Acha kumpotosha wengi wenu mnamaisha magum sana ,nimehudhuria sana seminar zenu and I was doing a research ,hii mambo ya kulipa laki tano ili uchukue biashara zenu then uanze kutrade ni taabu kidogo ,ni ngum pia kumshawishi MTU atoe laki tano ili uendelee kufaidika kutoka kwake, hii chain yenu si nzuri na ni ulaghai tuu ,hivi unadhani one million per month ni mchezo? Yani usemavyo one million kwa mwezi ni kama elfu moja bro. Hamna jipya hapo kijana atapoteza tuu pesa yake bora ajiajili tuu ila sio kuwekeza global