Mifumo ya kidunia ilishaamua mwanaume aishi kwa kukandamizwa na kufanyiwa ulaghai/ udanganyifu

Mifumo ya kidunia ilishaamua mwanaume aishi kwa kukandamizwa na kufanyiwa ulaghai/ udanganyifu

Kikubwa ni sisi wanaume kukaa pembeni kimnya na kuulinda uanaume wetu kimnya kimnya, tuwaache waharibu watengeneze mfumo jike usio na maana yeyote alafu baadae watakuja na mbinu mpya za kurudisha, kulinda na kuupambania mfumo dume kwa haraka sana.

Nb: mwanake hana haki ya kuwa sawa na mwanaume kupitia mfumo wao wa 50/50 mwanaume yupo juu maradufu na wakitaka kujua hili wa wapime wanawake kwenye natural disasters mfano mafuriko watapata majibu sahihi mwanamke ni nani.
chief una hoja, endelea....
 
Ishu sio kutafuta pesa ishu ni kukubaliana nani anawajibika ku-provide monetary expenses katika ndoa/mahusiano. Wanawake wamepewa access zote za kujipambambania kama elimu, kumiliki mali, kufanya biashara, nafasi ya uongozi kisiasa n.k lakini linapokuja suala la ku-provide monetary expenses bado wanaamini ilo ni jukumu la mwanaume peke ake.
Huwa wanaamini hivyo kwa sababu hata wanaume bado mnaamini kwamba kazi za ndani na kulea watoto ni za wanawake, siyo kosa lao ni mgawanyo wa majukumu tu uliowekwa siku wanaume mkikubali kufanya majukumu yao bila kutegea wala kuuliza basi hata wao watafanya majukumu yenu kiroho safi tu, hata huko kwa wazungu unakosema wanagawana bills pasu kwa pasu ukae ukijua hata majukumu ya nyumbani wanagawana hivyo hivyo sasa ninyi wanaume wa kiafrika hilo hamtaki mnataka kuwategea wanawake wafanye majukumu mengi zaidi yenu
 
Kaka tulia ndiyo maana robot za kike zimekuja
Sheria haitubani bali sisi ndio tunaojibana mfano mzuri mimi ni wazazi wangu baba anapaswa awe na mali yake mwenyewe yaani mwanaume vitu vyote usipeleke nyumbani kabisa gawa ina laki hamsini weka mfukoni hamsini mama na watoto wagawane hutosumbuka mama anajua una nyumba moja kumbe unazo tatu mtagawana hiyo moja mbili zinabaki kwako tatizo letu vijana tunajitoa mazima kwa wapenzi wetu
 
Huwa wanaamini hivyo kwa sababu hata wanaume bado mnaamini kwamba kazi za ndani na kulea watoto ni za wanawake, siyo kosa lao ni mgawanyo wa majukumu tu uliowekwa siku wanaume mkikubali kufanya majukumu yao bila kutegea wala kuuliza basi hata wao watafanya majukumu yenu kiroho safi tu, hata huko kwa wazungu unakosema wanagawana bills pasu kwa pasu ukae ukijua hata majukumu ya nyumbani wanagawana hivyo hivyo sasa ninyi wanaume wa kiafrika hilo hamtaki mnataka kuwategea wanawake wafanye majukumu mengi zaidi yenu
Kwanini unataka iwe ni lazima mwanaume aingie jikoni ndio ionekane 50/50? Kama ratiba zinawabana wote si mnaajiri dada wa kazi atafanya hayo majukumu ya kupika, usafi n.k
 
Kaka tulia ndiyo maana robot za kike zimekuja
Sheria haitubani bali sisi ndio tunaojibana mfano mzuri mimi ni wazazi wangu baba anapaswa awe na mali yake mwenyewe yaani mwanaume vitu vyote usipeleke nyumbani kabisa gawa ina laki hamsini weka mfukoni hamsini mama na watoto wagawane hutosumbuka mama anajua una nyumba moja kumbe unazo tatu mtagawana hiyo moja mbili zinabaki kwako tatizo letu vijana tunajitoa mazima kwa wapenzi wetu
Mpaka ukaamua kumiliki mali kwa siri maana yake sheria inakukandamiza kuweka wazi mali zako. Hata ivyo ulichoandika hapa kina mantiki sana, mwanamke anatakiwa kujua nyumba mnayoishi tu mali zingine zote ziwe siri wazijue ndugu wachache wa karibu sana ili zisipotee ukifa.
 
