Mihayo Wilmore anayedaiwa kumpiga mkewe Nackitia Nyange "kipigo cha mbwa koko" ni nani?

Mkuu kama nakuona vile, unavyotembeza kipigo cha haja na maisha yanaendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu inawezekana mimi tu ndio naelewa tofauti, hawa wanawake type ya huyu hakuna unachoweza kumfanya ili ashike discipline zaidi ya kipigo, yaani hawa wa hivyo ukijidanganya kumchekea eti sijui unamdekeza atakuaibisha hata mbele za watu wanaokuheshimu, dawa yao ni kupigwa tene kipigo cha haja.
 
Kwenda leba Mara 3 (normal delivery) zalima uwe na adabu kwa mumeo.

Sent using Jamii Forums mobile app
We angalia tu wanawake walio na watoto wengi, utamkuta ana adabu mpaka anatia huruma, akizaa motto mmoja au wawili lazima atakuwa na kiburi, kwanza anakuona wewe mwanaume kama kuku wa kideli hivi, inatakiwa unambebesha mimba double double mpaka ashangae, uone kama atakuwa na mdomo mrefu
 
umenena
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipigo ni dalili ya weakness ya kutojiamini, narudia demu kazingua changanya lapa hakawii kukutilia sumu. Unajidanganya kumpiga usiku anakusubiria anakunyofoa nyeti. Au anasubiri usahau anakuundia timu ya alshabab kitaa.
 
@bintikiziwi mke wangu Mimi ntampenda sana ila kibano lazima nimpe akileta ujinga ili akumbuke Mimi ni Mume wake atangulize heshima mbele.

Baada ya kumpa kisago heavy namtoa out akiwa kanuna [emoji3] nampeti peti namtafutia kwzawadi kazuri zuri nampa na."show ya kihuni " nampa ya ukweli Hadi chozi litoke na mabusu Moto Moto .

Ila akaizingua tu ni kibano kweli kweli kwa kutumia mikono yangu yote "mitatu" [emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
K Sijaona bado kipigo cha mbwa koko..anatembea vzr kabisaa yanii..
 
Mume kama wewe mimi sipati shida,ntakushughulikia ipasavyo utakaa sawa tu
Nyie ndio mnatufanya tuwe wakatili
Are you a feminist? Uko sahihi kupiga mwanamke si vizuri ila mara nyingi midomo yao huwaponza.
Brenda, tusiandikie mate na wino upo, najua wewe ni jeuri ni kibri, ila ukija kwangu utajua kilichomnyoa kanga manyoya, fanya tu kama umekosea njia.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa umenifurahisha Sana
 
Mnaojigamba kupiga wake zenu na mademu wenu nina uhakika hamko rahisi kupigana na wanaume wenzenu kihivyo sababu mna hulka ya uoga na ni waonevu/wanyanyasaji wakubwa wa Wanawake sababu wameumbwa dhaifu kimwili.
 
Nyie hamjawahi kuona wanawake waliopigwa nyie huyu kapigwa au walikuwa wanacheza kombolela tu hawa acheni maneno yenu ya 50 kwa 50 nyie.
 
Are you a feminist? Uko sahihi kupiga mwanamke si vizuri ila mara nyingi midomo yao huwaponza.

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa umenifurahisha Sana
Mkuu nina uhakika hakuna mwanaume anaeweza kumpiga mwanamke wake bila sababu, hawa viumbe wana maudhi usiombe kukutana na aliyepakwa matusi mdomoni
 
Are you a feminist? Uko sahihi kupiga mwanamke si vizuri ila mara nyingi midomo yao huwaponza.

[emoji23][emoji23][emoji23] Jamaa umenifurahisha Sana

Hahah huyu anazingua huyu hajakutana na wanawake kichwa maji angechoka kupiga mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…