Migomo Kariakoo: Serikali kuendelea kulea utamaduni wa kulinda wahalifu utakutokea puani

Migomo Kariakoo: Serikali kuendelea kulea utamaduni wa kulinda wahalifu utakutokea puani

Thibitisha nani mwalifu?
Buku 7 mwaka huu zimeanza mapema MNO




KAZI ni kipimo cha UTU
 
Kwa Mtazamo wangu

TATIZO LA KARIAKOO NI ZAIDI YA WAFANYABIASHARA,WACHUUZI..LETS BE SERIOUS.

Tatizo la kariakoo haliwezi Kwisha ikiwa total supply chain ya mizigo inayouzwa kariakoo isiporekebishwa au kudhibitiwa kupitia maamuzi magumu na kutooneana haya wala aibu..

Bidhaa nyingi zinazouzwa kkoo zinaingizwa (Imported) toka China,India,Uturuki,Thailand,Vietnam,Zambia,Uganda,etc..Mfumo wa uingizaji na ulipiaji kodi wa mizigo husika ndio mzizi wa shida na tatizo lililopo na litakalokuwepo..

Cartel inayoratibu Logistics na supply chain ya mizigo ya wafanyabiashara wa karikoo isipodhibitiwa kila nyakati tutaona fukuto na migomo isiyohitaji siasa Bali utashi wa maamuzi magumu kudhibiti wahujumu uchumi tunaowalinda..

Mathalani,Mfanyabiashara akiagiza mzigo wa viatu Kwa kontena na kulipa ushuru stahiki kisha kuwa na nyaraka zote Za kikodi (Import duties,Port charges,Wharfage,VAT) inamgharimu milioni 45….NOTE:- Ila akiagiza mzigo huo huo kwa kutumia Logistics Cartels inamgharimu Milioni 15 tu pasipo nyaraka zozote lakini Ana uhakika wa kufikishiwa mzigo dukani au warehouse kwake pasipo usumbufu..

Sasa wale wafanyabiashara waliokuwa wakikomaa na kufuata taratibu stahiki wamejikuta wakishindwa kushindana ktk soko na kufirisika ama kufa kibiashara sababu ya ughali wa bidhaa dhidi ya wale wanaotumia Logistics Mafia..

On the other hand wanaotumia huduma za logistics cartel au mafia inawawia Vigumu sana kufanya compliance za kikodi sababu ya kukosa nyaraka muhimu kussuport mapana ya stock zao..Mauzo yao,returns zao..Hapa ndio kwenye shidaa haswaa…Wengi wana stock kubwa kuliko vielelezo vya manunuzi ya stock husika..Wamegeuka wachuuzi..Wanaouza ambacho hawana nyaraka Za wametoa wapi..SHIDA.

Logistics Cartel/Supply chain Mafia:-Ni kundi hatari lenye nguvu kupitia wanasiasa wakubwa waliopo na wastaafu..Wana ukwasi mkubwa na umaarufu mkubwa ktk Kiwango cha kuogopeka na Wakubwa wa TRA,Polisi,Etc..Wana nguvu mnooo ya kufanya wakubwa ktk mamlaka Za kodi watumbuliwe,Wafanyakazi wahamishwe,Wawe demoted..Wapate Stroke..Nina hakika hata CG wa TRA anawaogopa..Hana la kuwafanya..Inasemekana baadhi ya viongozi ni marafiki wakubwa..

Cartels hizi zimehodhi Supply chain Za uagizaji bidhaa,usafirishaji,Ulipaji kodi,Udanganyifu (under declaration&Falsa Declarations),Uzungushaji mizigo (Taarifa Za kampuni Za tracking devices Za mizigo ya transit zina mengi)..Wanamiriki makampuni ya uagizaji,Usafirishaji,Bonded Warehouses,ICD’s,CFS..yaani acha tu..

Kwa hakika tunapoteza kodi nyingi sana zinazoingia mifukoni mwa wachache tunaowaimbia mapambio ya utajiri na ubilionea huku wachache wakikamuliwa hata kuzirai kibiashara..Bila maamuzi magumu na dhabiti tutaendelea kukwama na kuumiza wasiostahili..

Tukiamua Tunaweza..Viongozi wenye dhamana Simameni kwenye haki na ukweli..
Kina GsCm hao
 
Hao ni kucheza nao hivyo hivyo, wakigoma serikali wanakaa nao chini, wanarudi kufunguwa maduka, simply wapo "bored" tu.