Kwanini unataka iwe ni lazima mwanaume aingie jikoni ndio ionekane 50/50? Kama ratiba zinawabana wote si mnaajiri dada wa kazi atafanya hayo majukumu ya kupika, usafi n.k
Sasa mbona huwa mnatembea na hao wadada wa kazi kwa kisingizio kwamba wao ndio wanaowafanyia kila kitu
 
Unapenda sana ligi wewe.
Tatizo mkiishiwa hoja mnakimbilia kusema watu wabishi na wanapenda ligi, kwani niliyoyasema ni uongo je wanaume wengi hawatembei na wadada wa kazi kwa kisingizio hicho, au mnataka tuache kusema ukweli tukubaliane tu na lawama zote wanazotupiwa wanawake hata za uwongo
 
Chukulia mfano suala la sex, ile ni starehe ya wote lakini dunia imekua brainwashed kwa kuaminishwa mwanaume anafanyiwa favor ambayo in return inatakiwa kulipia posho, hii posho ya sex wadada wa mjini siku hizi wanaiita matunzo.

Mambo yapo ivyo karibu kila nyanja zinazohusu masuala ya kijinsia na mahusiano. Taasisi zinatetea haki za watoto ukiangalia mkazo mkubwa wameuweka kwa watoto wa kike.

Wanandoa mkiachana kama mali ni za mwanaume zinapigwa pasu kwa pasu ila kama ni za mwanamke hapo mwanaume hapati chochote. Wanasema sababu ni kwamba mwanamke ana haki ya kufidiwa muda na jitihada zake kipindi cha ndoa cha kushangaza muda na gharama alizotumia mwanaume kwenye ndoa iyo iyo hapati fidia yoyote.

Ukiangalia mchakato mzima before, during and after marriage mnufaika mkubwa ni mwanamke lakini jamii imetengenezewa fikra ionekane ananufaika ni mwanaume, ndo hapo mwanaume anatishiwa akiwa bachelor atakapoumwa hakuna wa kumuuguza utafikiri uko kwenye ndoa wanaumwa wanaume tu.

Kwenye suala la DNA napo nishawahi kusikia majibu yakionesha mtoto sio wa mwanaume husika basi mwanaume uyo atadanganywa kuwa ni mtoto wake, wanasema wanalinda masilahi ya mtoto.

Ukija kwenye nasaa za kimaisha tunaambiwa mwanaume kaumbiwa mateso mara kitanda hakizai halamu. Kwamba nibebe mzigo ninaoweza kuuepuka kwa sababu mimi mwanaume? kwamba mwanamke afanye umalaya wake nilee mtoto sio wangu, eti kitanda hakizai halamu.! That is totally bullshit.

Yapo mengi sana yanamkandamiza mwanaume lakini dunia imepotoshwa yaonekane ni kawaida tu. Suala hili halikuonekana tatizo uko zamani kwa sababu mwanamke alikua inferior na mtiifu sana kwa mwanaume.

Kutokana na sera ya 50/50 kushika hatamu kwa sasa wanawake wamekua wabinafsi, wamepandindikizwa chuki na feminists kwamba wanaume ndio wabaya wao hii imewafanya kuwa na roho za kikatili mbaya zaidi washaona mifumo ya kidunia ina loopholes ambazo wakizitumia kimkakati zinaweza kuwapa pesa rahisi au kupata huruma kwa mabaya waliyoyafanya.

Mifano ipo mingi familia ya mzee mengi nusura ipigwe na kitu kizito na klyn, ukiangalia kwa jicho la kosheria inawezekana klyn inawezekana akawa sawa lakini kwa utashi wa kiubinadamu akaonekana ni matapeli.

Dunia ya sasa kwa mwanaume yoyote mwenye ndoto kubwa za kufika mbali kiuchumi basi ndoa ni mtego ambao unaweza kuja kuiangusha himaya yako aliyoijenga kwa miongo mingi.

Kupitia sera ya 50/50 wanawake washapewa access zote za kiuchumi, kijamii na kisiasa binafsi sioni kama kuna haja tena ya kuwapa victim status kama zamani.

Mifumo ifumuliwe mwanamke nae aangaliwe kama predator kama ilo haliwezekani basi ni wajibu wetu wanaume kuishi na wanawake kwa tahadhari kubwa sana ili tusitumike kama levarage.

Mwanaume tambua ya kwamba mpenzi sio mama yako atakaekua upande wako katika kila hali siku zote za maisha yake. Mpenzi anaweza kusitisha mahusiano muda wowote bila kujali umejitoa au umempambania kwa kiasi gani na hakuna utakachoweza kumfanya.

