- Thread starter
- #21
Mama Samia kumbe jana kaja na hoja murua ya kuunga mkono uzi huuu. Hureeeeee!Kupiga nyungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama Samia kumbe jana kaja na hoja murua ya kuunga mkono uzi huuu. Hureeeeee!Kupiga nyungu.
Umechombeza na kwa Ung'eng'e kwa style ya Gwajima!Tatizo haliko nje yetu wapiga kura. We are the ones to blame all the time!
Dah! Mbona umenilinganisha na mtu ambaye sikutegemea ungeweza kunilinganisha? Maana ukisikiliza mahubiri yake na yote aliyokwishasema na ukaweka pamoja hata sipendi kumsikiliza. Lakini cha ajabu watu kama hawa ndio wanaovuta hadhira maana kama nilivyosema hapo juu 'huwa tunajiondoa akili' na wakati huo ndipo huwa tunakubali kutumika!Umechombeza na kwa Ung'eng'e kwa style ya Gwajima!
Pole Mkuu - So sorry Great (name nimeiga Gwajima style)Dah! Mbona umenilinganisha na mtu ambaye sikutegemea ungeweza kunilinganisha? Maana ukisikiliza mahubiri yake na yote aliyokwishasema na ukaweka pamoja hata sipendi kumsikiliza. Lakini cha ajabu watu kama hawa ndio wanaovuta hadhira maana kama nilivyosema hapo juu 'huwa tunajiondoa akili' na wakati huo ndipo huwa tunakubali kutumika!
Ulisikiliza alichosema kuhusu chanjo wakati akihubiri? So sad! Huwa nashawishika kwa 'logical arguments' (persuasion), lakini yeye analazimisha maoni yake yawe ukweli na anaiaminisha hadhira yake kwa kuunganisha 'unrelated facts' na kuziweka pamoja na kisha ana'draw conclusion'. Nilitarajia kama kiongozi wa dini aseme ukweli (ama unaotokana na utafiti wa kisayansi au ushahidi wa kuona) na siyo 'appeal to emotion'. Yaani ni sawa na kusema a and b, therefore, x-y.Pole Mkuu - So sorry Great (name nimeiga Gwajima style)
Nilimsikiliza sana. Kwa sasa sijui atasemaje kuhusu approach ya mama ya kuunda Kamati ya Kuangalia Mambo ya Corona?Ulisikiliza alichosema kuhusu chanjo wakati akihubiri? So sad! Huwa nashawishika kwa 'logical arguments' (persuasion), lakini yeye analazimisha maoni yake yawe ukweli na anaiaminisha hadhira yake kwa kuunganisha 'unrelated facts' na kuziweka pamoja na kisha ana'draw conclusion'. Nilitarajia kama kiongozi wa dini aseme ukweli (ama unaotokana na utafiti wa kisayansi au ushahidi wa kuona) na siyo 'appeal to emotion'. Yaani ni sawa na kusema a and b, therefore, x-y.
Hahahaha...'These people' know how to get off the hook. Unakumbuka kuna baadhi ya wakuu wa wilaya wakati fulani walitoa takwimu ni mifugo kiasi gani ilikufa kama ushahidi kwamba maeneo yao yalikumbwa na njaa na wanaomba msaada wa chakula, lakini lililopotoka tamko kwamba 'hakuna njaa na mkuu wa wilaya atakayesema eneo lake lina njaa atakosa kazi' - wakaja na habari kwamba 'waandishi wa habari waliwanukuu vibaya'?Nilimsikiliza sana. Kwa sasa sijui atasemaje kuhusu approach ya mama ya kuunda Kamati ya Kuangalia Mambo ya Corona?
Kwa hali inayoendelea nakubaliana na prof.Ndiyo maana Prof.Assad alisema kuwa 60% hawana uwezo!
Hali ni mbaya sana ndiyo maana hata wale wabunge Covid 19 mwelekeo wa kuwang'oa ni mkubwa mno!Kwa hali inayoendelea nakubaliana na prof.