Kakojoe ulale nyang'au wewe...
Mwanaume kuweza kuwa na familia ni kipimo cha ukomavu wa akili.
Ila vivulana vipumbavu kama nyie msivyoweza hata kuongoza familia mnakaa kupiga piga kelele humu jf
Unavimbisha na mapua ati siwezi oa my brother nyokonyoko... umeshikiwa akili wewe???? Bure kabisa
Watoto wangu wa kiume hawawezi kuwa mapimbi hivi sababu baba yao sio boya na haongozwi na mihemko
Kiongozi wa nchi tu lazima awe na mke au mume, halafu zero brain unakuja kudharau wanawake
Mama yako alijitesa tu na limimba lako
Cc
Natafuta Ajira