Mihayo Wilmore anayedaiwa kumpiga mkewe Nackitia Nyange "kipigo cha mbwa koko" ni nani?

Mihayo Wilmore anayedaiwa kumpiga mkewe Nackitia Nyange "kipigo cha mbwa koko" ni nani?

Adhabu mbadala mwanamke anaeongea sana ni mkalie kimya trust me hii adhabu ni kali sana ukiweza mpotezee kama vile hayupo kwenye maisha yako
Detach yourself silence treatment it’s more psychological punishment
It has worked for me I believe it can work for anyone else too
Those psychological stunts waachie wazungu, huku afrika ni kipondo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante Baba Paroko, ujumbe umewafikia.
Yaani unishughulikie mimi wakati huo niko wapi ? mpaka uninyooshe nakuangalia tu !, mimi nitajiua kabla hayajatokea hayo ili kuepusha uso wangu na aibu hio, kwai mwanaume kujilegeza na kuruhussu mwanamke akunyooshe ni kosa kubwa mbele za Mungu, Mwanamke ameagizwa na Mungu, ni lazima kumuheshimu na kumtii Mume wake (apende asipende), nasi wanaume tumeagizwa Kuwapenda wake zetu lakini kwa condition kwamba, wawe ni watii na wanyenyekevu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yani wanaume mnafurahisha
Hivi kumzalisha unahisi una muadhibu yeye tu au hata wewe?
Aisee sisi watu weusi tuna nini lakini [emoji28][emoji28][emoji28]
Kwenda leba Mara 3 (normal delivery) zalima uwe na adabu kwa mumeo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna kitu cha hivyo, nikukalie kimya umefanya Kosa ?, nijiletee magonjwa ya Moyo bure !!, ukifanya kosa la kusudi, unapata kipigo cha haja maisha yanaendelea, wanaume wengi sana wanakufa kutokana na magonjwa ya moyo na presha kwa sababu ya stress za wake zao, wakati wewe umekasirika yeye mwanamke ndio kwanza anaagiza chips kuku, Ni kupiga tu.
Mkuu kama nakuona vile, unavyotembeza kipigo cha haja na maisha yanaendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa hana undugu na jaji mihayo.

Huyu ni mnyamwezi wa Tabora na Black American. Ana uraia wa marekani sababu Baba yake marehemu alikuwa ni African American. Dogo kapiga shule Mtoni na yuko super smart kichwani. Ana maadili pia ya kiafrika na heshima na mtu wa watu sana hajisikii.

Yuko njema cribs tatu nne za maana, Mandinga ndio kama yote ya maana halagu janki mdogo. Ana proffessional network ya kufa mtu duniani. Yukovizuri Us embassy inamtambua na inampa fursa sana kama kijana smart

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu huyu mihay mnaemjua mnemuelezea kwa sifa lukuki kwamba ni supersmart', creative, ana super international network, nk.

Ni wazi angetakiwa kuwa somewhere kwenye makao makuu ya africa's top companies huko south africa, lagos, cairo, casablanca, gaborone, luanda, nairobi,nk. Huyu inaonekana ni kichwa, si kutema yai tu!!

Yet yupo bongo na kazi anayofanya haijaweza kumtambulisha kitaifa kama ni mtu mwenye kipaji adimu. Hata kama amepata mafanikio bongo, inaonekans hayaendani na sifa mnazompa!!! Kwani fani yake ni ipi hasa na anafanya kazi shirika gani la maana?

Je, kumpiga mkewe/kusambaratika kwa ndoa hakuchangiwi na kuchanganyikiwa kidogo kimaisha (dis-illusionment) kutokana na uwezo wake kutotumika ipasavyo? Labda angeweza kuwa kwenye level flani kubwa zaidi ya hiyo kiasi kwamba hata asingemuoa huyo nackitia? Labda nackitia angepata mume wa level yake?

Kwa namna mlivyomuelezea ni muda muafaka wenye kufanya maamuzi wamtupie jicho huyu bro ili kuweza kuvuna ujuzi na kipaji chake ipasavyo.

La sivyo, vichwa vya mishe town vinaweza kumtumia hata akajikuta anaishia pabaya!!!
 
i think wanaosema hawawezi piga mwanamke hawajawahi kutana na pasua kichwa kwenye hii dunia.I once said that,ila nilikuwa na demu mkenya)mkikuyu wa =gidhurai» back then is when nilijifunza kutumia mikono kunyamazisha mtu.
Githurai number 43 or 44 to Kahawa west.
Acha tu naelewa unachomaanisha.
 
Mkuu we live in a very competitive world. Usidhani kwamba ukiwa super smartni rahisi kuishia Google.

Watu wenye akili no wengi, inahitajika nyota, kibali Cha mwenyezi mungu pia.

Lakini watu wote wenye akili nyingi huwa wanarudi nyumbani kutatua changamoto doing A startup business.

As kwa mihayo ni IT consultant. Angalia mtu Kama Benj Fernandez karudi nyumbani ameanzisha Kampuni yake.

Recently I saw mihayo na wabobezi wa Costech najua he is cooking up something big.

Usikariri Kila mwenye akili lazima aishie African development bank ni utashi wa mtu binafsi
Mkuu huyu mihay mnaemjua mnemuelezea kwa sifa lukuki kwamba ni supersmart', creative, ana super international network, nk.