Chalamila kawaambia maneno mazuri sana leo, kawaambia wanogoma watalindwa na serikali na wasiwaingilie wasiogoma nao pia wanalindwa na serikali. Kwa ufuipi kawaambia wanaogoma wagome, wasiogoma wasigome, hasara ni kwa wenye kugoma, watagoma na kodi watalipa.

Tatizo nini, hata mama aingilie haki za watu za kugoma? Wagome tu lakini wasitishe au kulazimisha wasiotaka kugoma.

Kwa mama, ukitaka kugoma, goma, utasikiliswa, ukitaka kufanya maandamano fanya utasikilizwa.

Hivi maandamano yua chadomo yameishia wapi? Si unaona falsafa ya maa ya kuwawachia wafanye maandamano, kila mtu kabaki shwari.

Mama Samia apewe hongera sana kwa mageuzi ya uongozi anayoyafanya.
Samia ana akili sana,upinzani wameandamana na cha maana hamna,yule kichwa maji jiwe alikua anawapa kiki hao upinzani
 
Bidhaa nyingi zinazouzwa kkoo zinaingizwa (Imported) toka China,India,Uturuki,Thailand,Vietnam,Zambia,Uganda,etc..Mfumo wa uingizaji na ulipiaji kodi wa mizigo husika ndio mzizi wa shida na tatizo lililopo na litakalokuwepo..
Mimi nashangaa, huu mfumuko wa mizigo mingi ya kwenda Zambia miaka ya karibuni ni kitu cha ajabu, japo huko ndio napatia riziki.
Lakini Zambia ilijulikana kwa wenye malori ya mafuta tu, lakini siku hizi ni makontena ya kutosha, watu wanawapanga Wazambia au pia kuna wengine wamefungua makampuni Zambia, ili mizigo ionekane inaenda Zambia, halafu inarudishwa tena TZ kimagumashi.
 
mleta mada na wenżako mnaleta uchawa na siasa kwenye biashara za watu, inaonekana hamjui hata kwanini wamegoma, mngekuwa na akili kidogo tuu msingeandika mliyoandika
 
Wafanyabiashara maCCM yatafungua maduka kesho
Wanaogoma wagome, wasiogoma wasigome. Wanaoandamana waandamani wasioandamana wasiandamane.

Hujamsikia Chalamila leo, kasema wanaofunka maduka wote wasiwe na wasiwasi wafunge watalindwa na hali kadhalika wataofunguwa wasiingiliwe walindwe.

Tatizo nini na ndiyo demokrasia hiyo?
 
Wanaogoma wagome, wasiogoma wasigome. Wanaoandamana waandamani wasioandamana wasiandamane.

Hujamsikia Chalamila leo, kasema wanaofunka maduka wote wasiwe na wasiwasi wafunge watalindwa na hali kadhalika wataofunguwa wasiingiliwe walindwe.

Tatizo nini na ndiyo demokrasia hiyo?
Tutaweka ulinzi shirikishi, atakayefungua tutashughulika naye kama msaliti
 
Cartel unayoongelea ni gsm sasa jiulize juanzia yamga mpaka kina mwana fa, mpka kwa mkubwa unaweza kupambana na gsm. Hakuna anayeweza. Wao ndio wanapanga nani awe port manager, nani anafaa bandarini na long room
Ukimuona huyo gsm ujue mtoto wa mjini yupo pale 🙄😳

Au siyooo ????!
 
Wanaogoma wagome, wasiogoma wasigome. Wanaoandamana waandamani wasioandamana wasiandamane.

Hujamsikia Chalamila leo, kasema wanaofunka maduka wote wasiwe na wasiwasi wafunge watalindwa na hali kadhalika wataofunguwa wasiingiliwe walindwe.

Tatizo nini na ndiyo demokrasia hiyo?
😳
 
Na watu wanapiga pesa kweri kweri hata Mheshimiwa Shabiby analijua hilo !
Tutafika mbinguni tumechoka sana !
Hata maji Dar ni shida kweri kweri !

Jamaa mmoja alisema Mtanikumbuka 😳🙄👍
 
Tatizo kubwa la Serikali ni kutoza pesa kubwa ili wapate kununua V8 na pikipiki za CCM, waangalie jinsi ya kuboresha mazingira ya biashara.
Halafu ukienda Muhimbili eti kumuona Dakitari siku za wikiendi ni bei tofauti na siku za kawaida za kazi 🙄😳
Hii ni kweli au si kweri ???!
 
Kwa Mtazamo wangu

TATIZO LA KARIAKOO NI ZAIDI YA WAFANYABIASHARA,WACHUUZI..LETS BE SERIOUS.

