajua jf ni kichaka,
ila mwambie shemeji apunguze
hmm aiseeMbona hana shida bhana? Vyote hunifanyia kwa kiasi na napenda
Hakika Mungu yu nami.,,naina yakienda vzrhmm aisee
za majukumu lakini
Haha eti mwizi dahh " ...
Duhh kumbe " mume ni mchungaji !!? Sasa ilikuwaje mpaka akajichanganya kwa hawa madada wa mjini " .... jinga sana hilo jamaa "
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi namshukuru, MunguHakika Mungu yu nami.,,naina yakienda vzr
Vp upande wako?
Jamaa ndoa yake changa ndio maana kaleta fujo, wakongwe wanapiga kimya kuna mizigo inakuwa ndio ishafanyiwa utatuzi juu kwa juu,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa watu nyota hasa waliopitia kwenye ulimbwende huwa hawaachi tamaa,ni shida sana kuwatosheleza vyote,KICHAPO NA NOTIhata ukiwanavyo,hawa kunguni sijui huwa wanafundwa nini huko kwenye makambi yao.
Inategemea .. inawezekana aliangalia au aliushia kuvutiwa na ukubwa wa makalio .kope za bandia high hills na Brazilian hair tu pekee
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi karma ..imemshikisha adabuHuyu Ngassa ninamfahamu, najifanyaga mara pasta na mwimbaji, mcheki fb na youtube, alioa kama miaka 3 iliyopita akamwacha mke wake binti mdogo sana kwa dharau.
Sent using Jamii Forums mobile app
hana utulivu hata kidogo huyo dogoBasi karma ..imemshikisha adabu
Yeah ..anaonyesha hivyo " mtu yeyote ambaye ni napepe mapepe huwa anapenda kutembea na madada wa mjini kwaajili ya kujipatia status "..... haswaa pale anapokuwa ameshika vijisent
huyu sidhani kama hata amewahi kushika pesa ya maana, nijuavyo anamiliki pkpk ya boxer na bado anapanga.Yeah ..anaonyesha hivyo " mtu yeyote ambaye ni napepe mapepe huwa anapenda kutembea na madada wa mjini kwaajili ya kujipatia status "..... haswaa pale anapokuwa ameshika vijisent
huyu sidhani kama hata amewahi kushika pesa ya maana, nijuavyo anamiliki pkpk ya boxer na bado anapanga.
Ni mpenda sifa na kujionyesha kwingi sana.
Ingia fb utaona utoto mwingi afanyao.
Alijitahidi sana kumfanyia vitimbi vingi mkewe hadi wakaachana mapema mwaka jana, na kuja hapa jijini kuoa tena, awali alioa binti kule Mbeya, wakaishi Arusha na sasa kakimbilia hapa dar
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio Maana alipigiwa mbinja za kuitwa mwizi " kwa sababu mwanamke Anajua kuwa hana kitu "..... pia hii statement yako ndio imenipa mwanga sasa na kunifanya nipate jawabu la yeye kumpeleka mkewe hospital ya madonahuyu sidhani kama hata amewahi kushika pesa ya maana, nijuavyo anamiliki pkpk ya boxer na bado anapanga.
Ni mpenda sifa na kujionyesha kwingi sana.
Ingia fb utaona utoto mwingi afanyao.
Alijitahidi sana kumfanyia vitimbi vingi mkewe hadi wakaachana mapema mwaka jana, na kuja hapa jijini kuoa tena, awali alioa binti kule Mbeya, wakaishi Arusha na sasa kakimbilia hapa dar
Sent using Jamii Forums mobile app