Black BackUp
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 717
- 666
Tuishi nao kwa akili.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante Cerengeti kwa kunisaidia
Mkuu inawezekana mimi tu ndio naelewa tofauti, hawa wanawake type ya huyu hakuna unachoweza kumfanya ili ashike discipline zaidi ya kipigo, yaani hawa wa hivyo ukijidanganya kumchekea eti sijui unamdekeza atakuaibisha hata mbele za watu wanaokuheshimu, dawa yao ni kupigwa tene kipigo cha haja.Mkuu kama nakuona vile, unavyotembeza kipigo cha haja na maisha yanaendelea
Sent using Jamii Forums mobile app
We angalia tu wanawake walio na watoto wengi, utamkuta ana adabu mpaka anatia huruma, akizaa motto mmoja au wawili lazima atakuwa na kiburi, kwanza anakuona wewe mwanaume kama kuku wa kideli hivi, inatakiwa unambebesha mimba double double mpaka ashangae, uone kama atakuwa na mdomo mrefuKwenda leba Mara 3 (normal delivery) zalima uwe na adabu kwa mumeo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Leta hiyo clip aliyokuwa anaongea clouds, au mmeitengeneza ili kumtetea huyo mwanamke ?.Kasikilize alichosimulia mkewe clouds
Tatizo mnabumba story zenu mnafarijiana hapao
Siungi mkono tabia ya watu wazima kupigana ila wanawake wana midomo sana. Wengi wanapigwa kutokana na midomo yao, mwanamke hakubali kushuka anachonga mdomo tu. Na inafahamika sisi wanaume midomo yetu ni ngumi na mateke.
Hakuna sababu ya kumpiga mwanamke lakini kila mwanamke anayepigwa kuna chanzo.
Unapenda mteremko jmnLeta hiyo clip aliyokuwa anaongea clouds, au mmeitengeneza ili kumtetea huyo mwanamke ?.
Umesahau kuguna nataratibu huku anajua sio eneo sahihiAjabu ya wanawake!! Akipigwa teke analia akilawitiwa halii!!..
Duh balaa hiliWe angalia kama huyu, eti unasema na wewe una mke !!,
![]()
@bintikiziwi mke wangu Mimi ntampenda sana ila kibano lazima nimpe akileta ujinga ili akumbuke Mimi ni Mume wake atangulize heshima mbele.Mazigazi Baba Swalehe G.Jacob Utetezi wenu juu ya upigaji bado haujitoshelezi au hauna na hauwezi kuwa na mashiko. Sisi wanawake wa beijing [emoji3][emoji3] tutaendelea kusema na kusema tena kuwa sio haki kumpiga mwanamke kama mnyama unayemmiliki. Tunaitafuta dunia ya kistaarabu ambayo violence ni offense na kila mmoja anatakiwa apaze sauti juu ya hili lakini nyie wenzetu you are no where kufikia huko, well.
DV katika forms zake zote ikiwemo physical abuse ni kitu kisichokubalika katika dunia ya watu wastaarabu, na wala hatushangai kuwa wanawake wanapigwa tunashangaa reaction ya watu juu ya upigaji huo, kwamba wapigwe tu sio? Ni punda hao? Its 2020 people haaaaa!
Huku bara giza kuna vijimambo vyetu havijakaa sawa, mfano polisi anaweza kuanza kumpiga mwananchi ambaye hata hayupo armed, na wote tutapiga kelele kuwa ni unacceptable, hii inatofauti gani na mwanaume shababi mwenye manguvu yake kumpiga mwanamke ambaye hawezi hata kumrushia ngumi moja, and ya’all here praising tofauti ya hizi cases mbili ni ipi!? Au likija suala la mapenzi mnajawa na emotions na kuacha akili maili elfu nyuma!?
Sijaona bado kipigo cha mbwa koko..anatembea vzr kabisaa yanii..Nimeona video ikisambaa mitandaoni ikionyesha mtu anaetajwa anaitwa Mihayo akimpiga ex wife kipigo cha mbwa mwizi.
Nikawa interested kumjua maana watu vile wanamzungumzia ni kama mtu fulani wa maana sana hapa mjini.
View attachment 1322727
Mihayo Wilmore
View attachment 1322748
Mtalaka wa Mihayo, Nackitia Nyange(Mtoto wa Anne Kilango Malecela)
Nilikaenda msikiliza kweye podcast ya men men men ambayo kwa sasa imefutwa baada ya video kusambaa jamaa anamtuhumu mkewe kwamba alimpitisha kwenye maisha yenye mateso na maumivu mpaka akamwachia mali zote akaanza upya.
Kwa wanaomfahamu huyu jamaa ni nani haswa? Na huo mgogoro na mkewe waliotengana ulihusisha nini haswa?
Kitu ambacho nimeona familia ya Mzee Malecela ndio wanaongoza mashambulizi, kwa nini sasa na sio 2015 alipompiga mkewe?
View attachment 1321512
Are you a feminist? Uko sahihi kupiga mwanamke si vizuri ila mara nyingi midomo yao huwaponza.Mume kama wewe mimi sipati shida,ntakushughulikia ipasavyo utakaa sawa tu
Nyie ndio mnatufanya tuwe wakatili
😂😂😂 Jamaa umenifurahisha SanaBrenda, tusiandikie mate na wino upo, najua wewe ni jeuri ni kibri, ila ukija kwangu utajua kilichomnyoa kanga manyoya, fanya tu kama umekosea njia.
Mkuu nina uhakika hakuna mwanaume anaeweza kumpiga mwanamke wake bila sababu, hawa viumbe wana maudhi usiombe kukutana na aliyepakwa matusi mdomoniAre you a feminist? Uko sahihi kupiga mwanamke si vizuri ila mara nyingi midomo yao huwaponza.
😂😂😂 Jamaa umenifurahisha Sana
Are you a feminist? Uko sahihi kupiga mwanamke si vizuri ila mara nyingi midomo yao huwaponza.
[emoji23][emoji23][emoji23] Jamaa umenifurahisha Sana
Kilichonisikitisha kwenye hii video ni watoto masikini wlivyokuwa wanahangaika sijui ndiyo wazazi wao wanagombana na hawana uwezo wa kuamua haya mambo ya familia yanaumizaga sana watoto