Mihayo Wilmore anayedaiwa kumpiga mkewe Nackitia Nyange "kipigo cha mbwa koko" ni nani?

Dada la mji,chupi mkononi!

Familia yake yote ni unmarried

Mama was a divorcee mzoefi,kaolewa na yule mzee kama hifadhi

Familia ina domo hapa na Mbagala

Ma nigga Wilmore,got rid of that piece of ugly meat!

Hold my beer!
ayaaaaaaa!!!,sijui kwa nini watoto wa kishua huwa wanaoa wanawake wasiojielewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiinglish [emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bro,listen.....your wife is holding a knife and charging towards you,then what next?

Hahahahaha bro? Inaonekana wewe ni muumini wa kubutua.... anyway Quran imeruhusu kutandika mke lakini mimi si muumini. [emoji23][emoji23]
 

Oh yeah?

Kama ni interview huyo Mihayo katoa his own story walao hajamtaja huyo dada,yeye alijuaje ni yeye mpaka afanye retaliation ya kibwege namna hii?

Huyo dada nae kahojiwa,katema upupu kama retalitation na mavideo katoa!

Fair enough!

Huyo mwanamke anaenda nyumbani kwa huyo Mihayo kuangalia watoto kwa ruhusa ya nani wakati mwenye nyumba hamtaki kumuona nyumbani kwake?

Unaenda kuvamia mageti ya watu kivipi?

Huyo mwanamke asubiri watoto wawe dropped nje kwake ndio awaone huko kwake na sio kwa huyo baba!

Hilo limwanamke libishi na linapenda shari kwa kwenda nyumbani kwa adui yake hiyo ni kosa!

Plus,hayo matoto yanajulikana,yalilelewa bila baba,matoto ya mjini,mama yao,yeah well,you know...mabishi,machupi mikononi!

Wilmore alionesha very poor decision making skills kuoa madude kama haya!

Yale matoto ni hovyo,all the way through!
 
Hahahahaha bro? Inaonekana wewe ni muumini wa kubutua.... anyway Quran imeruhusu kutandika mke lakini mimi si muumini. [emoji23][emoji23]

Lazima kuwe na law and order otherwise inakua anarchy state

Nigga Wilmore sijui alikosea wapi aisee...Ila watoto wengi wa kishua kwenye kuoa hua ni failure sijui kwanini!

Inakuaga social skills zipo chini ndio maana!
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3],nikipondo tu watanyooka tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mama ako hakupigwa inawezekana alikuwa mstaarabu,jaribu na wewe kamletee dharau na kejeli mmeo uone balaa lake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angefuata busara za The Notorious BIG.

Katika "Get Money" BIG anasema "Problems with my wife don't discuss them".

Amekataa kujadili lolote kuhusu matatizo kati yake na mkewe.

Kanuni hii ya mabaharia inaepusha matatizo mengi sana.

Kiumeni kuhadithia matatizo kati yako na mkewe ili wewe uonekane mzuri ni mapungufu mabaya sana.

Yani ni bora mwanamme aonekane mbaya, ila matatizo ya ndoa yake ayabakize ndani ya ndoa, kuhadithia matatizo ya ndoa kwenye radio ya jamii ni kukosa staha za kiumeni.
 
Shida yako ni ukilaza na kuongea usiyo na uhakika nayo

since nimepita mitandaoni and i have the facts i will get them straight for you

first:Mihayo did the podcast and hakuficha identity yake hata ambao hatukua na uhakika tuliconfirm on the spot nani anaongelewa na alimtaja sana tu..unadhani kwa nini imetrend?

pili video hajapost mke:kapost mdogo wake mke ebaada ya kusikia alichosema Mihayo kwny podcast ukitaka mtafte insta si unawajua?.

tatu :Nacky na watoto ndo walikua nyumbani Mihayo alishaondoka kurudi kuishi kwa mama ake
Yeye mwanaume ndo alikuja kuona watoto wanaoishi hapo na x wife wake
X husband ndo alikuja fanya vurugu hapo kwake japo alishahama 6 months prior

Haya ni kutoka kwa wahusika huko mitandaon

know the facts kwanza ndo uje..nimekudespise vibaya mnooo ...mnoo kwa kuja na maneno mengi ya uongo kupitiliza wkt ukweli uko wazi kwa wahusika
 
watoto wa kishua wengi wana akili ndogo wanafungiwa tu ndani kuku wa kisasa,hawajawahi kuexperience purukushani za maisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I wish you heard that podcast

mwanzo mwisho unajiuliza mke kakosa lipi kubwa sana hadi uyu kaka kaona their marriage was toxic.,sijui waandishi walikua wanaogopa kumuuliza maswali au vipi ila ilikua janja janja sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…