Hivyo basi ukiamua kumwinua mpenzi wako(kumsomesha, kumfungulia biashara, kumtafutia kazi, kumjengea nyumba n.k) basi fanya hivyo kwa kiasi ambacho unaweza kuhimili maumivu ya kukipoteza.

Mwanaume usiweke malengo yako kwa mpenzi/mke, hitaji lako kwa mwanamke liishie kwenye kampani ya kijinsia na kuendeleza kizazi chako tu.
Duu Dunia Nitupe Et Nani kama Mama, Baba Ndo analipa kodi ya nyumba,Ada,Bili za vyakula nk Hawalijui Hilo Wanawake na Baazi ya Midume Kushadadia
 
Yana mwisho.........................................................
 
Mimi naona dunia imemsikiliza mwanaume kwa muda mrefu imefika pahala acha sasa imsikilize na mwanamke kwa sababu mfumo dume umemkandamiza mwanamke vya kutosha, wake walipokuwa wanavumilia kukandamizwa miaka yote hiyo ilionekana sawa sasa wameamka baada ya kuchoka na kukataa kukandamizwa wanaume mnaanza kulalamika na mnaona kama mnaonewa, wanawake wamechoka kulalamika wameamua kujibu mapigo kwahiyo tulieni tu dawa iwaingie mpaka pale siku mtakapoongea nao lugha moja
Zamani kulikuwa na tatizo ni Kweli, lakini kutatua tatizo siyo kuleta tatizo tena juu ya tatizo. Mfano ume gundua tatizo lilikuwa kusikiliza upande mmoja, sasa kutatua ni kusikiliza pande mbili na kutoa haki kwa usawa, na siyo kusikiliza upande mmoja kama zamani sababu tayari zamani ulisikiliza upande mmoja sasa huoni kama una rudia tatizo ulilo lifanya zamani ?!
 
WOte ndo nyinyi anaowakusudia mtoa mada
Hivi watu huwa mnafuatilia Historia ?

Sikubalini na mambo ya 50/50 mimi ni mfuasi wa uwezo wa mtu no matter jinsia yake kama anaweza shughuli fulani basi na apewe kipaumbele......,. Vilevile kuna kazi / shughuli zipo favoured kwa mwanamke au mwanaume kuliko mwanamke....

Lakini historically mfumo dume umemuandama Mwanamke katika mambo mengi sana... hakupewa / na bado kuna Imani hazimpi haki sawa na mwanamme sababu ni mwanamke (kumbuka sisemi upendeleo bali haki sawa) Hivi unajua hata kwenye mambo ya kupiga kura ni miaka gani amepewa hii ruhusa ? Hivi unajua wanasayansi kama Mary Curie walipata shida kiasi gani sababu ni wanawake au wengine wanaume kuchukua credit zao sababu jamii isingewasikiliza sababu ya jinsia zao ?

Kama jamii tunapoanza kushindana na wanawake au wanawake kushindana na wanaume badala ya kusaidiana kupambana na mazingira ni kupotokoa kifikra (na kama ukiniuliza wote tuna mchango mkubwa sana)
 
HUWEZI KUSHINDANA NA ASILI

KILA KITU KITAJIBALANCE KAMA KAWAIDA
 
Chukulia mfano suala la sex, ile ni starehe ya wote lakini dunia imekua brainwashed kwa kuaminishwa mwanaume anafanyiwa favor ambayo in return inatakiwa kulipia posho, hii posho ya sex wadada wa mjini siku hizi wanaiita matunzo.

Mambo yapo ivyo karibu kila nyanja zinazohusu masuala ya kijinsia na mahusiano. Taasisi zinatetea haki za watoto ukiangalia mkazo mkubwa wameuweka kwa watoto wa kike.

Wanandoa mkiachana kama mali ni za mwanaume zinapigwa pasu kwa pasu ila kama ni za mwanamke hapo mwanaume hapati chochote. Wanasema sababu ni kwamba mwanamke ana haki ya kufidiwa muda na jitihada zake kipindi cha ndoa cha kushangaza muda na gharama alizotumia mwanaume kwenye ndoa iyo iyo hapati fidia yoyote.

Ukiangalia mchakato mzima before, during and after marriage mnufaika mkubwa ni mwanamke lakini jamii imetengenezewa fikra ionekane ananufaika ni mwanaume, ndo hapo mwanaume anatishiwa akiwa bachelor atakapoumwa hakuna wa kumuuguza utafikiri uko kwenye ndoa wanaumwa wanaume tu.

