Mihayo Wilmore anayedaiwa kumpiga mkewe Nackitia Nyange "kipigo cha mbwa koko" ni nani?

Mihayo Wilmore anayedaiwa kumpiga mkewe Nackitia Nyange "kipigo cha mbwa koko" ni nani?

Hapo sasa unalazimisha.

By the way, suala zima la makabila ni social construct tu.

There is nothing inherent about tribes

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu

Kabila ni mkusanyiko wa watu mostly walikua wanashea ancestors kwa intermarriages kwa muda mrefu

Makabila ya Tanzania,changa kabisa lina miaka 400.

Biological traits lazima zigawanywe...

Wapare,Wahaya,etc wamekaa na kujamiiana kwa miaka zaidi ya 800 leo unasema hawana biological relations?

Unafeli mzee.
 
Huyu jamaa hana undugu na jaji mihayo.

Huyu ni mnyamwezi wa Tabora na Black American. Ana uraia wa marekani sababu Baba yake marehemu alikuwa ni African American. Dogo kapiga shule Mtoni na yuko super smart kichwani. Ana maadili pia ya kiafrika na heshima na mtu wa watu sana hajisikii.

Yuko njema cribs tatu nne za maana, Mandinga ndio kama yote ya maana halagu janki mdogo. Ana proffessional network ya kufa mtu duniani. Yukovizuri Us embassy inamtambua na inampa fursa sana kama kijana smart

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu smart unapigaje mwanamke vile?!!..tuache uongo wakati mwengine!!!..jama angekua na maconnection hayo angeenda mwananchi Digital?...jamaa mnampa sifa sana
 
Mkuu

Kabila ni mkusanyiko wa watu mostly walikua wanashea ancestors kwa intermarriages kwa muda mrefu

Makabila ya Tanzania,changa kabisa lina miaka 400.

Biological traits lazima zigawanywe...

Wapare,Wahaya,etc wamekaa na kujamiiana kwa miaka zaidi ya 800 leo unasema hawana biological relations?

Unafeli mzee.
Katika kitabu chake "The Fate of Africa: From The Hopes of Freedom To The Heart of Despair. A History of 50 Years of Independence" muandishi maarufu wa mambo ya Africa, Martin Meredith anatoa mfano wa kabila moja la Zambia. Aliwaukiza watu, kqbila lenu historia yake ni ipi? Mmetokea wapi? Chifu wenu kapatikana vipi?

Akaambiwa kabila letu limewekwa na Waingereza. Kulikuwa na ugomvi na majirani zetu hapa, wakaja Waingereza, wakasema kuanzia sasa nyinyi ni kabila jipya, eneo lenu hili, Chifu wenu huyu.

Hiyo ni miaka ya 1930s kama nakumbuka vizuri hii habari.

Kabila limeanzishwa watu wanaliona.

Huku kwetu ukisoma makabika yalivyozunguka utaona jinsi watu walivyojiweka na kuwekwa uChifu kifigisu (Chifu Burito, Chifu Mirambo). Utaona makabila yalivyozunguka.

Zaidi, bika ya DNA tets hujui hata kama anayesemwa baba wa mtoto ndiye baba hakika, sasa hapo kabika utalijuaje kibaiolojia?

Kama huna uhakika wa baba kibaiolojia, utajuaje kabila kibaiolojia?

Rais Mkapa katika kitabu chake kioya "My Life, My Purpose: A Tanzanian President Remembers" anasema watoto wake baba yao Mmakua, mama yao Mchaga, wao Watanzania waliokulia Dar, Canada, Marekani na Nigeria.

Sasa hapo watu wanaoa makabila tofauti na kukuza watoto dunia nzima.

Bado utasema kuna kabika biological?

Kabila gani? Umakua au Uchaga?

Wamakua wanafuata kabila na jina kwa mama.

Wachaga wanafuata kwa baba.

Hapi huoni kwamba kabila ni kitu arbitrary tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitu kikubwa mkeo unamchagua vizuri, unamkaza vizuri, unamhonga vizuri, unampeti peti vizuri, kiasi anakuwa haoni wala hasikii mwingine.