Tatizo la kariakoo haliwezi Kwisha ikiwa total supply chain ya mizigo inayouzwa kariakoo isiporekebishwa au kudhibitiwa kupitia maamuzi magumu na kutooneana haya wala aibu..

Bidhaa nyingi zinazouzwa kkoo zinaingizwa (Imported) toka China,India,Uturuki,Thailand,Vietnam,Zambia,Uganda,etc..Mfumo wa uingizaji na ulipiaji kodi wa mizigo husika ndio mzizi wa shida na tatizo lililopo na litakalokuwepo..

Cartel inayoratibu Logistics na supply chain ya mizigo ya wafanyabiashara wa karikoo isipodhibitiwa kila nyakati tutaona fukuto na migomo isiyohitaji siasa Bali utashi wa maamuzi magumu kudhibiti wahujumu uchumi tunaowalinda..

Mathalani,Mfanyabiashara akiagiza mzigo wa viatu Kwa kontena na kulipa ushuru stahiki kisha kuwa na nyaraka zote Za kikodi (Import duties,Port charges,Wharfage,VAT) inamgharimu milioni 45….NOTE:- Ila akiagiza mzigo huo huo kwa kutumia Logistics Cartels inamgharimu Milioni 15 tu pasipo nyaraka zozote lakini Ana uhakika wa kufikishiwa mzigo dukani au warehouse kwake pasipo usumbufu..

Sasa wale wafanyabiashara waliokuwa wakikomaa na kufuata taratibu stahiki wamejikuta wakishindwa kushindana ktk soko na kufirisika ama kufa kibiashara sababu ya ughali wa bidhaa dhidi ya wale wanaotumia Logistics Mafia..

On the other hand wanaotumia huduma za logistics cartel au mafia inawawia Vigumu sana kufanya compliance za kikodi sababu ya kukosa nyaraka muhimu kussuport mapana ya stock zao..Mauzo yao,returns zao..Hapa ndio kwenye shidaa haswaa…Wengi wana stock kubwa kuliko vielelezo vya manunuzi ya stock husika..Wamegeuka wachuuzi..Wanaouza ambacho hawana nyaraka Za wametoa wapi..SHIDA.

Logistics Cartel/Supply chain Mafia:-Ni kundi hatari lenye nguvu kupitia wanasiasa wakubwa waliopo na wastaafu..Wana ukwasi mkubwa na umaarufu mkubwa ktk Kiwango cha kuogopeka na Wakubwa wa TRA,Polisi,Etc..Wana nguvu mnooo ya kufanya wakubwa ktk mamlaka Za kodi watumbuliwe,Wafanyakazi wahamishwe,Wawe demoted..Wapate Stroke..Nina hakika hata CG wa TRA anawaogopa..Hana la kuwafanya..Inasemekana baadhi ya viongozi ni marafiki wakubwa..

Cartels hizi zimehodhi Supply chain Za uagizaji bidhaa,usafirishaji,Ulipaji kodi,Udanganyifu (under declaration&Falsa Declarations),Uzungushaji mizigo (Taarifa Za kampuni Za tracking devices Za mizigo ya transit zina mengi)..Wanamiriki makampuni ya uagizaji,Usafirishaji,Bonded Warehouses,ICD’s,CFS..yaani acha tu..

Kwa hakika tunapoteza kodi nyingi sana zinazoingia mifukoni mwa wachache tunaowaimbia mapambio ya utajiri na ubilionea huku wachache wakikamuliwa hata kuzirai kibiashara..Bila maamuzi magumu na dhabiti tutaendelea kukwama na kuumiza wasiostahili..

Tukiamua Tunaweza..Viongozi wenye dhamana Simameni kwenye haki na ukweli..
Jamaaa umeandika kitu kikubwa sana.! Lakin sidhani kama inaweza kuwa pia ni sababu ya msingi mana wao wanataka kodi kariakoo zisiwepo kabisa kwa sababu mzigo ulishalipiwa kodi bandarini. Wanaona ni double taxation.

Sip wote wanaogoma wanapenda ni kuwa tu wanashinikizwa na kikundi maalum kwa maslah ya kikundi hicho kwa kuwa hakipati manufaa kinayo yataka.


Namtafuta mtu mwenye ushawishi wa hali ya juu hivi kuambia watu wagome ? Kuna kitu nyuma yake abinywe kwanza korodani aseme nani anamtuma

Alafu wafanyabiashara kariakoo mshatuibia kwa muda mrefu sana na bidhaa zenu za chini sijui wapi.kitu mnanunua huko elfu 10 mnakuja kutuuzia laki 1 na bado mnaona serikali ina wanyonya na utitiri wa kodi. !
 
Back
Top Bottom