Bora ya wewe umeweka wazi umesikia yule jamaa alie kaa machimboni miaka 14 kurudi wife ana watoto 2 wa jamaa wa mitaani akatembeza rungu kwa watoto na kuwaua.
Rafiki yangu anampenda sana jamaa wametoka mbali sana yaani amedata.
Akufukuzae akwambii toka, jifunzeni kusoma alama za nyakati.na kama amezipata c angefanya ustaarabu tu kumwambia mwenzie ukweli kuliko kumsubirisha, enzi zangu nilikuwa naogopa uchumba wa ulaya, mana unaweza subiri mpaka machweo....ni wachache sana wanatimiza ahadi.
Bora ya wewe umeweka wazi umesikia yule jamaa alie kaa machimboni miaka 14 kurudi wife ana watoto 2 wa jamaa wa mitaani akatembeza rungu kwa watoto na kuwaua.
FirstLady1, ndugu wapo, na rafiki yangu alimuuliza shemeji yake kama anawasiliana na kakake akasema yupo ok tu, yeye akamuambia kuwa hawasiliani nami, akasema basi ataongea nae, kesho yake yule shemeji yake akamwambia rafiki yangu kuwa amesema atakupigia, hajapiga na wala hapokei akipigiwa. Mimi mwenyewe nasikia hasira sana, sijui la kusema namuonea huruma sana best wangu
Sasa kumbe jibu alishapewa, anadadishwa na nini? keshaachwa huyo. Sometimes lovers are like dala dala, you miss one you find another one coming down the road. Tatizo huyo dada hadatishwi na huyo jamaa, anadatishwa na ile ahadi ya kupelekwa Marekani.
Ila hizi ndoa zina mambo, kuna mtu namfahamu mkewe ana mimba na jamaa anasema ile mimba siyo ya kwake!!! π Mimi napata kizunguzungu nikiwaangalia!
Sema ukweli unataka kummega, maana umesikia kakaa muda mrefu, kwa hiyo unajua zimejaa mpaka pomoni.Tafadhari mpe Email hii fidel80@jamiiforums.com msisitizie tuwasiliane mara moja nitamsaidia kumrudisha huyo mwenzi wake.
Ila hizi ndoa zina mambo, kuna mtu namfahamu mkewe ana mimba na jamaa anasema ile mimba siyo ya kwake!!! π Mimi napata kizunguzungu nikiwaangalia!
kumbe majibu anayo huyo bibie
mwambie tu aingie JF kuna vijana hapa wa kumwaga ambao wako singo na true love inapatikana hapa π
masanilo
masaki
geoff
Fidel
Iribini ...oppps i did it again ...
Bujibuji
Klorokwini
aje achague tu kwa tani yake
kumbe majibu anayo huyo bibie
mwambie tu aingie JF kuna vijana hapa wa kumwaga ambao wako singo na true love inapatikana hapa π
Fidel
ni ya nani sasa? na anaamuaje kama ana hakika sio yake?
Masaki hebu sema tena !! oooh huyo mwanaume yuko sawa sawa tu na amejuaje kama kaujauzito sio kake ??
kumbe majibu anayo huyo bibie
mwambie tu aingie JF kuna vijana hapa wa kumwaga ambao wako singo na true love inapatikana hapa π
masanilo
masaki
geoff
Fidel
Iribini ...oppps i did it again ...
Bujibuji
Klorokwini
aje achague tu kwa tani yake
Jamaa alikuwa nje ya nchi muda mrefu, karudi kakuta mke ana mimba ya kama miezi minne hivi. Wakanuniana kama mwezi hivi, naona sasa hivi wamerudiana! π
Jamaa alikuwa nje ya nchi muda mrefu, karudi kakuta mke ana mimba ya kama miezi minne hivi. Wakanuniana kama mwezi hivi, naona sasa hivi wamerudiana! π
Huyo jamaa bolded hapo kapotelea wapi siku hizi? Au kaenda Haiti kusaidia wahanga wa tetemeko?
kwa makubaliano kwamba jamaa atamlea mtoto au hujajua makubaliano yao?...ngumu kidogo hiyo.
heh aliyesema mwanangu kua uyaone hakukosea !!
sijui kama huyu jamaa atakapenda katoto hako kakizaliwa
Habari ya kuvumilia au kutovumilia hiyo story ingine, inayocount hapa ni makubaliano waliyowekeana na ahadi pia, kwani nani kasema yeye huko aliko anavumilia. halafu kama hamtaki si amwambie ukweli?A very good question. Au uchumba wao ni wa kuibia ibia? Halafu miaka mitatu ina maana huyo demu hapa Kibongo bongo alikuwa anavumilia kweli? I dought it!