Migomo katika Vyuo Vikuu na serikali ya awamu ya Nne

Migomo katika Vyuo Vikuu na serikali ya awamu ya Nne

UDSM+3.JPG


UDSM+2.JPG


UDSM.JPG
 
Pamoja na matatizo mengi yanayosibu taifa letu kwa sasa moja wapo ni hili la siasa kushamiri ktk kila sekta hasa hii ya elimu ya juu ( Vyuo vikuu).
Nina sema hivi kutokana na kua,

Kwanza kuongeza kwa ghafla kwa intake ya wanafunzi ambao wanatakiwa kujiunga na elimu ya juu ambacho sio kitu kibaya kama kiingeenda hand in hand na mapanuzi ya miundo mbinu na kitendea kazi vya hapo chuoni kama mabweni, madarasa , maabara na mabwalo ,vyoo n.k lakini inanyesha dhahiri mi dhamira ya wazi ya watu au serikali kujiongezea sifa kua sasa tuna wanafunzi wengi ktk vyuo. cha kushangaza viongozi wa vyou hivyo wanakiri kuwa wao si waotamka ni watu wangapi wataingia chuo kwa mwaka fulani sasa ni nani anafanya kazi hii?????Hii naiita siasa ktk elimu

Pili, ni mfumuko wa vyou vikuu vingi hapa Tz kiasi ambacho inapelekea kushuka kwa elimu kwasababu wataaluma ni wachache ukilinganisha na vyou vyenyewe sasa hivi lecturers wakua na tuitions ua partime ktk vyuo mbalimbali
hivyo hawatulii leo kasfiri ameibukia dodoma anafundisha weekend yupo iringa na jumatatu lazima aripoti back to UDSM , huko kote wa mtaala tofauti na hata kama ni mtaala mmoja basi wapo ktk topic tofauti ambapo ina week atakiwa afuatile kwa umakini topics 3 or more atoe assignments na kausahihisha makaratasi zaidi ya 1000 kutoka ktk ajira yake na partime juu, je? mtu huyu anawezaje? solution ni kulipua au kuto asssignment moja kwa semester au kutosahihisha kabisa. haya ni madhara ya mkandamizo wa siasa

Tatu ni siasa ya aina nyingine ya kuanzisha bodi ya mkopo amabayo haiusianai kabisa na chuo, kiasi kwamba hata hawana branch ktk hivyo vyuo, kama ni mwanafunzi anahitaji kufuatilia malipo fulani basi inampasa aache masom aende ktk ofisi za bodi hata kama chuo kiko mikoani aje DSM kufuatilia haki zake, huu ni uptevu wa muda na pesa juu!!! kingine bodi na mfumo wake wa akutoa mikopo kulingana vigezo amabavyo ni vigumu kufutilia aua kutoa maamuzi ya uhakaika mfano unatakiwa ujaze kazi za wazazi wako ambayo ni obviuos kwa sababu wanahitaji mkopo kila mmoja anadika mkulima au mama wa nyumbani kitu amabacho huwezi kuprove otherwise!!!! au kufuatilia shule ulizosoma kama ni za hali ya juu basi uanowezo, Je ni wanagapi wamelipiwa shule na kanisa au msikiti je anyimwe mkopo kisa amemaliza ktk shule nzuri ya sekondari?
Wakati bodi ilipoanzishwa na ilikurupuka na kuanza kukopesha watu wote kwa wakti mmoja ili hali wengine walikua ktk vyou vikuu binafsi kwa maana walikua na njia ya kuijlipia ndio maana walikua huko sasa kutoa mikopo kwa watu wote at a go nayo ikafanya hata wale ambao walikua na uwezo wa kujilipia nao kchukua mkopo hence wakapata watu wengi kulivyotegemea ndo hapa tunaishia kugawana kidogo kidogo,

Kuna mengi ya kuongelea ktk bodi hio ila machache ni haya ambayo kwa mtazamo wangu yavuruga sana mpangilio wa elimu hapa nchini na haya yamechangiwa sana na siasa mbovu ya Tanzania.

hoja yangu
 
Shy,

haya ni matokeo ya kuwa na viongozi wanaofurahia madaraka kuliko uwajibikaji, wanaojivunia mamlaka kuliko heshima ya umma, wanajali matumbo yao bila kujali hasara inayoipata jamii katika ujumla wake, wasijali matumizi sahihi na kodi za wananchi walio na uwezo mdogo........hukuni kukosa fikra mbadala katik autendaji na uongozi.

Tuna safari ndefu kubadili mifumo iliyoko
 
Nilipokuwa kwenye vyuo vya kibongo, karibu na kipindi cha kumaliza semester au term migomo ilikuwa inaanza kwa nguvu zote.