Ukishaweza hilo, unatulia naye, mnalea watoto.

Hapo hata akikukosea kidogo tu mwenyewe anajirudi hata kabla hujasema kitu.

Ile mwanamme umetua nyumbani tu mwenyewe anaanza kuomba msamaha kabla hujamsema.

Yani anaanza kujishukushuku mwenyewe, Baba Kwani mboona hivyo leo? Jana hukupenda nilivyopika? Au perfume yangu ya leo inakukera?

Ukitoka hapo unambusu, unaenda kumpiga kwa mguu wa tatu chumbani kuanzia kitandani mpaka mnaangushana kwenye floor huko San Salvador.

Hivyo ndivyo mwanamke anavyopigwa.

Si kwa ngumi na makofi.

Mzee naona unatoa punch line za kutosha
 
“Mwezi Mchanga”?

Really?Umefika kua na profanities namna hii eee?

Ukitukanwa nje ndani utaanza kuniita sio mstaarabu,ila wewe kuharisha sawa?!

Mama ni swali uliulizwa,jee unaona ni haki kama wanaume,watoto na everybody wanapigwa wakikosea ila sio “mwanamke”?

Ulivojaa ubaguzi ukasema hii ni “wanawake” tu,wasipigwee!Haya wasipigwe,jee unaona sawa wengine wapigwe?Hutaki kujibu unajaza ushindani usio na maana!

Nyie madada wa mjini wa kushinda Hyatt na vi-Macbook Air vyenu uongo na kweli kusoma email na insta,wote lazima muachike mamaeeee

Mnazungusha matako mjini mno!

I feel sorry for my nigga Wilmore!
Wewe tukana tu, wont be your first time anyways wala usinisingizie mimi kukusababishia.

Ngoja tu nikuelimishe; post yangu uliyoiquote ilikuwa inaijibu hii hapa chini ambayo haikuzungumzia kupigwa kwa wanaume wala watoto:

"Unaongelea kupigwa mbele ya watoto wake tu?Ongelea pia demu/mke kurudi usiku wa manane akiwa bwax huku akshushwa kwenye gari na mchepuko wake na watoto wake wakiona.

Mzee baba ulibugi big tym kuoa demu anaeshinda pale hyatt anachokifanya hata hakieleweki,ila kwny kichapo nakupa kongole nyingi saana."


Ushauri wangu kwako ni kupunguza jazba, soma kwanza kabla hujamuattack mtu.
 
Huyu jamaa hana undugu na jaji mihayo.

Huyu ni mnyamwezi wa Tabora na Black American. Ana uraia wa marekani sababu Baba yake marehemu alikuwa ni African American. Dogo kapiga shule Mtoni na yuko super smart kichwani. Ana maadili pia ya kiafrika na heshima na mtu wa watu sana hajisikii.

Yuko njema cribs tatu nne za maana, Mandinga ndio kama yote ya maana halagu janki mdogo. Ana proffessional network ya kufa mtu duniani. Yukovizuri Us embassy inamtambua na inampa fursa sana kama kijana smart

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwa exposure yake ni ajabu sana kupiga mwanamke. Sijui anajifikiriaje kufanya hivi iwapo angekuwa huko mbele!!!
 
Wewe tukana tu, wont be your first time anyways wala usinisingizie mimi kukusababishia.

Ngoja tu nikuelimishe; post yangu uliyoiquote ilikuwa inaijibu hii hapa chini ambayo haikuzungumzia kupigwa kwa wanaume wala watoto:

"Unaongelea kupigwa mbele ya watoto wake tu?Ongelea pia demu/mke kurudi usiku wa manane akiwa bwax huku akshushwa kwenye gari na mchepuko wake na watoto wake wakiona.

Mzee baba ulibugi big tym kuoa demu anaeshinda pale hyatt anachokifanya hata hakieleweki,ila kwny kichapo nakupa kongole nyingi saana."


Ushauri wangu kwako ni kupunguza jazba, soma kwanza kabla hujamuattack mtu.

First thing first,ulichokopi hapo sio changu!

Mimi naitwa Wyatt Mathewson,angalia post uliyokopi hapa nani author,never me!

