Miili ya wanajeshi wa Hizbollah yaanza kuzikwa

War is boring..
 
Una uhakika mateka mateka bado wapo hai?. Unaongea kana kwamba upo site.
Ww na Netanyayu tumwqmini nani ndio anqjua zaid kuusu Mateka mana Netanyahu kaweka PESA mezani sasa sijui alikusudia kutoa Sadaka izo pesa.
 
vita haina macho,
amani ni gharama mno.

kama taifa yafaa kuilinda na kuitunza amani ya Tanzania kwa umoja
 
Watawaonea wanyonge tu Gaza vile wamewazingila kitambo sasa lkn wangekuwa free kama Lebanon vita vingeshaisha muda tu. Adui apendi kufa muoga w kufa.
Wale viongozi wa Hezbollah waliouliwa wote walifia mafichoni hakuna aliyekufa akiwa mstari wa mbele sasa hiyo kama sio woga ni nini.

Hakuna watu waoga kama magaidi na ndio maana hukimbilia kujificha kwa wanawake na watoto. Bure kabisa.
 
Ni kweli. Maghala, viwanda na ofisi zote beirut zimepigwa kiberiti na Israel. Hivi sasa wanajitutumua na vijisilaha walivyoficha mashimoni. Nako wameshaambiwa wakabidhi eneo kwa Jeshi la Lebanon. Hawana ujanja tena.
Dah! Hata Netanyahu akifa leo hana deni duniani. Amelitendea haki taifa lake na watu wake. Huyo ni mfano halisi wa jemadari wa vita kulinda watu wake; ni Daudi wa nyakati zetu. Libarikiwe tumbo lililomzaa.
 
Aliuwa viongozi akidhani itasaidia kuwavuruga adui zake lkn ikathibitika kuwa sio lolote wala chochote moto upo palepale kutoka Hezbollah wkt kutoka Hamas napo ndio ivyoivyo adi leo Mateka wanaishi na kupangiwa kila kitu na Hamas. Akuna kilichosaida au tusaidie nini kipya kimepatikana kwa kufa wale viongozi.
 
Tuongee kweli tusiwe watu atupimi mambo kwa kina tunabaki tu kafa kiongozi frani sawa je imelete auweni yyte kwa IDF akuna wamekufa kama wapo hai tu kilakitu kinaendelea vilevile wala akuna kilochosimama jana tu Hezbollah imepeleka moto uko Israel adi sasa IDF aijafanya shambulizi lolote dawa y moto moto!!
 
Tangu jana wamepigwa kambizao adi sasa sijasikia kama Israel imekiuka tena Mkataba wa usitishaji na waliambiwa iyo onyo tu,. Wameufyata au wamerusha kitu Lebanon!!
Tayari israel imejibu mapigo ameuawa kiongozi wa hezbollah mwingine
 
Tangu jana wamepigwa kambizao adi sasa sijasikia kama Israel imekiuka tena Mkataba wa usitishaji na waliambiwa iyo onyo tu,. Wameufyata au wamerusha kitu Lebanon!!
Ndio mnavyojidanganya huko madrasa israel imejibu kwa kumuua kiongozi mwingine wa hezbollah
 
Ndio mnavyojidanganya huko madrasa israel imejibu kwa kumuua kiongozi mwingine wa hezbollahkiongiz

Ndio mnavyojidanganya huko madrasa israel imejibu kwa kumuua kiongozi mwingine wa hezbollah
iyo habari ya uyo kiongozi kuuwawa tuwekee apa ukiweza na jina !!! Kuusu madrasa wanadanya ndio nasikia kwako zaid ww unajua nmm najua Watu waongo wapo upande wenu nikukumbushe tu Viwete watatembea vipofu wataona viziwi watasikia mmeenda mbali adi sasa mnafufua wafu shubamit narudia sijawai ona uwongo madrasa au kusikia ushuz ushuz kama huwo viwete watatembea usaniiii tupu aibu yenu mijitu mikubwa mnadanganywa kama watoto uku mnashangilia ujinga watu wazima!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…