Hivyo kuna correlation kubwa kati ya vipindi vya mitihani na migomo.

Vilevile suala la watu kusoma bure miaka ya zamani lisiletwe katika kipindi cha sasa. Hivyo kama serikali ilitumia mabilioni ya pesa kumsomesha Prof: Maghembe sio lazima iendelee kufanya hivyo kwa sasa.

Migomo ni sehemu ya maisha kwa wanafunzi kujifunza kulalamika na ku-struggle. Tuliosoma nje ya nchi hatukupata shida za migomo lakini tunalea machizi kulipia gharama za shule.
 
Ndipo ujue kuwa Baraza la Chuo Kikuu lina vibaraka na vilaza sana, hebu angalia:

Baraza la chuo kikuu cha dar es salaam kimeamua kuwasimamisha wanafunzi wanaosoma udsm pamoja na vyuo vishiriki kwa kushiriki katika mgomo 'haramu' wa kupinga malipo ya 40%. Wanafunzi hawa wamesimamishwa masomo kwa muda usiojulikana.

Mgomo huo una uhusiano gani na majukumu ya Baraza hilo la Chuo Kikuu? Ninafahamu kuwa mahudhurio darasani siyo kigezo kitumikacho kumfukuza mwanafunzi hapo Chuoni. Kwa hiyo kama wananfuzi waligoma wakaacha kwenda madarasani, Baraza lingeamuru waalimu waendelee kufundisha bila kujali kama wanafunzi wapo au hawapo. Halafu wangekuja kupambana wakati wa mtihani; najua hilo lisingefanya kazi lakini ndipo ulipo mwisho wa madaraka yao kama baraza la chuo kuhusiana na mgomo wa wanafunzi, unless wathibitishea kuwa mgomo huo ulikuwa unavuruga amani chuoni. Kwa kuwafukuza wanafunzi kutokana na "mgomo haramu," wamechukua jukumu la serikali, ambalo siyo jukumu la Baraza hilo la Chuo. Nani aliyeharamisha mgomo huo, je kuna mahakama iliyosikiliza pande zote mbili na kuamua kuwa mgomo huo ni haramu?
 
Nilipokuwa kwenye vyuo vya kibongo, karibu na kipindi cha kumaliza semester au term migomo ilikuwa inaanza kwa nguvu zote.

Hivyo kuna correlation kubwa kati ya vipindi vya mitihani na migomo.

Vilevile suala la watu kusoma bure miaka ya zamani lisiletwe katika kipindi cha sasa. Hivyo kama serikali ilitumia mabilioni ya pesa kumsomesha Prof: Maghembe sio lazima iendelee kufanya hivyo kwa sasa.

Migomo ni sehemu ya maisha kwa wanafunzi kujifunza kulalamika na ku-struggle. Tuliosoma nje ya nchi hatukupata shida za migomo lakini tunalea machizi kulipia gharama za shule.

wewe ulisoma miaka gani hiyo ambayo wanafunzi walikuwa wakigoma kila mitihani inapokaribia?
 
Pamoja na matatizo mengi yanayosibu taifa letu kwa sasa moja wapo ni hili la siasa kushamiri ktk kila sekta hasa hii ya elimu ya juu ( Vyuo vikuu).
Nina sema hivi kutokana na kua,

Kwanza kuongeza kwa ghafla kwa intake ya wanafunzi ambao wanatakiwa kujiunga na elimu ya juu ambacho sio kitu kibaya kama kiingeenda hand in hand na mapanuzi ya miundo mbinu na kitendea kazi vya hapo chuoni kama mabweni, madarasa , maabara na mabwalo ,vyoo n.k lakini inanyesha dhahiri mi dhamira ya wazi ya watu au serikali kujiongezea sifa kua sasa tuna wanafunzi wengi ktk vyuo. cha kushangaza viongozi wa vyou hivyo wanakiri kuwa wao si waotamka ni watu wangapi wataingia chuo kwa mwaka fulani sasa ni nani anafanya kazi hii?????Hii naiita siasa ktk elimu

Pili, ni mfumuko wa vyou vikuu vingi hapa Tz kiasi ambacho inapelekea kushuka kwa elimu kwasababu wataaluma ni wachache ukilinganisha na vyou vyenyewe sasa hivi lecturers wakua na tuitions ua partime ktk vyuo mbalimbali
hivyo hawatulii leo kasfiri ameibukia dodoma anafundisha weekend yupo iringa na jumatatu lazima aripoti back to UDSM , huko kote wa mtaala tofauti na hata kama ni mtaala mmoja basi wapo ktk topic tofauti ambapo ina week atakiwa afuatile kwa umakini topics 3 or more atoe assignments na kausahihisha makaratasi zaidi ya 1000 kutoka ktk ajira yake na partime juu, je? mtu huyu anawezaje? solution ni kulipua au kuto asssignment moja kwa semester au kutosahihisha kabisa. haya ni madhara ya mkandamizo wa siasa