Plus,pamoja na kukopi with open and close quotes zako,umefeli maana hujui kukopi comment ya mtu JF!

Still a JF rookie!

Plus,ma nigga Wilmore did that bitch just about right!

Hamtaki andamaneni!
 
Katika kitabu chake "The Fate of Africa: From The Hopes of Freedom To The Heart of Despair. A History of 50 Years of Independence" muandishi maarufu wa mambo ya Africa, Martin Meredith anatoa mfano wa kabila moja la Zambia. Aliwaukiza watu, kqbila lenu historia yake ni ipi? Mmetokea wapi? Chifu wenu kapatikana vipi?

Akaambiwa kabila letu limewekwa na Waingereza. Kulikuwa na ugomvi na majirani zetu hapa, wakaja Waingereza, wakasema kuanzia sasa nyinyi ni kabila jipya, eneo lenu hili, Chifu wenu huyu.

Hiyo ni miaka ya 1930s kama nakumbuka vizuri hii habari.

Kabila limeanzishwa watu wanaliona.

Huku kwetu ukisoma makabika yalivyozunguka utaona jinsi watu walivyojiweka na kuwekwa uChifu kifigisu (Chifu Burito, Chifu Mirambo). Utaona makabila yalivyozunguka.

Zaidi, bika ya DNA tets hujui hata kama anayesemwa baba wa mtoto ndiye baba hakika, sasa hapo kabika utalijuaje kibaiolojia?

Kama huna uhakika wa baba kibaiolojia, utajuaje kabila kibaiolojia?

Rais Mkapa katika kitabu chake kioya "My Life, My Purpose: A Tanzanian President Remembers" anasema watoto wake baba yao Mmakua, mama yao Mchaga, wao Watanzania waliokulia Dar, Canada, Marekani na Nigeria.

Sasa hapo watu wanaoa makabila tofauti na kukuza watoto dunia nzima.

Bado utasema kuna kabika biological?

Kabila gani? Umakua au Uchaga?

Wamakua wanafuata kabila na jina kwa mama.

Wachaga wanafuata kwa baba.

Hapi huoni kwamba kabila ni kitu arbitrary tu?

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu

Unanipa quotes za Wazungu walioandika negatively about African tribes miaka ya 1930’s?

Nikae hapa nimuamini huyo mzungu?

Respectfully,not to me!

Nashindwa kukuelewa,unabisha members wa kabila fulani hawana biological relationships of some sort?

Kumbuka hili ni group la watu linalo share ancestors miaka na miaka,eti leo wasiwe na biological connection of some sort?

Mkapa na wanga wengine,know nothing about biology,siwezi msikiliza!

Mimi natoka Moshi,tarafa nzima karibu ni ukoo mmoja halafu eti uniambie hatueshei some DNA markers?

Nigga plzzzz!
 
Mkuu kwa exposure yake ni ajabu sana kupiga mwanamke. Sijui anajifikiriaje kufanya hivi iwapo angekuwa huko mbele!!!
Ujue exposure ni kama moto.

Moto unaweza kukusaidia kupika chakula kama utautumia vizuri.

Na moto huohuo, unaweza kukufanya uunguze nyumba.

Exposure is a double edged sword. Inaweza kukusaidia vizuri kama utaitumia kwa humility.

Inaweza kukuharibia maisha kama utakuwa mjivuni kuona mimi mjanja, nina exposure, huna cha kuniambia, wewe mwanamke dhaifu tu.

Halafu paap. Unaambiwa huyo huyo dhaifu kakuzunguka umechapiwa.

Hapo ndipo mtu anaweza kuona huyu dhaifu kanizungukaje kirahisi hivi?

Anampa kipondo cha mwizi.

Kwa sababu ya exposure hiyo hiyo.

Inabidi tuwe makini sana hususan kwenye hizi habari za "matters if the heart".

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu

Unanipa quotes za Wazungu walioandika negatively about African tribes miaka ya 1930’s?

Mzungu ni nani? Unamjuaje huyu mzungu na huyu si mzungu? Mimi napinga validity ya makabila, halafu unanipinga kwa kutumia habari za mzungu, define mzungu ni nani, objectively.

