Miili ya wanajeshi wa Hizbollah yaanza kuzikwa

Miili ya wanajeshi wa Hizbollah yaanza kuzikwa

econonist

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
20,189
Reaction score
29,663
Baada ya cease fire kutngazwa, miili ya wapiganaji wa Hisbollah imeanza kufukuliwa na kukabidhiwa kwa wanafamilia kwaajili ya kuzikwa. Miili msingi ya wanajeshi ilifikiwa kwenye makaburi ya halaiki kwani kutokana na mashambulizi ya Israel wasingeweza kukabidhi miili hiyo kwa familia za wahusika. Miili ni mingi Sana .

Wanandugu wa wapiganaji hao wameshukuru kupewa miili ya ndugu zao hao waliokuwa wanatumikia Hizbollah na kwenda kuwazika kwa heshima zote za kidini na kifamilia.

Source: BBC News TV
 
Baada ya cease fire kutngazwa, miili ya wapiganaji wa Hisbollah imeanza kufukuliwa na kukabidhiwa kwa wanafamilia kwaajili ya kuzikwa. Miili msingi ya wanajeshi ilifikiwa kwenye makaburi ya halaiki kwani kutokana na mashambulizi ya Israel wasingeweza kukabidhi miili hiyo kwa familia za wahusika. Miili ni mingi Sana .

Wanandugu wa wapiganaji hao wameshukuru kupewa miili ya ndugu zao hao waliokuwa wanatumikia Hizbollah na kwenda kuwazika kwa heshima zote za kidini na kifamilia.

Source: BBC News TV
Baambie pia iyoiyo BBC wamesema Hezbullah jana wameanza kupeleka moto upya kambi mbili zajeshi la Israel zimeunguzwa bbc wanadai Hezbollah wamedai iyo onyo tu. Mkiendelea tunaendelea nasisi kukiuka mkataba.
 
Baambie pia iyoiyo BBC wamesema Hezbullah jana wameanza kupeleka moto upya kambi mbili zajeshi la Israel zimeunguzwa bbc wanadai Hezbollah wamedai iyo onyo tu. Mkiendelea tunaendelea nasisi kukiuka mkataba.
Zungumzia mazishi ya halaiki ya wanajeshi wa Hezbollah. Wakati ule walikosa hata muda wa kuzika, mambo yalikuwa ni mengi. Ceasefire ni kwa ajili ya mazishi
 
Baambie pia iyoiyo BBC wamesema Hezbullah jana wameanza kupeleka moto upya kambi mbili zajeshi la Israel zimeunguzwa bbc wanadai Hezbollah wamedai iyo onyo tu. Mkiendelea tunaendelea nasisi kukiuka mkataba.

Nadhani Hizbollah walikuwa wanalipiza baada ya kiwanda Chao Cha silaha kuteketezwa.
 
Baada ya cease fire kutngazwa, miili ya wapiganaji wa Hisbollah imeanza kufukuliwa na kukabidhiwa kwa wanafamilia kwaajili ya kuzikwa. Miili msingi ya wanajeshi ilifikiwa kwenye makaburi ya halaiki kwani kutokana na mashambulizi ya Israel wasingeweza kukabidhi miili hiyo kwa familia za wahusika. Miili ni mingi Sana .

Wanandugu wa wapiganaji hao wameshukuru kupewa miili ya ndugu zao hao waliokuwa wanatumikia Hizbollah na kwenda kuwazika kwa heshima zote za kidini na kifamilia.

Source: BBC News TV
Wafia dini watakuja na vipropaganda israel inaua wanawake na watoto lebanon na gaza kama vile wapiganaji wa hamas na hezbollah hawafagi?
 
Habari yko ipo kipropaganda ndio mana utaki Habari pinzan!!!! Kuwa mpole hii ndio JF
 
Baada ya cease fire kutngazwa, miili ya wapiganaji wa Hisbollah imeanza kufukuliwa na kukabidhiwa kwa wanafamilia kwaajili ya kuzikwa. Miili msingi ya wanajeshi ilifikiwa kwenye makaburi ya halaiki kwani kutokana na mashambulizi ya Israel wasingeweza kukabidhi miili hiyo kwa familia za wahusika. Miili ni mingi Sana .

Wanandugu wa wapiganaji hao wameshukuru kupewa miili ya ndugu zao hao waliokuwa wanatumikia Hizbollah na kwenda kuwazika kwa heshima zote za kidini na kifamilia.

Source: BBC News TV
Na ile miili ya IDF vipi itazikwa lini
 
Baada ya cease fire kutngazwa, miili ya wapiganaji wa Hisbollah imeanza kufukuliwa na kukabidhiwa kwa wanafamilia kwaajili ya kuzikwa. Miili msingi ya wanajeshi ilifikiwa kwenye makaburi ya halaiki kwani kutokana na mashambulizi ya Israel wasingeweza kukabidhi miili hiyo kwa familia za wahusika. Miili ni mingi Sana .

Wanandugu wa wapiganaji hao wameshukuru kupewa miili ya ndugu zao hao waliokuwa wanatumikia Hizbollah na kwenda kuwazika kwa heshima zote za kidini na kifamilia.

Source: BBC News TV
Huo ni uongo maana tulikuwa tunaambiwa wanaolengwa ni watoto na wanawake
 
Labda kwa sababu watu wanasema vita biashara. lakini hii vita hezbollah hawawezi kushinda.
Ni kweli. Maghala, viwanda na ofisi zote beirut zimepigwa kiberiti na Israel. Hivi sasa wanajitutumua na vijisilaha walivyoficha mashimoni. Nako wameshaambiwa wakabidhi eneo kwa Jeshi la Lebanon. Hawana ujanja tena.
 
Baambie pia iyoiyo BBC wamesema Hezbullah jana wameanza kupeleka moto upya kambi mbili zajeshi la Israel zimeunguzwa bbc wanadai Hezbollah wamedai iyo onyo tu. Mkiendelea tunaendelea nasisi kukiuka mkataba.
Waiambie Serikali ya Lebanon kuwa wanataka kuendelea na vita. Serikali ya Lebanon ndiyo iliomba ceasefire.

Israel imesema ipo tayari kupigana na hezbollar na jeshi la Lebanon kwa pamoja.
 
Waiambie Serikali ya Lebanon kuwa wanataka kuendelea na vita. Serikali ya Lebanon ndiyo iliomba ceasefire.

Israel imesema ipo tayari kupigana na hezbollar na jeshi la Lebanon kwa pamoja.
Kwaulewa wako tuseme na Serikali ya palestine chini ya Mahmud Abbas inaweza omba iyo Ceasfire na ikakubaliwa!! tuweke Wakweli sio kuwa nguvu za Hezbollah ndio Sababu kuuu. Si tuliona miji ya Israel inawaka moto au nimeona pekeyangu mkuu wewe ukuona!!!!!
 
Baada ya cease fire kutngazwa, miili ya wapiganaji wa Hisbollah imeanza kufukuliwa na kukabidhiwa kwa wanafamilia kwaajili ya kuzikwa. Miili msingi ya wanajeshi ilifikiwa kwenye makaburi ya halaiki kwani kutokana na mashambulizi ya Israel wasingeweza kukabidhi miili hiyo kwa familia za wahusika. Miili ni mingi Sana .

Wanandugu wa wapiganaji hao wameshukuru kupewa miili ya ndugu zao hao waliokuwa wanatumikia Hizbollah na kwenda kuwazika kwa heshima zote za kidini na kifamilia.

Source: BBC News TV

Hapa kwetu hilo lisingewezekana. Tungeambiwa ni haramu matalaka
 
Back
Top Bottom