Miili ya wanajeshi wa Hizbollah yaanza kuzikwa

Miili ya wanajeshi wa Hizbollah yaanza kuzikwa

Sasa si waende tu pale Lebanon kwanini wanazunguka m'buyu!!!! wanaogopa nini kuwafata nyumbani kwao na tuliona waliandaa IDF elf 50000 imekuwaje wamegeuza sasa wanataka kuwavizia wakiwa na kazi nyengine waoga waoga tuwe Wakweli wamatumbi wenzangu wameaibika ktk macho y Dunia

Israel wapo ndani ya Lebanon. Wamechukua maeneo ya Kusini mwa Lebanon. Hizbullah kafurimushwa kwenye base zake huko Kusini. Lengo la Israel sio kuiteka Lebanon yote Bali kuwaondoa Hizbullah Kusini mwa Lebanon ili wasiwabugudhi raia wa Israel walioko Kaskazini mwa Israel. Kumbuka Israel haipambani na jeshi la Lebanon Bali jeshi la Hizbullah ambalo ngome yake ni Kusini mwa Lebanon.
 
Kwaiyo kuita tu genocide ndio wapo pamoja nao. Iyo Aljazeera yenyewe aipo free na washawai kili kuwa wao wenyewe wapo kwenye mfumo ambao inawabidi wafate wanachoambiwa. Ata Azam Media ivyoivyo Walibanwa wazitoe CCTV y China na RT y Russia.

Aljazeera wapo upande wa Hamas.
 
Kwaiyo kuita tu genocide ndio wapo pamoja nao. Iyo Aljazeera yenyewe aipo free na washawai kili kuwa wao wenyewe wapo kwenye mfumo ambao inawabidi wafate wanachoambiwa. Ata Azam Media ivyoivyo Walibanwa wazitoe CCTV y China na RT y Russia.

Aljazeera wapo upande wa Hamas.
 
Tangu jana wamepigwa kambizao adi sasa sijasikia kama Israel imekiuka tena Mkataba wa usitishaji na waliambiwa iyo onyo tu,. Wameufyata au wamerusha kitu Lebanon!!

Hizbullah wamekimbilia Lebanon na baadhi ya Viongozi wapo Iran. Kwa Sasa Lebanon itapumua. Kumbuka Israel imewafuata huko Syria ili ikawamalizie kabisa.
 
Tangu jana wamepigwa kambizao adi sasa sijasikia kama Israel imekiuka tena Mkataba wa usitishaji na waliambiwa iyo onyo tu,. Wameufyata au wamerusha kitu Lebanon!!

Kwa Sasa Hizbulla wamechoka. Zimebakia sifa za kijinga. Tangu kulipuliwa kwa zile pagers Hizbullah alitakiwa kushtuka baadala yake kupambana na kapoteza vyote.
 
Watawaonea wanyonge tu Gaza vile wamewazingila kitambo sasa lkn wangekuwa free kama Lebanon vita vingeshaisha muda tu. Adui apendi kufa muoga w kufa.

Kumbuka Hamas ndio aliyeanza uchokozi. Hakuna aliyekuwa na time naye. Sasa amechapwa na Viongozi wake wote wakuu kuuawa kuanzia Haniye mpaka Sinwar. Uonevu upo wapi ?
 
Hizbollah walijiingiza kwenye hii vita ambayo haikuwahusu. Hamas alipoishambulia Israel tarehe 7 October nao Hizbollah wakaanza mashambulizi dhidi ya Israel October 8, Yani kesho yake.
Na hapo alichovuna ndo matokeo hayo anazika halaiki ya miili ya wapiganaji wao waliouawa bila sababu za kimsingi.
 
Zile story ohhh Entebe ohh vita siku 6 ndio awa makomando wao mbele ya Dunia wamekimbia kusini mwa Lebanon kupambana kiume na Hezbullah mbaya zaid awataki Mkataba na Gaza lkn wamekubali mkataba na Hezbollah aibu hii yani tatizo Gaza awana vitu vikali vyakuitetemesha Telaviv awana Drone awa ndio IDF inataka vita nao!!! Taifa teule vita siku6 maisha ya uwongo kujitukuza kwa uwongo mwisho wake ndio huu tunauwona.

Punguza uongo Nani kakimbia Kusini mwa Lebanon?. Vikosi vya Israel vimesema havitaondoka Lebanon mpaka siku raia wake wa Kaskazini watahakikishiwa usalama. Tatizo hata hufiatilii taarifa za mgogoro huo.

Halafu nikuulize swali Nani kaanzisha vita? Tatizo unaongea vitu Bure tu. Hizbullah ndio alianza kurusha makombora baada tu ya Israel kushambiliwa na Hamas. Israel kamuua Kiongozi wao mkuu Nasrallah na mrithi wake pia ambaye hakudumu kwa hata kwa wiki moja. Kiongozi wa
 
Zile story ohhh Entebe ohh vita siku 6 ndio awa makomando wao mbele ya Dunia wamekimbia kusini mwa Lebanon kupambana kiume na Hezbullah mbaya zaid awataki Mkataba na Gaza lkn wamekubali mkataba na Hezbollah aibu hii yani tatizo Gaza awana vitu vikali vyakuitetemesha Telaviv awana Drone awa ndio IDF inataka vita nao!!! Taifa teule vita siku6 maisha ya uwongo kujitukuza kwa uwongo mwisho wake ndio huu tunauwona.

