Mpemba Mimi
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 1,656
- 2,483
Yuko biz kufanya re-concilliation za kisiasa, na kuwafurahisha watu fulani katika jamiii - huku mambo ya uchumi yanadorora.....Hii serikali ya huyu mama tumepigwa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yuko biz kufanya re-concilliation za kisiasa, na kuwafurahisha watu fulani katika jamiii - huku mambo ya uchumi yanadorora.....Hii serikali ya huyu mama tumepigwa!
Hakika 'MJINGA WEWE'!ukienda dukani unga unabebea kwenye viganja?
UNafikiri Jiwe alifanya everything 100% wrong! Kuna aliyofanya vizuri likiwemo hili la plastics na kuna aliyofanya vibaya likiwemo la Demokrasia nchini.Chadema wanamtaka jiwe tena. Duh kweli bila unafiki dunia haiendi.
Story bila picha ni takatakaWakati wa utawala wa awamu ya tano tulishapiga hatua kwenye ishu ya kudhibiti mifuko ya plastiki iliyokuwa inageuza nchi yetu kuwa kama jalala.
Sasa hivi mifuko na vifungashio vya plastiki imerea tena nchini, uharibifu wa mazingira unaendelea kama kawaida.
Mifuko inatupwa hovyo mitaani, na hata inapochomwa moto ule moshi unasambaa majumbani na kutishia afya za watu.
Serikali ya Samia iko wapi kwenye suala hili nyeti, Mbona Hayati Magufuli alifanikiwa kwa kiasi kikubwa kudhibiti mifuko hii ya plastic?
Hajui kuna mifuko ya bahasha ya karatasi inayobeba sukari, unga nkHakika 'MJINGA WEWE'!
Hakika 'MJINGA WEWE'!
Hajui kuna mifuko ya bahasha ya karatasi inayobeba sukari, unga nk
Kamfufue aje kudhibiti hiyo mifuko,mnaangaika kila kukicha na jitu liliokufa na halirudi tena.Wakati wa utawala wa awamu ya tano tulishapiga hatua kwenye ishu ya kudhibiti mifuko ya plastiki iliyokuwa inageuza nchi yetu kuwa kama jalala.
Sasa hivi mifuko na vifungashio vya plastiki imerea tena nchini, uharibifu wa mazingira unaendelea kama kawaida.
Mifuko inatupwa hovyo mitaani, na hata inapochomwa moto ule moshi unasambaa majumbani na kutishia afya za watu.
Serikali ya Samia iko wapi kwenye suala hili nyeti, Mbona Hayati Magufuli alifanikiwa kwa kiasi kikubwa kudhibiti mifuko hii ya plastic?
Kuna vikapu vipoNa nyama utabebea kwenye bahasha.!!!?
Wala halihitaji picha, mifuko ipo kweli. Kama wanataka kuiondoa wafanye jitihada kuiondoa, Kama hawataki waache.Weka picha
Nadhani ni Shangazi, mama anaheshima zakeMama anaupiga mwingi.