National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
BMW ulichukua ya grade 5, 4.5, au below ya 4. Usije zichukia bure tu.. Japanese rafiki wa mazingira nenda Lexus iwe sedan au suv.. Ni fireYaan Mjerumani sitaki ata bure..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BMW ulichukua ya grade 5, 4.5, au below ya 4. Usije zichukia bure tu.. Japanese rafiki wa mazingira nenda Lexus iwe sedan au suv.. Ni fireYaan Mjerumani sitaki ata bure..
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Ule mguno wa kwenye gari ulishabihiana na mguno "halisi"?
Labda IS 250.BMW ulichukua ya grade 5, 4.5, au below ya 4. Usije zichukia bure tu.. Japanese rafiki wa mazingira nenda Lexus iwe sedan au suv.. Ni fire
Is 250 vidogo naona, go to GS au LS.. Bet za kibabe 😅😅😅Labda IS 250.
Ngoja nibet bro.
Vp miguno kwa bed, mitamu pia?Siku ya jumanne niliamua kuokoka na kuacha uovu wote, jana nikiwa njiani kutoka kazini nikasimamishwa na mdada aliyekuwa anaelekea uelekeo ninao elekea akaomba nikamwache sehemu fulani, basi akaingia tukaanza safari, kwakuwa nimeokoka sikutaka kumpigisha story.
Yeye alikuwa anachati, kuna sehemu bodaboda akani-overtake na kupita mbele yangu bila tahadhari hivyo nikalazimika kushika breki ghafla sasa yule dada akatoa mguno ambao ulibadili kabisa mawazo yangu (ssss.... aaaaah).
Aisee huwezi amini ilibidi nichukue namba yake nikamwacha pale aliponiambia nimwache. Jioni nikaomba tukutane bahati nzuri hakuwa na makuu tukakutana na kunyanduana.
My take: Dhambi ina nguvu kuliko sisi. Bila Mungu kutusaidia kwakweli tutapotea.
Mkuu SITAKIIIIIIII mafuta 3000/L sahiviIs 250 vidogo naona, go to GS au LS.. Bet za kibabe 😅😅😅
😅😅😅😅 Yatashuka bei sana mafuta, ukita mla manzi unamuachia Hill dude lenye 3.5L kwa Town kola saa lazima aje kuchukua hela ya wese, na wewe kola akija Chukua wese unamtafunaMkuu SITAKIIIIIIII mafuta 3000/L sahivi
Tena humo humo kwenye gari, condition manzi awe msafi na bortbale, na sio usile zaidi ya manzi. Wawili tofauti kwenye gari yakoKumbe ukiwa na gari unawakula kirahisi hivi!?😊
Siku hiyo hiyo moja?Siku ya jumanne niliamua kuokoka na kuacha uovu wote, jana nikiwa njiani kutoka kazini nikasimamishwa na mdada aliyekuwa anaelekea uelekeo ninao elekea akaomba nikamwache sehemu fulani, basi akaingia tukaanza safari, kwakuwa nimeokoka sikutaka kumpigisha story.
Yeye alikuwa anachati, kuna sehemu bodaboda akani-overtake na kupita mbele yangu bila tahadhari hivyo nikalazimika kushika breki ghafla sasa yule dada akatoa mguno ambao ulibadili kabisa mawazo yangu (ssss.... aaaaah).
Aisee huwezi amini ilibidi nichukue namba yake nikamwacha pale aliponiambia nimwache. Jioni nikaomba tukutane bahati nzuri hakuwa na makuu tukakutana na kunyanduana.
My take: Dhambi ina nguvu kuliko sisi. Bila Mungu kutusaidia kwakweli tutapotea.
Naam, ni jana hiyo hiyo, ule mguno ulikuwa unajirudia kichwani nilivyofika tu home nikampigia nikaomba jioni nimtoe out akajichekesha akakubali.Siku hiyo hiyo moja?
🤣🙌Tatizo nyota, uzuri na mie sio mbishi nimepigwa chini nimepokea 😔😔 labda siku moja nitaotea
Baada ya game nilimpa 50 tu mkuu nakamsindikiza mpaka kwao.Ulimpa jumla ya kiasi gani kama dau lake?
Umeokoka au bado 😁😁Baada ya game nilimpa 50 tu mkuu nakamsindikiza mpaka kwao.
[emoji28][emoji28] Dah! Tutafute pesa mkuuMiguu minne haidanganyi!.......
Umetunukiwa pa.puchi! KWA ajili ya heshima ya miguu minne chief...
Dah! Hongera Mkuu. Sasa ule mguno umeisha?Naam, ni jana hiyo hiyo, ule mguno ulikuwa unajirudia kichwani nilivyofika tu home nikampigia nikaomba jioni nimtoe out akajichekesha akakubali.
Nasita kusema Asante maana nimevunja kiapo cha wokovuDah! Hongera Mkuu
Sijaelewa dada UNATUMIA mafumboKukumbuka shuka kumekucha
Kuokoa ni ngumu lakini tujitahidi kadri ya uwezo wetu tusiwe vijana/watu wa hovyo.Ushaamini yale maneno ya wale wanaosema kuokoka kwenye haya maisha ya damu na nyama ni ngumu sana?
Endelea na wokovu kiongozi.