Miguno yake ilifanya nimtongoze na kumchakata

Miguno yake ilifanya nimtongoze na kumchakata

Siku ya jumanne niliamua kuokoka na kuacha uovu wote, jana nikiwa njiani kutoka kazini nikasimamishwa na mdada aliyekuwa anaelekea uelekeo ninao elekea akaomba nikamwache sehemu fulani, basi akaingia tukaanza safari, kwakuwa nimeokoka sikutaka kumpigisha story.

Yeye alikuwa anachati, kuna sehemu bodaboda akani-overtake na kupita mbele yangu bila tahadhari hivyo nikalazimika kushika breki ghafla sasa yule dada akatoa mguno ambao ulibadili kabisa mawazo yangu (ssss.... aaaaah).

Aisee huwezi amini ilibidi nichukue namba yake nikamwacha pale aliponiambia nimwache. Jioni nikaomba tukutane bahati nzuri hakuwa na makuu tukakutana na kunyanduana.

My take: Dhambi ina nguvu kuliko sisi. Bila Mungu kutusaidia kwakweli tutapotea.
Ukizoea kula nyama, huachi. Utakumbukia tu.

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
 
Eti Hana makuuu... Makuu yake ni hayo kuacha goal wazi
 
Back
Top Bottom