Migomo vyuo vikuu imeangusha serikali; Marekani siyo kisiwa, la sasa halimwachi salama!


1. Uko sahihi ndugu tuko pamoja kwenye Hilo.

2. Ukombozi unahitaji sacrifice siyo ujanja ujanja ya kina Allen Kilewella, ruzuku, maslahi binafsi na vya namna hiyo.

3. Chama Cha ukombozi kinafanya siasa za ujanja ujanja? Hakuna kinachosimamia. Tunafika namna gani tusikokujua?

CHADEMA kukosa neno, utawala wa Sheria Migomo Marekani; ni Pigo kwa Chama, na pia kwa Ukombozi!

4. Yatakapowakuta na ambayo si muda mrefu, Kula itakuwa, kule ilikopelekwa mboga!
 
Mkuu mpaka sasa hivi wakufa waandamanaji wangapi?

1. Kuzuia free expression haikubaliki.

2 Kwani katiba ya mrekani kwenye Hilo inazidiwa Hadi na yetu.

3. Kama katiba yao hairuhusu uhuru wa kutoa maoni, labda mkuu waje kujifunza kwetu?

4. Hudhani kamanda Muroto kuwa wa msaada sana kwao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…