Mifuko ya Plastiki yaanza kuzagaa tena mitaani

Chadema wanamtaka jiwe tena. Duh kweli bila unafiki dunia haiendi.
UNafikiri Jiwe alifanya everything 100% wrong! Kuna aliyofanya vizuri likiwemo hili la plastics na kuna aliyofanya vibaya likiwemo la Demokrasia nchini.
Unachopaswa kujua ni kuwa kazi kubwa ya opposition ni kuona mapungufu na kuonyesha njia ambayo wao wanadhani ni bora; si kupongeza. Na wasipo pongeza haina maana hakuna mazuri
 
Kama mnaongelea hii mifuko milaini mbona ipo tu kabla mwendazake hajaenda?

Mengine mumpunguzie mama wa watu.

Kama imerudi ile mingine basi hapo SAWA tulijadili, ila kama hii ya kufungia barafu, karanga, vitu vya kupima madukani haijawahi kukosekana
 
Kama hatutakuwa na suluhisho thabiti kupiga marufuku kitu chochote tutakuwa kama tunacheza sindimba.. utoto tu
 
Story bila picha ni takataka
 
Ni mifuko gan? Au hii meupe midogo? Km n hii mbna iko tangu zama za Magufuli.
 
Kamfufue aje kudhibiti hiyo mifuko,mnaangaika kila kukicha na jitu liliokufa na halirudi tena.
Acheni aliyepo afanye kazi.
 
NEMC wapo wananenepa!
Serikali nayo ipo inanepanepa!
Tangu JPM aliposepa!
 
Weka picha
Wala halihitaji picha, mifuko ipo kweli. Kama wanataka kuiondoa wafanye jitihada kuiondoa, Kama hawataki waache.
Mm binafsi naipenda, Kuna sehemu inanifaa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…