War is boring..Baada ya cease fire kutngazwa, miili ya wapiganaji wa Hisbollah imeanza kufukuliwa na kukabidhiwa kwa wanafamilia kwaajili ya kuzikwa. Miili msingi ya wanajeshi ilifikiwa kwenye makaburi ya halaiki kwani kutokana na mashambulizi ya Israel wasingeweza kukabidhi miili hiyo kwa familia za wahusika. Miili ni mingi Sana .
Wanandugu wa wapiganaji hao wameshukuru kupewa miili ya ndugu zao hao waliokuwa wanatumikia Hizbollah na kwenda kuwazika kwa heshima zote za kidini na kifamilia.
Source: BBC News TV
Kweli kabisaLabda kwa sababu watu wanasema vita biashara. lakini hii vita hezbollah hawawezi kushinda.
Ina maana Marekani inawasaidia magaidi wa HTS?Leo Ndege za Marekani zimeanza kuwapiga Askari wa Assad na Wanamgambo wa Kishia wanaomsaidia.
Marekani ya Biden wanachofanya ni kuchochea mgogoro utokote vizuri lakini sijui Trump akija atafanyaje?Ina maana Marekani inawasaidia magaidi wa HTS?
Ww na Netanyayu tumwqmini nani ndio anqjua zaid kuusu Mateka mana Netanyahu kaweka PESA mezani sasa sijui alikusudia kutoa Sadaka izo pesa.Una uhakika mateka mateka bado wapo hai?. Unaongea kana kwamba upo site.
Kwa hiyo bro unaridhia aendelee kupigwa kama ngoma sio??Hakuna haja ya Truce , mtu kaanza uchokozi halafu anataka mapatano hapana kabisa.
Mhhhh! Alifikiria mabikra 72 na mito ya pombe.Kweli kabisa mkuu. Sijui alifikiria Nini.
vita haina macho,Baada ya cease fire kutngazwa, miili ya wapiganaji wa Hisbollah imeanza kufukuliwa na kukabidhiwa kwa wanafamilia kwaajili ya kuzikwa. Miili msingi ya wanajeshi ilifikiwa kwenye makaburi ya halaiki kwani kutokana na mashambulizi ya Israel wasingeweza kukabidhi miili hiyo kwa familia za wahusika. Miili ni mingi Sana .
Wanandugu wa wapiganaji hao wameshukuru kupewa miili ya ndugu zao hao waliokuwa wanatumikia Hizbollah na kwenda kuwazika kwa heshima zote za kidini na kifamilia.
Source: BBC News TV
Kumfikia malkia wa nyuki sio mchezo; vibarua wengi sana lazima wafe! Nasrallah kuuliwa walishakufa kabla na waliendelea kufa wengi baada yake.Israel imeteketeza Hizbollah wengi Sana.
Wale viongozi wa Hezbollah waliouliwa wote walifia mafichoni hakuna aliyekufa akiwa mstari wa mbele sasa hiyo kama sio woga ni nini.Watawaonea wanyonge tu Gaza vile wamewazingila kitambo sasa lkn wangekuwa free kama Lebanon vita vingeshaisha muda tu. Adui apendi kufa muoga w kufa.
Dah! Hata Netanyahu akifa leo hana deni duniani. Amelitendea haki taifa lake na watu wake. Huyo ni mfano halisi wa jemadari wa vita kulinda watu wake; ni Daudi wa nyakati zetu. Libarikiwe tumbo lililomzaa.Ni kweli. Maghala, viwanda na ofisi zote beirut zimepigwa kiberiti na Israel. Hivi sasa wanajitutumua na vijisilaha walivyoficha mashimoni. Nako wameshaambiwa wakabidhi eneo kwa Jeshi la Lebanon. Hawana ujanja tena.
Huo ujumbe wa kula bikra unawahusu jinsia gani?Mayahud kuweni na huruma mtachomeka siku ya kiyama wakat sie tukila bikra alizotuahidia mola wetu
Eti imebadilisha uongozi wa juu! Teh!Sio wanajeshi ni magaidi ya Hezbollah na Hamas. Israel imeenda mbali zaidi na kubadilisha uongozi mzima wa haya makundi mawili ya magaidi.
Picha inajieleza.Eti imebadilisha uongozi wa juu! Teh!
Tuongee kweli tusiwe watu atupimi mambo kwa kina tunabaki tu kafa kiongozi frani sawa je imelete auweni yyte kwa IDF akuna wamekufa kama wapo hai tu kilakitu kinaendelea vilevile wala akuna kilochosimama jana tu Hezbollah imepeleka moto uko Israel adi sasa IDF aijafanya shambulizi lolote dawa y moto moto!!Aliuwa viongozi akidhani itasaidia kuwavuruga adui zake lkn ikathibitika kuwa sio lolote wala chochote moto upo palepale kutoka Hezbollah wkt kutoka Hamas napo ndio ivyoivyo adi leo Mateka wanaishi na kupangiwa kila kitu na Hamas. Akuna kilichosaida au tusaidie nini kipya kimepatikana kwa kufa wale viongozi.
Tayari israel imejibu mapigo ameuawa kiongozi wa hezbollah mwingineTangu jana wamepigwa kambizao adi sasa sijasikia kama Israel imekiuka tena Mkataba wa usitishaji na waliambiwa iyo onyo tu,. Wameufyata au wamerusha kitu Lebanon!!
Ndio mnavyojidanganya huko madrasa israel imejibu kwa kumuua kiongozi mwingine wa hezbollahTangu jana wamepigwa kambizao adi sasa sijasikia kama Israel imekiuka tena Mkataba wa usitishaji na waliambiwa iyo onyo tu,. Wameufyata au wamerusha kitu Lebanon!!
Ndio mnavyojidanganya huko madrasa israel imejibu kwa kumuua kiongozi mwingine wa hezbollahkiongiz
iyo habari ya uyo kiongozi kuuwawa tuwekee apa ukiweza na jina !!! Kuusu madrasa wanadanya ndio nasikia kwako zaid ww unajua nmm najua Watu waongo wapo upande wenu nikukumbushe tu Viwete watatembea vipofu wataona viziwi watasikia mmeenda mbali adi sasa mnafufua wafu shubamit narudia sijawai ona uwongo madrasa au kusikia ushuz ushuz kama huwo viwete watatembea usaniiii tupu aibu yenu mijitu mikubwa mnadanganywa kama watoto uku mnashangilia ujinga watu wazima!!!!!!Ndio mnavyojidanganya huko madrasa israel imejibu kwa kumuua kiongozi mwingine wa hezbollah