swali lako ni gumu lakini nafikiri ungekuwa mwehu japo kwa wiki moja jibu lako ungelipataHapa ndipo uwezo wa Mungu unapoonekana,sijawahi kusikia daktari yeyote duniani akielezea kinga ya mwili aliyonayo mwendawazimu kwa nini ipo tofauti sana! wanakula vyakula vya hatari sana havina usafi wa aina yeyote lakini bado wanadunda tu.kama kuna anaefahamu naomba atujuze.
Ila mwehu wa Ulaya akija bongo akala jalalani lazima msiba utangazwe
Natural selection mkuu kumbuka wanyama hawa wamekua wakiishi kwenye hostile enviroment kiasi cha kwamba wanyama waliosurvive ni wale waliokua na superior genes ambazo zimekua passed from one generation to another.si kwamba hawana vimelea vya magonjwa ila prolonged exposure ndio inawafanya waadapt mazingira yao bila kudhurikaWanyamapori wana kinga aina gani mbona ng'ombe wakiumwa mbung'o huugua..the same question [emoji125][emoji125][emoji125]
Hawezi kushambuliwa sababu hana fear/uoga machoni pake ata kidogoKuna mwehu mmoja zamani alikuwa anakatiza katikati ya mbuga ya mikumi hata siku moja sikuwahi sikia kashambuliwa na wanyama
Sio ndio huyo aliyekimbiza wanyama pori kwa kumshangaa kuwa ni myama gani huyu mwenye mkia wa mbele?,.labda ndio maana hakudhurika kwani hadi simba alimkimbia kwa kuogopa na kwa mshangao.Kuna mwehu mmoja zamani alikuwa anakatiza katikati ya mbuga ya mikumi hata siku moja sikuwahi sikia kashambuliwa na wanyama