Migomo vyuo vikuu imeangusha serikali; Marekani siyo kisiwa, la sasa halimwachi salama!

Mbona "tags" zimekuwa nyingi sana!??

1. Ilikuwa ni katika kumkumbuka jabali la muziki na wimbo wake Vicky:

Vicky mtoto wa mama,
Vicky mbona umaeadimika?
Vicky mbona huonekani?

Hata kwenye magoma hutaki kufika?

2. Ukiona tag zimekuwa nyingi ujue Vicky tuliyekuzowea kwenye magoma utakuwa umeadimika.

3. Hapo #2, kwa swali hiiiiiii .. iii kama muamala, imethibitishwa. Vicky kumbe yupo viwanja tu.

4. Au hupendi tujue hiiiiiii. .. ii ipi ni ya yupi mkuu?

5. Hata hivyo naandaa uzi kamili kumhusu Vicky - naye jabali la muziki, Marijani Rajabu.
 
Wasipokaa sawa na wao watatafutiwa hifadhi Rwanda

1. Kwamba wao ni wajinga ila sisi, siyo? Mtanzania kwenye ubora wako:

Makundi saba ya chawa kindaki ndaki yanayotatiza mabadiliko

2. Kama Yale mengine mawili haya ni tofauti tu za majina ya wajumbe:


f) Wafia Ukristo: Hawa wanaamini dini ni ukristo tu, tena ule wa kwao. Wanaamini Israeli ni taifa teule na kuwa tena si binadamu wa kawaida. Lolote afanyalo mwisraeli ni sawa tena dunia yote ilipaswa kuwasabiria. Hakuna ovu lolote dhidi ya Israel, na waarabu kwao, hawana haki yoyote.

g) Wajuaji: Hawa huamini kwenye lile tu wanaolijua wao. Wajuzi wa Kila kitu ni wao. Kwamba 'JF ina watu wa kada zote," haina maana yoyote kwao. Nafasi ya mafikara mapya hawana ila yale ya kwao tu. Kwamba "elimu ni bahari, elimu haina mwisho, tembea uone nk;" havina maana yoyote kwao.
 
Umbulula wa kung'an'ania ni waarabu tu ndio wanaandama inaonyesha jinsi IQ ya wabongo zilivyojaa tope na kamasi
Yaani hao wakimbizi wa kiarabu ndio wafunge vyuo vyote hivi
Kweli mtu mweusi ni nyani alichangamka
View attachment 2977874

1. Hao ni wale wafia ukristo kazini au ile mimbumbu mijuaji kwenye ubora wao:

f) Wafia Ukristo: Hawa wanaamini dini ni ukristo tu, tena ule wa kwao. Wanaamini Israeli ni taifa teule na kuwa tena si binadamu wa kawaida. Lolote afanyalo mwisraeli ni sawa tena dunia yote ilipaswa kuwasabiria. Hakuna ovu lolote dhidi ya Israel, na waarabu kwao, hawana haki yoyote.

g) Wajuaji: Hawa huamini kwenye lile tu wanaolijua wao. Wajuzi wa Kila kitu ni wao. Kwamba 'JF ina watu wa kada zote," haina maana yoyote kwao. Nafasi ya mafikara mapya hawana ila yale ya kwao tu. Kwamba "elimu ni bahari, elimu haina mwisho, tembea uone nk;" havina maana yoyote kwao.

2. Kilichopo hapa ni kujitoa kimasomaso kuwa nao wapo kumbe:

"Mwendo ni ule ule pendwa, kimya kimya: hiiiiiii .. III!"

3. Huyo kama yule mwisraeli uchwara MK254 na wale wengine kama kina Allen Kilewella, Faana na wakiona wamekuwa tagged mioyo inadunda "puuuh!" Wamebadilisha viwanja kwenye magoma hawaonekani, wengine; denoo JG wamegeuka makocha wekundu wa msimbazi na wananchi!

4. Watu wa aina hii kwa Hakika ni mzigo sana Kwa taifa na hasa kwenye vyama vya siasa na zaidi sana chama kipigania haki, CHADEMA:

Makundi saba ya chawa kindaki ndaki yanayotatiza mabadiliko

5. Tatizo kubwa kutojitambua wanataka au hawataki Nini, ila ruzuku, ubunge, udiwani au positions. Kwa hayo watafanya kila kitu kujitafutia uhalali ali mradi mkono uende kinywani.

6. Kazi kweli kweli!
 
Full of tags but worthless argument!!

Hayo maandamano yangekuwa yanatokea Tehran kuiunga mkono Marekani sasa hivi mitaa ya mji huo ingekuwa imetapakaa maiti na michuruziko ya damu mithili ya mifereji ya maji.

Marekani kuna Demokrasia sana.
 
Full of tags but worthless argument!!

Hayo maandamano yangekuwa yanatokea Tehran kuiunga mkono Marekani sasa hivi mitaa ya mji huo ingekuwa imetapakaa maiti na michuruziko ya damu mithili ya mifereji ya maji.

Marekani kuna Demokrasia sana.

1. Vipi haina ruzuku, maokoto, prospects za ubunge au udiwani?

2. Ukombozi na njaa + uchawa:

Makundi saba ya chawa kindaki ndaki yanayotatiza mabadiliko

3. You will never have peace in CHADEMA.

4. Na kutoka, hatutoki!

5. Bure kabisa!
 
Hapa USA wanaonesha nini maana ya kuheshimu UHURU WA MAONI

Just imagine kungekuwa na watu wanaandamana pale Iran kupinga HAMAS..... just imagine
 
Kuna siku nilisema na naendelea kusema. Ni university tu ndio tunategema mkusanyiko mkubwa wa critical thinkers na wasomi wa hali ya juu, hivyo ndivyo ilivyo kwenye vyuo vikuu vya wenzetu. Wanafunzi wanabeba ideologies za maprofessor nguli na kuwa assimilated na hawa ndio wanakuwa change agent. Sasa jiulize unaweza kuwa assimilated au kubeba ideology ya professor ambaye anasema for his entire life ya chuo kikuu , more than 25 years kama mkuu wa idara alikuwa anakaa jalalani? Kwa kweli nilisikika sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…