Hodini wana jamii,
naombeni ushauri, kuna rafiki yangu ana boyfriend wake wanapendana sana, kwa miaka mitatu alikuwa masomoni USA,miaka yote mawasiliano yao yalikuwa bomba, akarudi mwaka jana, alipokuwa nchini mapenzi yao yalikuwa motomoto, akamwambia kuwa amekuja kurenew visa yake na atakuwa hapa kwa wiki tatu tu, kama akipata visa ataondoka kwani bado anataka kukaa kidogo huko, kuna vitu anamalizia. Akamuomba rafiki yangu awe anasali ili afanikiwe kupata visa, wakaomba na alipoenda ubalozini visa ikatiki, akamuuliza kuwa itakuwaje kuhusu wao kama anaondoka tena, akamwambia asiwe na wasiwasi akifika atamtumia mualiko aende kumtembelea halafu wataoana huko huko. Sasa toka afike mawasiliano yapo mabovu, jamaa hapokei simu, hajibu sms wala e-mail sasa inakaribia miezi miwili, rafiki yangu yupo na wakati mgumu aelewi nini tatizo na kwa nini jamaa hawasiliani naye. Mimi ni rafiki yake mkubwa ananiomba ushauri, mimi sikuweza kumjibu haraka, nikaanza kutafuta input kwanza. Naombeni ushauri wana jamii
naombeni ushauri, kuna rafiki yangu ana boyfriend wake wanapendana sana, kwa miaka mitatu alikuwa masomoni USA,miaka yote mawasiliano yao yalikuwa bomba, akarudi mwaka jana, alipokuwa nchini mapenzi yao yalikuwa motomoto, akamwambia kuwa amekuja kurenew visa yake na atakuwa hapa kwa wiki tatu tu, kama akipata visa ataondoka kwani bado anataka kukaa kidogo huko, kuna vitu anamalizia. Akamuomba rafiki yangu awe anasali ili afanikiwe kupata visa, wakaomba na alipoenda ubalozini visa ikatiki, akamuuliza kuwa itakuwaje kuhusu wao kama anaondoka tena, akamwambia asiwe na wasiwasi akifika atamtumia mualiko aende kumtembelea halafu wataoana huko huko. Sasa toka afike mawasiliano yapo mabovu, jamaa hapokei simu, hajibu sms wala e-mail sasa inakaribia miezi miwili, rafiki yangu yupo na wakati mgumu aelewi nini tatizo na kwa nini jamaa hawasiliani naye. Mimi ni rafiki yake mkubwa ananiomba ushauri, mimi sikuweza kumjibu haraka, nikaanza kutafuta input kwanza. Naombeni ushauri wana jamii