Oh yeah?
Kama ni interview huyo Mihayo katoa his own story walao hajamtaja huyo dada,yeye alijuaje ni yeye mpaka afanye retaliation ya kibwege namna hii?
Huyo dada nae kahojiwa,katema upupu kama retalitation na mavideo katoa!
Fair enough!
Huyo mwanamke anaenda nyumbani kwa huyo Mihayo kuangalia watoto kwa ruhusa ya nani wakati mwenye nyumba hamtaki kumuona nyumbani kwake?
Unaenda kuvamia mageti ya watu kivipi?
Huyo mwanamke asubiri watoto wawe dropped nje kwake ndio awaone huko kwake na sio kwa huyo baba!
Hilo limwanamke libishi na linapenda shari kwa kwenda nyumbani kwa adui yake hiyo ni kosa!
Plus,hayo matoto yanajulikana,yalilelewa bila baba,matoto ya mjini,mama yao,yeah well,you know...mabishi,machupi mikononi!
Wilmore alionesha very poor decision making skills kuoa madude kama haya!
Yale matoto ni hovyo,all the way through!