Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walibya Wana maisha mazuri sasa hivi?
Kuna wale ambao humlaumu mwendazake kwa kila jambo lzm watakuja kumlaumu!!Walaumiwe wazungu waliosababisha hali hii
Hivi dikteta Ni nani!?
Nikijibu vibaya ntakula ban ngoja nitulie tuAlaaniwe Gaddafi, kuondoka kwa dikteta suku zote huacha ombwe kubwa kwa sababu huwa wana tabia ya kuharibu mifumo yote ya kitaasisi wanapokuwa madarakani
Alikua dikteta ndio..niulize lini aliitisha uchaguzi mkuu wa libya..alijiona Mungu mtu kuwa yeye ndio yeye hakuna zaidi Libya ona alioipeleka nchi yeye ndio wa kwanza kulaumiwa katika hili.Nikijibu vibaya ntakula ban ngoja nitulie tu
Waache wafe hata wote ilihali walihusika na mauaji ya Kanali M. Gaddafi.Miili ya watu 20 imepatikana katika Jangwa Nchini Libya, ambapo waliookota miili hiyo wanaamini marehemu walipoteza maisha kwa kiu.
Dereva wa lori ambaye alikuwa akipita jangwani hapo ndiye aliyeanza kuiona miili hiyo ikiwa kilometa 320 kutoka Mji wa Kufra na Kilometa 120 kutoka mpaka wa Chad.
“Tunaamini dereva wao alipotea, na simu yao ya mwisho ilitumika siku 14 zilizopita,” anasema muhudumu wa afya, Ibrahim Belhasan. Eneo hilo lina nyuzi joto 40.
===
Twenty people found dead in Libyan desert
The bodies of 20 people who got lost in the Libyan desert have been found, according to rescuers, who presume the group died of thirst.
The bodies were discovered by a truck driver travelling through the desert and were recovered on Tuesday about 320 kilometres (198 miles) southwest of Kufra and 120km (74 miles) from the border with Chad.
“The driver got lost … and we believe the group died in the desert about 14 days ago since the last call on a mobile phone there was on June 13,” Kufra ambulance chief Ibrahim Belhasan said by phone on Wednesday.
The sparsely populated region regularly sees summer temperatures above 40 degrees Celsius (104 Fahrenheit).
The ambulance service published a video on Facebook showing decomposing bodies in the desert sand near a pick-up truck.
Two of the bodies were Libyans and the others were believed to be migrants from Chad crossing into Libya, Belhasan said.
SOURCE: AL JAZEERA AND NEWS AGENCIES