Hoshea
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 5,420
- 3,772
Kuwa na adabuNa nyinyi mazuzu bado mna weweseka na ilo limagufuli lenu,,, kalifufueni Kama bado mnalipenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa na adabuNa nyinyi mazuzu bado mna weweseka na ilo limagufuli lenu,,, kalifufueni Kama bado mnalipenda
Hao majamaa ni makatili sanaHahahaha wale askari walinda mbuga usiombe ukutane nao porini kwenye mazingira ya kijangiri. Ni heri ukutane na simba
kwani story za watu wasiojulikana zimeishia wapi??Majibu wa polisi wetu siku zote yapo shallow sana, mvua za siku hizi zinakata watu shingo
siku ukishuhudia video tembo anavyopigwa risasi nyingi na kufa bila msaada utalia ulaani binaadam kabisa.Duuh nimeshindwa kumaliza kusoma, huu ni zaidi ya unyama[emoji24][emoji24][emoji24]
Huko aliko afe tena
Hao watu ni hatari asee wasikie tu ila usiingie kwenye anga zao. Hawana huruma kabisa.Duuh nimeshindwa kumaliza kusoma, huu ni zaidi ya unyama[emoji24][emoji24][emoji24]
Watakuwa walimaliza mchezo! Maana kuna mawili aidha muwape hela au wawafanye kitu hakuna🤓Hahahaha wale askari walinda mbuga usiombe ukutane nao porini kwenye mazingira ya kijangiri. Ni heri ukutane na simba
Kweli mkuu mimi pia napinga ujangili tena wa kuuwa wanyama ambao ni protected lakini hao jamaa sio watu wazuri. Mimi sijasimulia hapa ili kuhamasisha ujangili ila lengo labda ni kutoa tahadhari kwa raia waachane kabisa na maliasili kuanzia kukata mkaa mpaka kuua wanyama pori.siku ukishuhudia video tembo anavyopigwa risasi nyingi na kufa bila msaada utalia ulaani binaadam kabisa.
hawa jamaa wakikukuta na nyara huwa wanaanza kulia kwanza,kukukumbusha thamani ya kile umeharibu.
baada ya hapo ndio hatua kali.
Masalia ya marehemu dikiteta magufuli bado yanasumbua nchi.Hi lawama angetupiwa fulani kuwa ndio muuaji
Acha kuwapa kichwa, watu vitani wanasurrender na kukamatwa kistaraabu sembuse anayewinda wanyama?Hahahaaa kuna siku nilikua nalewa na jamaa zangu kadhaa vitalu vya kuwinda huko mara simu upepo msako ukaanza na kadrone
Walimkamata mtu ana kindoo cha Lita 20 kimejaa risasi na mjegejo wa haja
Wakawa wananiambia ndomaana inabidi tuwe kauzu humu yani majangiri wamejizira sana usipowafanyia unyama wanakufanyia unyama(Rules of the jungle ndo zinatawala)
Acha kuwapa kichwa wakati na wenyewe ni wezi tu. Sasa kama Rpc anasema Watu walihamishwa kwa nguvu nini sababu ya kuwakata vichwa kama dagaa?siku ukishuhudia video tembo anavyopigwa risasi nyingi na kufa bila msaada utalia ulaani binaadam kabisa.
hawa jamaa wakikukuta na nyara huwa wanaanza kulia kwanza,kukukumbusha thamani ya kile umeharibu.
baada ya hapo ndio hatua kali.