Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #21
Kwa sasa natumia mwendo wa kinyongaHongera Sana...
Ila punguza speed kabla hujachelewa mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sasa natumia mwendo wa kinyongaHongera Sana...
Ila punguza speed kabla hujachelewa mkuu
Kuna wakati anakuwa mkali kama nyati aliyejeruhiwaUmeshasema mchumba wako/Mkeo ni mjamzito. Ujauzito huwa unakuja na mabadiriko mengi ya mwili ikiwemo kutopenda kushiriki ngono, kuchagua aina ya vyakula, visirani n.k
Kuna wenzio Wake zetu wakibeba mimba ndiyo tunafukuzwa chumbani kabisa, tunaambiwa tunanuka ama hajisikii kutuona kabisa
Pamoja na changamoto hizo, bado tunawapenda na hatuna mpango wa kuwapiga Chini kama wewe unavyo plan..
Ndiyo mimba nyingi zipo hivyo, kwahiyo endelea kuvumilia maana miezi 9 sio mingiKuna wakati anakuwa mkali kama nyati aliyejeruhiwa
Akomae kwanza na wala asikate rufaa.Nadhani umefika muda wa kuachia ngazi bro.
Kuna wakati mwingine ukiwa naye barabarani, anakubebesha pochi 😀Ndiyo mimba nyingi zipo hivyo, kwahiyo endelea kuvumilia maana miezi 9 sio mingi
Tatizo ni kizaigoti mkuuNadhani umefika muda wa kuachia ngazi bro.
Kuna wengine hawataki utumie muda mrefu bila kumwagaMwanamke akitaka tugombane mno! aninyime maQu bila sababu za msingi aloooooooh..😆..patachimbika
Mkuu, usikomae usipopendwa. Mimi kilichotokea last month sina hamu na Mapenzi.Tatizo ni kizaigoti mkuu
Muache njoo kwangu, sina kelele utakua kama mfalme......
Leo atakwambia hivi kesho litatokea lile. Leo atakuambia ubebe pochi yake, kesho atakuambia umuogeshe Leo atakupiga kiatu, kesho atakunyima tendo. Leo atataka kula hiki, kesho atataka kile. Sasa ananipangia siku za kufanya tendo Tatizo anasema ninamfaidi sana, kwa sababu natumia muda mwingi bila kumaliza mchezo. Nilitamani nimuache, ila nahisi ni kutokana na hali ya ujauzito alionao; ila uzalendo ukinishinda, napiga chini wakuu.
Nini tena mkuu?Mkuu, usikomae usipopendwa. Mimi kilichotokea last month sina hamu na Mapenzi.
Awe muangalifu.Mfalme asijikute anaagizwa kuteka maji kisimani.Muache njoo kwangu, sina kelele utakua kama mfalme......
Chukua jembe tukachimbe kisima cha mafuta pale baharini, tuwauzie mafuta nchi za Ulaya tupate fedha za kigeni.Yaan weww Msenge maada zako zote ni mapenz mapenz mapenzii
Utavumilia masaa 2 goli moja?Muache njoo kwangu, sina kelele utakua kama mfalme......
Madereva Crown wote nawachukia.Nini tena mkuu?
Vipi, walipindua meza?Madereva Crown wote nawachukia.
Mkuu mbona hilo ni jambo la kawaidaKuna wakati mwingine ukiwa naye barabarani, anakubebesha pochi 😀
Sasa mkuu, huyu ni mchepuko anataka kunipa majukumu hayo yote 😀Mkuu mbona hilo ni jambo la kawaida
Wakati tumepata first born na Bibi yenu Mwaka 47 nilikuwa namsaidia kumbeba mtoto mgongoni kabisa kwenda naye Kliniki Zahanati.
Kumbuka nyakati zetu Zahanati zilikuwa mbali sana na hatukuwa na magari/Uber/bolts/ ama Bajaj useme utaita ikupeleke
Kumbebea Pochi ni sehemu ya mapenzi na kumbebisha mpenzi wako