Miguel Gamondi kwenda Kaizer Chiefs?

Miguel Gamondi kwenda Kaizer Chiefs?

Danielmwasi

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2021
Posts
2,134
Reaction score
3,834
Furaha iwe na mipango.

===

Kaizer Chiefs are set to announce new coach and two signings on Wednesday?

On Monday, a statement indicating that Kaizer Chiefs will unveil a new coach and players on Wednesday appeared on the club’s official website.

“Kaizer Chiefs MD Kaizer Motaung says the search for a new coach is over and that the new man, along with two other international signings, will be unveiled at a media conference on Wednesday,” a statement without a date read on the PSL heavyweights’ website.

Screenshot_20240514_113815_Chrome.jpg
Screenshot_20240514_115019_Chrome.jpg
Screenshot_20240514_114121_Chrome.jpg
Screenshot_20240514_120758_Chrome.jpg
Screenshot_20240514_121330_Chrome.jpg
 
Gamondi yupi huyo? Huyu huyu uliyekuwa unamuanzishia nyuzi zaidi ya tano kumponda kuwa ni kocha mbovu na ligi kuu hatochukua au ni yupi?

Kuhusu furaha kuwa na mipango, viongozi wanajua kuliko wewe na ndio maana kila baya ulilotabiri kuhusu Yanga na Gamondi ukafeli. Alikuwepo Nabi na akaondoka kwa mafanikio na wengi walijua kuondoka kwa Nabi Yanga haitopata replacement yake na Yanga itaporomoka lakini viongozi wakafanya scouting iliyo sahihi wakamleta kocha aliyeifanya Yanga itambulike katika soka la Africa na kubeba kombe la ligi kuu huku FA akitetea.
 
Gamondi yupi huyo? Huyu huyu uliyekuwa unamuanzishia nyuzi zaidi ya tano kumponda kuwa ni kocha mbovu na ligi kuu hatochukua au ni yupi?

Kuhusu furaha kuwa na mipango, viongozi wanajua kuliko wewe na ndio maana kila baya ulilotabiri kuhusu Yanga na Gamondi ukafeli. Alikuwa na Nabi na akaondoka kwa mafanikio na wengi walijua kuondoka kwa Nabi Yanga haitopata replacement yake na Yanga itaporomoka lakini viongozi wakafanya scouting iliyo sahihi wakamleta kocha aliyeifanya Yanga itambulike katika soka la Africa na kubeba kombe la ligi kuu huku FA akitetea.
Hapa kama ni nyoka umemchapa kichwani kabisa sidhani kama atarudia tena kuleta kisebusebu hapa jamvini..
Alifungua minyuzi kibao ya kuponda sasa leo anakuja kutueleza nin tena..
 
Gamondi yupi huyo? Huyu huyu uliyekuwa unamuanzishia nyuzi zaidi ya tano kumponda kuwa ni kocha mbovu na ligi kuu hatochukua au ni yupi?

Kuhusu furaha kuwa na mipango, viongozi wanajua kuliko wewe na ndio maana kila baya ulilotabiri kuhusu Yanga na Gamondi ukafeli. Alikuwepo Nabi na akaondoka kwa mafanikio na wengi walijua kuondoka kwa Nabi Yanga haitopata replacement yake na Yanga itaporomoka lakini viongozi wakafanya scouting iliyo sahihi wakamleta kocha aliyeifanya Yanga itambulike katika soka la Africa na kubeba kombe la ligi kuu huku FA akitetea.
1. back to reality. viongozi ni kama mimi na wewe. amna anything special about them. tena they could be worse.


2. gamondi is not in my top 5 . kaizer is a mid table team. not even in champions league
 
1. back to reality. viongozi ni kama mimi na wewe. amna anything special about them. tena they could be worse.


2. gamondi is not in my top 5 . kaizer is a mid table team. not even in champions league

Vipi ligi kachukua au hakuchukua? Si ulitabiri hatochukua ligi?
Vipi klabu bingwa hatua ya robo fainali kacheza au hakucheza? Si ulitabiri Yanga itabuluza mkia kwenye kundi?

Kwahiyo Kaizer chief kuwa ni mid table kunaifanya wasijue makocha wazuri? Si ndio hawa hawa walikuwa wanamtaka Nabi alipokuwa Yanga ila walichoshindwana ni kuwa Nabi alitaka aende na benchi lake lote.

Gamondi hayupo kwenye top 5 yako, wewe ni nani? Nani anayekujua katika ulimwengu wa soka? Unamiliki timu gani? Au ni mchambuzi wa kituo gani kinachotambulika Africa? au unafundisha timu gani tukuone una akili ya mpira kuliko hao Kaizer? Yaani upo zako hauna mbele wala nyuma katika mpira wa miguu halafu unaleta ngebe kujifanya unajua kuliko Kaizer chief.
 
Back
Top Bottom