Tatu ni siasa ya aina nyingine ya kuanzisha bodi ya mkopo amabayo haiusianai kabisa na chuo, kiasi kwamba hata hawana branch ktk hivyo vyuo, kama ni mwanafunzi anahitaji kufuatilia malipo fulani basi inampasa aache masom aende ktk ofisi za bodi hata kama chuo kiko mikoani aje DSM kufuatilia haki zake, huu ni uptevu wa muda na pesa juu!!! kingine bodi na mfumo wake wa akutoa mikopo kulingana vigezo amabavyo ni vigumu kufutilia aua kutoa maamuzi ya uhakaika mfano unatakiwa ujaze kazi za wazazi wako ambayo ni obviuos kwa sababu wanahitaji mkopo kila mmoja anadika mkulima au mama wa nyumbani kitu amabacho huwezi kuprove otherwise!!!! au kufuatilia shule ulizosoma kama ni za hali ya juu basi uanowezo, Je ni wanagapi wamelipiwa shule na kanisa au msikiti je anyimwe mkopo kisa amemaliza ktk shule nzuri ya sekondari?
Wakati bodi ilipoanzishwa na ilikurupuka na kuanza kukopesha watu wote kwa wakti mmoja ili hali wengine walikua ktk vyou vikuu binafsi kwa maana walikua na njia ya kuijlipia ndio maana walikua huko sasa kutoa mikopo kwa watu wote at a go nayo ikafanya hata wale ambao walikua na uwezo wa kujilipia nao kchukua mkopo hence wakapata watu wengi kulivyotegemea ndo hapa tunaishia kugawana kidogo kidogo,

Kuna mengi ya kuongelea ktk bodi hio ila machache ni haya ambayo kwa mtazamo wangu yavuruga sana mpangilio wa elimu hapa nchini na haya yamechangiwa sana na siasa mbovu ya Tanzania.

hoja yangu

Nani amesema ongezeko la vyuo linashusha viwango wa elimu katika nchi. Nimesoma katika nchi ambayo mabweni na mabwalo ya wanafunzi wa university na High school yalikuwa pamoja. Wakati wa lunch break: wanafunzi wa university, high school na maprofessor walikuwa wanakula pamoja na chakula kilekile. Tofauti ilikuwa ni materials ya darasani tu.

Bongo kuna concept ya upgrade: Aliye sekondari anataka kula vizuri zaidi kuliko wa primary. Aliyepo university anataka huduma bora kuliko aliye high school.
 
Thi walikuwa wamekaribia kufanya mitihani thatha itakuwaje?makubwa haya

Mitihani ya mwisho wa mwenzi ndio sababu ya kuwagomesha?Maana taarifa zinasema ni sababu ya kudai kulipiwa mkopo aslimia 100.
 
Ofisi nyingi za serikali, watu wanakuwa na mawazo ya kutengeneza jinsi ya kuhalalisha ulaji wao. Utakuta workshop kibao hata zisizo na tija, project zinabuniwa, safari za wakuu wa maidara na vitengo etc. Si kwamba napinga kila litu, ila najiuliza, je workshop/project/safari hiyo ipo kwa ajili ya uzalishaji? Au ipo ili watu wajiidhinishie allowances kubwa kubwa? Hizo fedha zinazotumika bila ya umuhimu zisingeweza kujazia jazia walau hata wanafunzi wachache wapate 100% ya mikopo yao?

Sijazungumzia matumizi mabaya yaliyo makubwa kama EPA na Richndomu kwa kuwa najua watu wameshazungumzia sana, ndo maana nimeangalia katika maallowance ktk maofisi ya serikali.
Viongozi wa serikali wanapofanya ziara na kusomewa ripoti, wawe sensitive katika vipengele vya matumizi ya fedha. Ninamsifu waziri mkuu aliyejiuzuru hivi karibuni. Alipofanya ziara, aliamuru Management ya Chuo Kikuu DUCE irudishe fedha hazina baada ya kusomewa ripoti yenye utata, huku fedha iliyokuwa imetengwa kwa ajili ya maendeleo ya chuo ikitajwa kuwa ipo ipo ila haijafanya kazi iliyoombewa, licha ya muda kuwa mrefu!
Kama machale yasingemcheza, you never know!
 
I am not sure kama nilishawahi kwenda shule.

Moja ya posts zako hapa umeandika hivi:

Zakumi said:
Nilipokuwa kwenye vyuo vya kibongo, karibu na kipindi cha kumaliza semester au term migomo ilikuwa inaanza kwa nguvu zote.