Ni wazi angetakiwa kuwa somewhere kwenye makao makuu ya africa's top companies huko south africa, lagos, cairo, casablanca, gaborone, luanda, nairobi,nk. Huyu inaonekana ni kichwa, si kutema yai tu!!

Yet yupo bongo na kazi anayofanya haijaweza kumtambulisha kitaifa kama ni mtu mwenye kipaji adimu. Hata kama amepata mafanikio bongo, inaonekans hayaendani na sifa mnazompa!!! Kwani fani yake ni ipi hasa na anafanya kazi shirika gani la maana?

Je, kumpiga mkewe/kusambaratika kwa ndoa hakuchangiwi na kuchanganyikiwa kidogo kimaisha (dis-illusionment) kutokana na uwezo wake kutotumika ipasavyo? Labda angeweza kuwa kwenye level flani kubwa zaidi ya hiyo kiasi kwamba hata asingemuoa huyo nackitia? Labda nackitia angepata mume wa level yake?

Kwa namna mlivyomuelezea ni muda muafaka wenye kufanya maamuzi wamtupie jicho huyu bro ili kuweza kuvuna ujuzi na kipaji chake ipasavyo.

La sivyo, vichwa vya mishe town vinaweza kumtumia hata akajikuta anaishia pabaya!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona hasira zipo juu sana mkuu1
Mtu smart unapigaje mwanamke vile?!!..tuache uongo wakati mwengine!!!..jama angekua na maconnection hayo angeenda mwananchi Digital?...jamaa mnampa sifa sana

Sent using tofali la kuchoma
 
Mkuu we live in a very competitive world. Usidhani kwamba ukiwa super smartni rahisi kuishia Google.

Watu wenye akili no wengi, inahitajika nyota, kibali Cha mwenyezi mungu pia.

Lakini watu wote wenye akili nyingi huwa wanarudi nyumbani kutatua changamoto doing A startup business.

As kwa mihayo ni IT consultant. Angalia mtu Kama Benj Fernandez karudi nyumbani ameanzisha Kampuni yake.

Recently I saw mihayo na wabobezi wa Costech najua he is cooking up something big.

Usikariri Kila mwenye akili lazima aishie African development bank ni utashi wa mtu binafsi

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu usini crash kwamba nimekariri wakati nimeandika bila hizo taarifa ambazo umenipa. Ndio maana nimependa kujua fani yake na anafanya nini. Maana nimefuatilia uzi kuna mahali nimeona hela za CRDB nikabaki na maswali.

Sasa umenielewesha nimeelewa. Fernandez namfahamu na namuunga mkono anachofanya. Sasa kama mweleleo ndio huo basi bro anahitaji support.
 
Burnaboy easy up brother. Watu wenye akili na elimu yenye kiwango inafundishwa na kumkuza mtu ajiajiri Mara nyingi aanzie chini then apande juu akiwa amejenga brand yake.Na sio kuajiriwa unless uwe mtafiti Kama kina Luzango mfupe( mgoogle huyu mbongo mbobezi Yuko south utauona mziki wake)

Crdb Wana kutofautiana na Mihayo nadhani kwenye certain product aliyoidevelop kwa ajili yao according to a member here in JF.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Burnaboy easy up brother. Watu wenye akili na elimu yenye kiwango inafundishwa na kumkuza mtu ajiajiri Mara nyingi aanzie chini then apande juu akiwa amejenga brand yake.Na sio kuajiriwa unless uwe mtafiti Kama kina Luzango mfupe( mgoogle huyu mbongo mbobezi Yuko south utauona mziki wake)

Crdb Wana kutofautiana na Mihayo nadhani kwenye certain product aliyoidevelop kwa ajili yao according to a member here in JF.

Sent using Jamii Forums mobile app
Poa mkuu hapa ndo nazidi kumwelewa.
Kwa ujumla ingawa mwanzo nilishangazwa kwa kitendo kile, concern yangu ni ya mwelekeo wa kumtakia kheri
 
Swali la kujiuliza kwanini nacky apigwe vile na kwanini clip itolewe sasa hivi

Mihayo VS Nacky. Mume alishinda kesi ya madai iliyofunguliwa na Nacky mkewe aliamuriwa amlipe mamilioni mia kadhaa kwa usumbufu na matatizo aliyoyasabisha. Demu alikuwa anataka mali ambazo zimemilikishwa watoto wao.

Demu kwa sasa hali ya kifedha yuko vibaya ndio maana kavujisha hii clip ili umma umuonee huruma.

Sababu ya huyu dada kupigwa ni kufumaniwa akitembea na rafiki wa karibu wa mumewe. Ambaye ni baller hapa town huyu jamaa. Vijana wa Tigo wanajua hii story.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseeeee.
 
Nacky sio mpare. Get your facts right.
mm nilidhani ni Mpare pure, basi jamii za Wasambaa au wanguu (Nacky Nyange)

Duh too bad sikuweza kuisikiliza I wish ningemsikia mwenyewe utetezi wake
Mwanaume kuongea kuhusu siri za ndani sio kawaida kwa yeye kuongelea mabaya ya mwenzie definitely yeye pia ana tatizo ona sasa kafanya mpaka tumejua mengine ambayo hayakujulikana
msikilize na mwanamke pia
 
Back
Top Bottom