Nani alijua ipo siku Nasrallah atauawa?. Alikuwa analindwa kuliko chochote ila kapigwa palepale Beirut. Nani alijua Haniyeh atauawa?. Ila kapigwa palepale Tehran. Kitu ambacho Israel alishindwa kujifanya huko nyuma kakifanya kwa Sasa halafu bado unataka Nini kingine?. Israel hapigani na Lebanon Bali na majeshi ya Hizbullah yanayoungwa mkono na Iran.
 
Kumbuka Hamas ndio aliyeanza uchokozi. Hakuna aliyekuwa na time naye. Sasa amechapwa na Viongozi wake wote wakuu kuuawa kuanzia Haniye mpaka Sinwar. Uonevu upo wapi ?
Hakuna uonevu ukianzisha vita. Kuanzisha vita manake umejipima na kujizatiti vilivyo kwamba mtanange huo utaumudu ndipo unaliamsha. Ikitokea tofauti na jinsi ulivyodhania au mategemeo yako inabidi ukiri makosa na kuomba radhi kwa kujisalimisha. Ukikaza shingo, kichapo kitaendelea hadi mpiganaji wa mwisho atakapodondoka. Ndo mana Israeli alikataa Truce na HAMAS.
 
Iyoiyo Gaza bado IDF wamekufa kibao. Na bado wanakufa mateka bado wanakula mlo 1 wanaomba kwenda chooni kwa vijana w Hamas miez 14 sasa. Keleee Na propaganda zao BBC na kwengine hooo Entebe heeerr siku6 Mwarabu kakaaa ayo makeke tuyaone mkikomboa watu wenu wapi mnaweka Pesa mezani kila mateka m1, !! mbona kule Entebe amkuweka pesa pengine ingeokoa Waganda n wajeda wenu. Afu tukisema nguvu ya Taifa teule ni Media lkn ukweli weupe iyo misifa mnawapa mngesifia vitu vyetu tungekuwa mbali.!!! Sijui wana akili nyingi akili nyingi wangeishi nchi ya vita vita mm unidanganyi kwenda kuishi kwamijinga ile.

Una uhakika mateka mateka bado wapo hai?. Unaongea kana kwamba upo site.
 
Hakuna uonevu ukianzisha vita. Kuanzisha vita manake umejipima na kujizatiti vilivyo kwamba mtanange huo utaumudu ndipo unaliamsha. Ikitokea tofauti na jinsi ulivyodhania au mategemeo yako inabidi ukiri makosa na kuomba radhi kwa kujisalimisha. Ukikaza shingo, kichapo kitaendelea hadi mpiganaji wa mwisho atakapodondoka. Ndo mana Israeli alikataa Truce na HAMAS.

Hakuna haja ya Truce , mtu kaanza uchokozi halafu anataka mapatano hapana kabisa.
 
Kwahiyo hizo Maiti za Hezbola zilizokuwa zimeahidiwa Bikra sabini hivi zimefanikisha?!
 
Ni kweli kabisa. Moja ya makubaliano ya ceasefire ni kwamba Hizbulla waondoke kule Kusini na Hilo eneo liwe Chini Cha jeshi la Lebanon.
Sio kweli nyinyi mbona waongo waongo sana kilichokubaliwa na Wajeda wa Serikali
Kule Syria ni uwanja wa Vita na makubaliano ya Ceasefire ya Lebanon yanahusu ndani ya Mipaka ya Lebanon na pia Israel inataka utawala wa Assad uanguke ili Ayatolah akose sehemu ya kupenyeza Silaha kwenda Hezbola.

Umeiona hiyo Game?!😆😆😁
Kaka iyo Game ni mbaya kwa Israel wachovu wenu unajua luwa Iran inataka kutumia mgogoro huu w Syria ili kuleka Wajeda wake na kila kitu kinachoitajika vitani sio muda Israel itapoona Syria pachungu na ndio Sababu ya vita ya mojakwamoja kat y Iran n Israel yani itasubiliwa tu Israel ijitekenye!!!! Ngoja tuone mzozo w Syria ndio utotoa majibu. Lkn kaka Israel kashatepeta yupo hoiii
 
Sio kweli nyinyi mbona waongo waongo sana kilichokubaliwa na Wajeda wa Serikali

Kaka iyo Game ni mbaya kwa Israel wachovu wenu unajua luwa Iran inataka kutumia mgogoro huu w Syria ili kuleka Wajeda wake na kila kitu kinachoitajika vitani sio muda Israel itapoona Syria pachungu na ndio Sababu ya vita ya mojakwamoja kat y Iran n Israel yani itasubiliwa tu Israel ijitekenye!!!! Ngoja tuone mzozo w Syria ndio utotoa majibu. Lkn kaka Israel kashatepeta yupo hoiii
Leo Ndege za Marekani zimeanza kuwapiga Askari wa Assad na Wanamgambo wa Kishia wanaomsaidia.
 
Mambo mengi apo lkn kilichokubaliwa na wanajesh w Serikali ya Lebanon waende kusini lkn sio kuwa Hezbollah waondoke apana ata mwanzo kabisa Serikali ya Lebanon ilitaka kuepusha vita ikawaambia marekani na Israel kuwa wao Jeshi la serikali linaenda kusini kuchukua nafasi y mbele na hezbullah watalejea nyuma kidogo. Lkn Israel aikutaka Aman ikaanza kupelaka moto Lebanan pamoja na maeneo ya Hezbollah kufikia apo Jesh la Lebanon likatoka mbio kuiyacha kusini na Hezbollah ndio vita ikakua sasa. Kwaiyo ichi wanachofanya Jesh la Serikali sio kipya walifanya kabla ya vita. Hezbullah awaondoki popote ila mbele wanakuwa Jesh la Serikali
 
Back
Top Bottom