Kwenye suala la DNA napo nishawahi kusikia majibu yakionesha mtoto sio wa mwanaume husika basi mwanaume uyo atadanganywa kuwa ni mtoto wake, wanasema wanalinda masilahi ya mtoto.

Ukija kwenye nasaa za kimaisha tunaambiwa mwanaume kaumbiwa mateso mara kitanda hakizai halamu. Kwamba nibebe mzigo ninaoweza kuuepuka kwa sababu mimi mwanaume? kwamba mwanamke afanye umalaya wake nilee mtoto sio wangu, eti kitanda hakizai halamu.! That is totally bullshit.

Yapo mengi sana yanamkandamiza mwanaume lakini dunia imepotoshwa yaonekane ni kawaida tu. Suala hili halikuonekana tatizo uko zamani kwa sababu mwanamke alikua inferior na mtiifu sana kwa mwanaume.

Kutokana na sera ya 50/50 kushika hatamu kwa sasa wanawake wamekua wabinafsi, wamepandindikizwa chuki na feminists kwamba wanaume ndio wabaya wao hii imewafanya kuwa na roho za kikatili mbaya zaidi washaona mifumo ya kidunia ina loopholes ambazo wakizitumia kimkakati zinaweza kuwapa pesa rahisi au kupata huruma kwa mabaya waliyoyafanya.

Mifano ipo mingi familia ya mzee mengi nusura ipigwe na kitu kizito na klyn, ukiangalia kwa jicho la kosheria inawezekana klyn inawezekana akawa sawa lakini kwa utashi wa kiubinadamu akaonekana ni matapeli.

Dunia ya sasa kwa mwanaume yoyote mwenye ndoto kubwa za kufika mbali kiuchumi basi ndoa ni mtego ambao unaweza kuja kuiangusha himaya yako aliyoijenga kwa miongo mingi.

Kupitia sera ya 50/50 wanawake washapewa access zote za kiuchumi, kijamii na kisiasa binafsi sioni kama kuna haja tena ya kuwapa victim status kama zamani.

Mifumo ifumuliwe mwanamke nae aangaliwe kama predator kama ilo haliwezekani basi ni wajibu wetu wanaume kuishi na wanawake kwa tahadhari kubwa sana ili tusitumike kama levarage.

Mwanaume tambua ya kwamba mpenzi sio mama yako atakaekua upande wako katika kila hali siku zote za maisha yake. Mpenzi anaweza kusitisha mahusiano muda wowote bila kujali umejitoa au umempambania kwa kiasi gani na hakuna utakachoweza kumfanya.

Hivyo basi ukiamua kumwinua mpenzi wako(kumsomesha, kumfungulia biashara, kumtafutia kazi, kumjengea nyumba n.k) basi fanya hivyo kwa kiasi ambacho unaweza kuhimili maumivu ya kukipoteza.

Mwanaume usiweke malengo yako kwa mpenzi/mke, hitaji lako kwa mwanamke liishie kwenye kampani ya kijinsia na kuendeleza kizazi chako tu.
Umeongea ukweli mtupu.
Japo na wewe mwanaume unaweza jitutumua kupitia hizo sheria.
Dunia ya sasa hakuna kumuonea mwanamke huruma maana hata wao huruma hawana bimaana hawastahili.
Mwanamke akikukatili mkatili mara elfu kiushetani zaidi.
Kheri umuhurumie ibilisi kuliko mwanamke,maana mwanamke ni zaidi ya ibilisi.
 
Mkuu jamii imempa mwanamke victim status ndipo wanawake wanaitumia iyo status kufanya abuse na ku-act childish to the extent that can't be tolereted but they will get along with it because systems zinawapa upendeleo. Mwanaume ukijifanya kuwa aggresive au violent ni rahisi sana kwa mwanamke kukupa kesi hata kama yeye ndie mwenye makosa kuanzia mwanzo
Sahihi.
 
wanawake wamechoka kulalamika wameamua kujibu mapigo kwahiyo tulieni tu dawa iwaingie mpaka pale siku mtakapoongea nao lugha moja
Utafika muda na mwanaume atachoka nae atajibu mapigo, na hii haipo mbali, mjadala huu ni ishara kuwa wanaume wameanza kuelewa lengo sio 50/50 ila ni kumzalilisha mwanaume.
 
Back
Top Bottom