Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa si waende tu pale Lebanon kwanini wanazunguka m'buyu!!!! wanaogopa nini kuwafata nyumbani kwao na tuliona waliandaa IDF elf 50000 imekuwaje wamegeuza sasa wanataka kuwavizia wakiwa na kazi nyengine waoga waoga tuwe Wakweli wamatumbi wenzangu wameaibika ktk macho y DuniaIDF imeanza kuwafuata Hezbola huko huko Syria jana imewashambulia kinoma
Kule Syria ni uwanja wa Vita na makubaliano ya Ceasefire ya Lebanon yanahusu ndani ya Mipaka ya Lebanon na pia Israel inataka utawala wa Assad uanguke ili Ayatolah akose sehemu ya kupenyeza Silaha kwenda Hezbola.Sasa si waende tu pale Lebanon kwanini wanazunguka m'buyu
Huo ni uongo maana tulikuwa tunaambiwa wanaolengwa ni watoto na wanawake
Ni kweli. Maghala, viwanda na ofisi zote beirut zimepigwa kiberiti na Israel. Hivi sasa wanajitutumua na vijisilaha walivyoficha mashimoni. Nako wameshaambiwa wakabidhi eneo kwa Jeshi la Lebanon. Hawana ujanja tena.
Waiambie Serikali ya Lebanon kuwa wanataka kuendelea na vita. Serikali ya Lebanon ndiyo iliomba ceasefire.
Israel imesema ipo tayari kupigana na hezbollar na jeshi la Lebanon kwa pamoja.
Kwaulewa wako tuseme na Serikali ya palestine chini ya Mahmud Abbas inaweza omba iyo Ceasfire na ikakubaliwa!! tuweke Wakweli sio kuwa nguvu za Hezbollah ndio Sababu kuuu. Si tuliona miji ya Israel inawaka moto au nimeona pekeyangu mkuu wewe ukuona!!!!!
Sio wanajeshi ni magaidi ya Hezbollah na Hamas. Israel imeenda mbali zaidi na kubadilisha uongozi mzima wa haya makundi mawili ya kigaidi.Israel imekuwa wanajeshi wengi wa Hamas na Hizbollah.