No Escape
JF-Expert Member
- Mar 7, 2016
- 6,663
- 7,785
Hapa ndipo uwezo wa Mungu unapoonekana. Sijawahi kusikia daktari yeyote duniani akielezea kinga ya mwili aliyonayo mwendawazimu. Kwanini ipo tofauti sana! Wanakula vyakula vya hatari sana havina usafi wa aina yeyote lakini bado wanadunda tu.
Kama kuna anayefahamu naomba atujuze.
Kama kuna anayefahamu naomba atujuze.