Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Si yeye ndio alikuwa mwasisi.Hi lawama angetupiwa fulani kuwa ndio muuaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si yeye ndio alikuwa mwasisi.Hi lawama angetupiwa fulani kuwa ndio muuaji
Bora Hayati magufuli hayupo maana hili zigo angetupiwa yeye maskini mungu amweke mahali Pema peponiHahahaha wale askari walinda mbuga usiombe ukutane nao porini kwenye mazingira ya kijangiri. Ni heri ukutane na simba
Wapige nae picha, hahaaaaaNa nyinyi mazuzu bado mna weweseka na ilo limagufuli lenu,,, kalifufueni Kama bado mnalipenda
Awekwe pema peponi wakati yuko busy akipitia mafaili ya malaika na kuondoa malaika feki mbinguni? Kwa kweli tangu apate uongozi amemsaidia sana Mungu kumpunguzia mzigoBora Hayati magufuli hayupo maana hili zigo angetupiwa yeye maskini mungu amweke mahali Pema peponi
Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
hapa hutasikia nyumbu wakisema chochote.Bora Hayati magufuli hayupo maana hili zigo angetupiwa yeye maskini mungu amweke mahali Pema peponi
Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
We yule sio masikini😂😂Bora Hayati magufuli hayupo maana hili zigo angetupiwa yeye maskini mungu amweke mahali Pema peponi
Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
Mtu akisema ukweli ushuhuda wake ni kuwapa vichwa??😂😂Acha kuwapa kichwa, watu vitani wanasurrender na kukamatwa kistaraabu sembuse anayewinda wanyama?
Na hilo eneo kuna mgogoro sana watu kuvamia kulima na kuwinda bonde lote la mbalari na eneo tengefu la IhefuWatakuwa walimaliza mchezo! Maana kuna mawili aidha muwape hela au wawafanye kitu hakuna🤓
Hahahaha na muda mwingi wako mionzi balaaMaliasili wale jamaa ni wauwaji. Kuliko uingie anga zao ni kweli mkuu bora ukutane na mkubwa wa pori tu unaweza ukajitetea.
Kuna jamaa walipigwa kwa kukutwa na nyama ya pofu wakala kichapo kuanzia saa 4 asubuhi mpaka saa 2 usiku halafu wakaachiwa wakaambiwa ondokeni.
Hawakuweza kuondoka hata kusimama hawawezi maana jamaa waliwapiga na vikwata (miba fulani ya porini) kwenye unyayo. Kuna mzee mmoja alikuwa mwiongoni mwao alipigwa mpaka nerves za harufu zikafa yani yeye huwa nahusi harufu yoyote mpaka leo.
Jamaa mwingi alikamatwa amewinda kanga wakamwambia awale na manyoya yake hivyo hivyo jamaa alikula ila alikufa.
Kuna siku niko pori moja Simanjiro jamaa wakawa wametega kanga tukawa tunapika kwenye camp tuliona gari inakuja kwa mbali kuelekea camp yetu aseee tulikimbia maporini yani speed hatari kumbe hawakuwa maliasili ilikuwa jamaa wa kambi ya jirani katoka town.
Yani mimi nikiwa mahali halafu kuna nyara hizi za hata mfupa wa mnyama pori sikai hapo maana jamaa hata wakikuta mfupa wa mwaka juzi lazima wakufanye vibaya. Yani hata wakute manyoya ya njiwa pori au hata ndege utaisoma namba.
Hao watu sio binadamu wakawaida.
Hata kama wanadanganya uongo uelekeane na harufu ya ukwelikwani story za watu wasiojulikana zimeishia wapi??
ukiona polisi wanatoa majibu tata namna hiyo ujue wana majibu mengine kwenye ripoti zao.na hatafai wewe kuambiwa.
Nikm Polisi wakamate jamabazi, alafu wakuambie twende utuonyeshe silaha, ututajie na wenzio, tutakusamehe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaha wale askari walinda mbuga usiombe ukutane nao porini kwenye mazingira ya kijangiri. Ni heri ukutane na simba
Utasikia alianza kuwashtua wenzake kwa kupiga makelele na kutaka kukimbia tukampiga risasi ya paja akafariki wakati anapelekwa hospitaliNikm Polisi wakamate jamabazi, alafu wakuambie twende utuonyeshe silaha, ututajie na wenzio, tutakusamehe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo wanachofanya nahawa wa wanyama pori.Utasikia alianza kuwashtua wenzake kwa kupiga makelele na kutaka kukimbia tukampiga risasi ya paja akafariki wakati anapelekwa hospitali
Africa Kusini kuna watalii wanaruhusiwa kuwawinda majangilisiku ukishuhudia video tembo anavyopigwa risasi nyingi na kufa bila msaada utalia ulaani binaadam kabisa.
hawa jamaa wakikukuta na nyara huwa wanaanza kulia kwanza,kukukumbusha thamani ya kile umeharibu.
baada ya hapo ndio hatua kali.
heee aiseeNa nyinyi mazuzu bado mna weweseka na ilo limagufuli lenu,,, kalifufueni Kama bado mnalipenda
anayekukaza hakusihi uoge baada.Na nyinyi mazuzu bado mna weweseka na ilo limagufuli lenu,,, kalifufueni Kama bado mnalipenda
Cho,ko wwanayekukaza hakusihi uoge baada.
😀😀😀😀😀😀Utasikia alianza kuwashtua wenzake kwa kupiga makelele na kutaka kukimbia tukampiga risasi ya paja akafariki wakati anapelekwa hospitali