Habari haikuandikwa 1930s, iliandikwa kuhusu kabila lililoanzishwa 1930s.

Habari haikuandikwa negatively, iliandika fact, kama unabisha, toa ushahidi kwamba si kweli, kwamba kabila hilo halipo.

Nikae hapa nimuamini huyo mzungu?

Respectfully,not to me!

Mzungu ni nani? Unajuaje huyu mzungu na huyu si mzungu?

Nashindwa kukuelewa,unabisha members wa kabila fulani hawana biological relationships of some sort?

Of course unashindwa kunielewa, we are not on the same wavelength.

Sijasema popote kwamba members wa kabila fulani hawana biological relationship ya aina fulani. Hilo la kwanza, uelewe.

Ninachokwambia ni kwamba, habari za makabila ni arbitrary, hazina formula, hazina misingi ya scientific fact.

Ndiyo maana wengine wanarithi kabila kwa baba (Wachaga, Wasukuma), wengine wanarithi kabila kwa mama (Wamakua, Wayao).

Pia, katika kabila, wanaorithi kabila kwa baba, ambao ndio wengi, hawana hata uhakika huyo baba ni baba wa kibaiolojia. Kuna watu wengi wanalelewa na baba Msukuma kwa mfano, baba anajua huyu mtoto wangu, mtoto anajua huyu baba yangu Msukuma, na mimi Msukuma, kumbe mama anajua baba halisi wa kibaiolojia ni Muhaya.

Mtoto analelewa kama Muskuma, anajijua yeye Msukuma, dunia inamjua Msukuma, kumbe baba yake Muhaya.

Hapo tayari unaona jinsi suala la kabila linavyoweza kuwa social kuliko biological.

Zaidi, siku hizi watu wanaoana makabila tofauti. Nimetoa mfano wa Mkapa hapo. yeye Mmakua, mkewe Mchaga, Wamakua wanachukua kabila kwa Mama, Wachaga wanachukua kabila kwa Baba.

Watoto wa Mkapa ni kabila gani?

Ukisema Wamakua, si sawa. Wamakua wanachukua kabila kwa mama. Mama si Mmakua.

Ukisema Wachaga, si sawa. Wachaga wanachukua kabila kwa baba, baba si Mchaga.

Sasa, watoto wa Mkapa wale kina Stephan na Nico ni kabila gani?

Mkapa kakataa kuwapa makabila, kasema wale ni Watanzania, kwanza hata kilugha cha huko umakuani au Uchagani hawajui.

Kumbuka hili ni group la watu linalo share ancestors miaka na miaka,eti leo wasiwe na biological connection of some sort?

Wapi nimesema kwamba hawana biological connections? Mbona hujaelewa nililoandika?

Nimesema kwamba, kabila ni a social construct, not a biological one. That does not mean kwenye kabila hakuna biological connections, but that does not alos mean that an individual is biologically identifiable with a tribe. Unaweza kusema huyu Mchaga kwa sababu baba yake Mchaga, ukaja kugundua kwa DNA test kwamba huyo anayedaiwa kuwa ni baba yake hata si baba yake biologically.

Nyerere aliongelea hili akasema Wazanaki wameamua urithi uwe unatoka kwa mjomba, mjomba ni kaka yake na mama, watu wameona mjomba na mama wamezaliwa tumbo moja, mjomba akifariki mali zake zinaenda kwa mtoto aliyezaliwa tumboni mwa dada yake ambaye walizaliwa tumbo moja. Hapo watu wame establish connection.

Mkapa na wanga wengine,know nothing about biology,siwezi msikiliza!

Sasa wewe unayelazimisha kwamba kabila, ambalo mainly linakuwa transmitted kutoka kwa baba, bila hata ya DNA verification ya nani ni baba wa kibaiolojia, ni jambo la kibaiolojia, ndiye unayejua baiolojia?

Mimi natoka Moshi,tarafa nzima karibu ni ukoo mmoja halafu eti uniambie hatueshei some DNA markers?

Nigga plzzzz!

Wapi nimesema hilo? Au you illiterate?
 
Back
Top Bottom