Hivyo kuna correlation kubwa kati ya vipindi vya mitihani na migomo.

Vilevile suala la watu kusoma bure miaka ya zamani lisiletwe katika kipindi cha sasa. Hivyo kama serikali ilitumia mabilioni ya pesa kumsomesha Prof: Maghembe sio lazima iendelee kufanya hivyo kwa sasa.

Migomo ni sehemu ya maisha kwa wanafunzi kujifunza kulalamika na ku-struggle. Tuliosoma nje ya nchi hatukupata shida za migomo lakini tunalea machizi kulipia gharama za shule.

Na kisha ukaandika hivi:

Zakumi said:
Nani amesema ongezeko la vyuo linashusha viwango wa elimu katika nchi. Nimesoma katika nchi ambayo mabweni na mabwalo ya wanafunzi wa university na High school yalikuwa pamoja. Wakati wa lunch break: wanafunzi wa university, high school na maprofessor walikuwa wanakula pamoja na chakula kilekile. Tofauti ilikuwa ni materials ya darasani tu.

Bongo kuna concept ya upgrade: Aliye sekondari anataka kula vizuri zaidi kuliko wa primary. Aliyepo university anataka huduma bora kuliko aliye high school.
 
Kwanza sidhani kama ni asilimia 40?No ni kwamba differences wanazopata kwenye means tasting.zile grades tofauti and not othewise.
Mimi namshangaa Maghembe sana ina maana wao walivyokuja na hiyo sera ya bodi ya mkopo hawakujaribu kuevaluate the problems that may arise kutokana na hiyo sera?
Ama hiyo bodi iliundwa kwa maslahi ya watu wachache?
 
Nani amesema ongezeko la vyuo linashusha viwango wa elimu katika nchi. Nimesoma katika nchi ambayo mabweni na mabwalo ya wanafunzi wa university na High school yalikuwa pamoja. Wakati wa lunch break: wanafunzi wa university, high school na maprofessor walikuwa wanakula pamoja na chakula kilekile. Tofauti ilikuwa ni materials ya darasani tu.

Bongo kuna concept ya upgrade: Aliye sekondari anataka kula vizuri zaidi kuliko wa primary. Aliyepo university anataka huduma bora kuliko aliye high school.

Usikurupuke hatushindani kujibu hoja soma tu hoja yangu nina hakika inajitosheleza.
Kwa faida yako,
ongezeko liende samabamba na ongezeko la walimu na miundombinu nk.
 
Nani anawapenda wanafunzi hawa? Nani anawajali? Nani anawathamini na kuwaona kama watu muhimu katika soko la ajira kwa siku chache zijazo? Kwa kuwakana wakati huu, viongozi wetu wanasahau walikotoka au ni kweli wamekosa nyenzo za kuwasaidia vijana? Hapana shaka vijana wanahitaji mchungaji.
 
Usikurupuke hatushindani kujibu hoja soma tu hoja yangu nina hakika inajitosheleza.
Kwa faida yako,
ongezeko liende samabamba na ongezeko la walimu na miundombinu nk.

Hapo umechemsha ongezeko liende sambasamba na miundombinu basi Tanzania itatakiwa kuwa na high schools tu. Na ongezeko la walimu sio kigezo kikubwa sana katika ongezeko la vyuo au wanafunzi wa vyuo.
 
Moja ya posts zako hapa umeandika hivi:

Na kisha ukaandika hivi:

Ndio nilisoma vyuo vya Tanzania. Na pesa nilizopewa mwanzo wa semeter nilinunua Samsonite, Friji n.k Na mwisho wa semester nilikuwa broke.
 
na sie wananchi tugome...

tukisubiri mpk chaguzi zijazo ndio tuonyeshe serikali tunavyo-feel,tutakuwa tumechelewa sana,,,,,'madudu' yanayojionyesha sasa sio ya kuvumilia mpk 2010...

JK na serikali yake ni ma-loosers!

ni 'mambumbu' ndio maana hawatambui umuhimu wa watu kuwa pale udsm!

a-stand down tu kwa kweli!mbona tony blair iraq war ilimuondosha ofisini..kabla ya muda wake kuisha?,,,.na yeye atoke tuu!

inasikitisha sana,kuona mabilion ya pesa na mali nyingine za uma zinafujwa na watu wachache ilhali mwanafunzi anataka AKOPESHWE 100% inakuwa kazi,.......its so sad!very sad...wht if angeomba asome bure?
 
Ndio nilisoma vyuo vya Tanzania. Na pesa nilizopewa mwanzo wa semeter nilinunua Samsonite, Friji n.k Na mwisho wa semester nilikuwa broke.

did you pay back?? ama ndio ulikimbilia nchi za nje? ndio wenzako wanakosa hata ya kulipia pango?
 
Back
Top Bottom