Kufungwa kwa chuo kikuu mapema wiki jana ni mwendelezo wa kile kilichozungumzwa mapema tu na wanafunzi wa Elimu ya Juu wakati huo ilipoanzishwa sera ya Mikopo ya Elimu ya Juu wenyewe wanaiita sera ya uchangiaji wa Elimu ya Juu.
Watu hawa ambao wazazi wetu wanahenya kufanya kazi na kuwapa uwezo wa kiuchumi wasomi hawa ( ambao ndio viongozi wa sasa) wanaoongoza serikali ambayo haina uwezo wa kusomesha watu wake hivi leo sasa je tunaweza kusema Ellimu ni ukombozi wa maisha ya wanadamu au ni ukandamizaji wa mwanadamu?. Wakati tulipokuwa na wasomi wachache kwenye nafasi za juu serikalini serikali ilikuwa na uwezo mkubwa kabisa wa kusomesha wananchi wake lakini sasa serikali ina rasilimali watu ya kutosha hali tunaambiwa ni mbaya.
Sasa hivi haishangazi professa wa afya kudai usingizi si muhimu kwa mwanadamu na kwamba la muhimu ni kusoma tu nina maana tamko la Mkuu wa chuo cha afya muhimbili wakati wanachuo walipokuwa wanadai huduma za hostel. Vihivyo Professa Maghe'mbe Waziri wa elimu na mafunzo ya Utamaduni ambaye kama professa ni mtu anyechambua mambo lakini badala ya kwenda chuo kikuu Dsm kuwaeleza wanafunzi umuhimu wa sera hiyo kama hata yeye anaiamini lakini lakini badala yake alitumia media kuwaonya wanafunzi badala ya kuwashawishi. Mwanasiasa yeyote bora ni lazima awe na ushawishi kwa wapiga kura wake sasa inakuwaje hojazako uziogope mwenyewe?. Ipo mifano mingi sana ambayo wasomi wa sasa wamevuruga na wala hawajawahi kukiriudhaifu huo sasa je ni elimu gani watu hawa waliipata?
Ni elimu ya ukombozi kweli au ni ya unyonyaji ? yako mengi mno lakinininachoweza kusema Adui wa wanafunzi wa elimu ya juu ni sheria hivyo mapambano yao ni sahihi kabisa aluta continua.
Watu hawa ambao wazazi wetu wanahenya kufanya kazi na kuwapa uwezo wa kiuchumi wasomi hawa ( ambao ndio viongozi wa sasa) wanaoongoza serikali ambayo haina uwezo wa kusomesha watu wake hivi leo sasa je tunaweza kusema Ellimu ni ukombozi wa maisha ya wanadamu au ni ukandamizaji wa mwanadamu?. Wakati tulipokuwa na wasomi wachache kwenye nafasi za juu serikalini serikali ilikuwa na uwezo mkubwa kabisa wa kusomesha wananchi wake lakini sasa serikali ina rasilimali watu ya kutosha hali tunaambiwa ni mbaya.
Sasa hivi haishangazi professa wa afya kudai usingizi si muhimu kwa mwanadamu na kwamba la muhimu ni kusoma tu nina maana tamko la Mkuu wa chuo cha afya muhimbili wakati wanachuo walipokuwa wanadai huduma za hostel. Vihivyo Professa Maghe'mbe Waziri wa elimu na mafunzo ya Utamaduni ambaye kama professa ni mtu anyechambua mambo lakini badala ya kwenda chuo kikuu Dsm kuwaeleza wanafunzi umuhimu wa sera hiyo kama hata yeye anaiamini lakini lakini badala yake alitumia media kuwaonya wanafunzi badala ya kuwashawishi. Mwanasiasa yeyote bora ni lazima awe na ushawishi kwa wapiga kura wake sasa inakuwaje hojazako uziogope mwenyewe?. Ipo mifano mingi sana ambayo wasomi wa sasa wamevuruga na wala hawajawahi kukiriudhaifu huo sasa je ni elimu gani watu hawa waliipata?
Ni elimu ya ukombozi kweli au ni ya unyonyaji ? yako mengi mno lakinininachoweza kusema Adui wa wanafunzi wa elimu ya juu ni sheria hivyo mapambano yao ni sahihi kabisa aluta continua.