Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Wakati wa utawala wa awamu ya tano tulishapiga hatua kwenye ishu ya kudhibiti mifuko ya plastiki iliyokuwa inageuza nchi yetu kuwa kama jalala.
Sasa hivi mifuko na vifungashio vya plastiki imerea tena nchini, uharibifu wa mazingira unaendelea kama kawaida.
Mifuko inatupwa hovyo mitaani, na hata inapochomwa moto ule moshi unasambaa majumbani na kutishia afya za watu.
Serikali ya Samia iko wapi kwenye suala hili nyeti, Mbona Hayati Magufuli alifanikiwa kwa kiasi kikubwa kudhibiti mifuko hii ya plastic?
Sasa hivi mifuko na vifungashio vya plastiki imerea tena nchini, uharibifu wa mazingira unaendelea kama kawaida.
Mifuko inatupwa hovyo mitaani, na hata inapochomwa moto ule moshi unasambaa majumbani na kutishia afya za watu.
Serikali ya Samia iko wapi kwenye suala hili nyeti, Mbona Hayati Magufuli alifanikiwa kwa kiasi kikubwa kudhibiti mifuko hii ya plastic?