Ni mara ya 2 wanaoitwa wafanyabiashara wa Kariakoo kugoma ndani ya muda mfupi. Baada ya ule mgomo wao wa kwanza tukaanza kuona migomo Iringa, Mwanza na maeneo mengine.
Migomo yote ni wafanyabiashara kukataa maelekezo halali ya serikali ikiwa pamoja na kutotaka mfumo wa wazi unaobana wizi na ukwepaji kodi.
Leo ni mara ya pili wamegoma tena, sababu kikosi kazi kimerudi. Kwanini mtu asiye mhalifu aogope uwepo wa polisi mitaani, mimi mlipa kodi mwaminifu nitaogopaje uwepo wa kikosi kazi km mm siyo mhalifu namba moja? Nilitegemea wafabiashara wazalendo wangeipa hicho kikosi ushirikiano mkubwa. Badala yake wahalifu wameungana.
Ni ukweli hakuna anayependa kulipa kodi maana hupunguza kipato chako, mnyonge pekee ambaye hawezi kwepa kodi nchi hii ni mfanyakazi aliyeajiriwa, huyu hukatwa kodi kabla ya kupata mshahara wenyewe.
Rais huhitaji compromise na wezi wa mapato ya serikali vinginevyo utatujenga Taifa la hovyo, Taifa lisilotawalika, lisiloheshimu wala kuitambua serikali, nimesikitika sana kumwona kijana moja alivyomjibu mkuu wa mkoa, nilitamani afufuke Magufuli, nilitamani Kagame awe Rais wa nchi hii.
Rais kama huwezi kutumia madaraka ya urais bora uachie ngazi. Nchi yetu ni kubwa sana, hilo ni kundi dogo sana wasituharibie nchi yetu na nina uhakika pale hakuna wa kukupigia kura, kwanza hawawezi kwenda kupanga foleni siku ya kupiga kura.
Rais tulindie heshima ya nchi yetu kikosi kazi iache ìendelee kufanya kazi yake, unawapa wakati mgumu sana wasaidizi wako kutekekeleza majukumu yao.
Pia soma
Tetesi: - Wafanyabiashara Kariakoo kugoma muda wowote kutokana na madai yao kupuuzwa
Migomo yote ni wafanyabiashara kukataa maelekezo halali ya serikali ikiwa pamoja na kutotaka mfumo wa wazi unaobana wizi na ukwepaji kodi.
Leo ni mara ya pili wamegoma tena, sababu kikosi kazi kimerudi. Kwanini mtu asiye mhalifu aogope uwepo wa polisi mitaani, mimi mlipa kodi mwaminifu nitaogopaje uwepo wa kikosi kazi km mm siyo mhalifu namba moja? Nilitegemea wafabiashara wazalendo wangeipa hicho kikosi ushirikiano mkubwa. Badala yake wahalifu wameungana.
Ni ukweli hakuna anayependa kulipa kodi maana hupunguza kipato chako, mnyonge pekee ambaye hawezi kwepa kodi nchi hii ni mfanyakazi aliyeajiriwa, huyu hukatwa kodi kabla ya kupata mshahara wenyewe.
Rais huhitaji compromise na wezi wa mapato ya serikali vinginevyo utatujenga Taifa la hovyo, Taifa lisilotawalika, lisiloheshimu wala kuitambua serikali, nimesikitika sana kumwona kijana moja alivyomjibu mkuu wa mkoa, nilitamani afufuke Magufuli, nilitamani Kagame awe Rais wa nchi hii.
Rais kama huwezi kutumia madaraka ya urais bora uachie ngazi. Nchi yetu ni kubwa sana, hilo ni kundi dogo sana wasituharibie nchi yetu na nina uhakika pale hakuna wa kukupigia kura, kwanza hawawezi kwenda kupanga foleni siku ya kupiga kura.
Rais tulindie heshima ya nchi yetu kikosi kazi iache ìendelee kufanya kazi yake, unawapa wakati mgumu sana wasaidizi wako kutekekeleza majukumu yao.
Pia soma
Tetesi: - Wafanyabiashara Kariakoo kugoma muda wowote kutokana na madai yao kupuuzwa
- Mgomo mkubwa Soko la Kariakoo: Maduka yamefungwa, Mei 15, 2023
- SoC03 - Je, mgomo katika soko la Kariakoo unaweza vipi kukomeshwa usijirudie tena miaka ijayo?
- UPDATE: Mgomo waendelea Kariakoo kwa Siku ya 3, Wafanyabiashara wataka Mkutano wa Wazi na Majaliwa
- Mgomo wa wafanyabiashara Kariakoo ni fedheha kwa Serikali
- Mgomo wa Kariakoo; Serikali Iwasikilize Wafanyabiashara
- Inasikitisha Spika Tulia kujifanya hajui kinachoendelea Kariakoo
- Dkt. Ashatu Kijaji: Biashara Kariakoo zinaendelea, wafanyabiashara wametumia Demokrasia na Uhuru wao kufungua au kutokufungua
- Mgomo wa wafanyabiashara Kariakoo ukitatuliwa kwa ushawishi wa vyombo vya dola tutakuwa tunaahirisha tatizo