Miji michafu zaidi duniani: Watani zetu waiwakilisha vyema Afrika

Miji michafu zaidi duniani: Watani zetu waiwakilisha vyema Afrika

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
jamaa anakazia sana issue ya albino[emoji35][emoji35] ,why? ? I am curious to know what is so interesting as you have already mention albino many times even if the topic is not related[emoji53][emoji53][emoji53]
Labda haujui nchi yako.This is what you do...Evil doorers....
images-3.jpeg

images-2.jpeg

How evil can you get you people.Halafu a Tanzanian ataniambia Nairobi chafu??Please get some serious prayers.
 
Na nani hukatakata binadamu mwenzio kama Albino na kula nyama yake??
Unaongelea matukio ya individuals? Hao ni wahalifu tu kama mlivyo wahalifu world wide. Kwani huko Garisa mliuana kwa mioyo yetu au yenu?

Mimi hapa nazungumzia tabia yenu ya jumla, mko na roho ya pamoja...hawa Luo, hawa Kikuyu God forbid!
 
Hamna kitu kinachoweza kuniuma zaidi ya niwe na liinchi likubwa kama lenu hilo na madini mengi zaidi ya nchi zote, vivutio bora, raslimali za kila aina lakini vyote vinaishia kutafunwa na Wachina na Wahindi. Wengine hata mnawavisha uchama maana wapo kwa shamba la bibi, mnawashobokea full na kujikombakomba kwao.

Hehehehe....Mafuriko hubomoa miundo mbinu hata kwenye nchi zilizoendelea kama Marekani. Hivyo hilo suala la kawaida, kwenu nyie hata mvua ya masaa mawili Dar panakua hapakaliki. Miundo mbinu ya ovyo, mifereji ya maji taka hamna, mavi/vinyesi vinaelea kwenye mafuriko katikati ya mji, harufu na uvundo wa ovyo.
Balozi+wa+China+Tanzania.jpg


BlCUnbRIMAESQkQ.jpg


DSC_0446.JPG
Mna midomo mirefu sana nyie watu, ndio maana hamuishi kuchapwa makofi na wake zenu. Vipi, nani amekuwa mwenyekiti wa kile chama chenu cha kutetea haki za wanaume? Tehe tehe tehe!
 
Mna midomo mirefu sana nyie watu, ndio maana hamuishi kuchapwa makofi na wake zenu. Vipi, nani amekuwa mwenyekiti wa kile chama chenu cha kutetea haki za wanaume? Tehe tehe tehe!
HIZO NDO AKILI ZA WANAUME WANAOPIGWA PIGWA WAKENYA BILA KUPIGWA NA WAKE ZAO AU WASOMALI HAWAACHI KELELE
 
Mna midomo mirefu sana nyie watu, ndio maana hamuishi kuchapwa makofi na wake zenu. Vipi, nani amekuwa mwenyekiti wa kile chama chenu cha kutetea haki za wanaume? Tehe tehe tehe!

You lost it long time ago fellows.You only need Prayers
 
Hamna kitu kinachoweza kuniuma zaidi ya niwe na liinchi likubwa kama lenu hilo na madini mengi zaidi ya nchi zote, vivutio bora, raslimali za kila aina lakini vyote vinaishia kutafunwa na Wachina na Wahindi. Wengine hata mnawavisha uchama maana wapo kwa shamba la bibi, mnawashobokea full na kujikombakomba kwao.

Hehehehe....Mafuriko hubomoa miundo mbinu hata kwenye nchi zilizoendelea kama Marekani. Hivyo hilo suala la kawaida, kwenu nyie hata mvua ya masaa mawili Dar panakua hapakaliki. Miundo mbinu ya ovyo, mifereji ya maji taka hamna, mavi/vinyesi vinaelea kwenye mafuriko katikati ya mji, harufu na uvundo wa ovyo.
Balozi+wa+China+Tanzania.jpg


BlCUnbRIMAESQkQ.jpg


DSC_0446.JPG
Pilipili ya shambani inakuwashia nini, mbona wasomali mjafukuza Kenya, wamejaa wengi sio wakenya. Clean your own back yard.
 
Depay please stop posting dead human beings pictures .....

figganigga alipost zingine last month nikashindwa kula nyama for a whole month....tuwe na heshma kwa hao walio uliwa pia!!!
Very few Kenyans understand human dignity mmoja ni huyo ndugu yako, sio kama na sisi tunashindwa kuweka vifo vya wakenya. But we know what is right and what is wrong.
 
Nakusogezea mkeka kutoka Nairobi ujionee tofauti kubwa iliopo kati ya middle income( class) na the poorest. .......
fa6b60722345b2c216ff7abb86689206.jpg
2ab35f52112194d75597a28546376ccc.jpg
58bb6734f1f99d093c66391f1ab75d88.jpg
2c6deafb6bd5c63937b764cb64848589.jpg
0b6b50d3a7ab6177ddaef5582bbc183e.jpg
f6ab1f6e4aa65817e2578a8e8fd11761.jpg
ac615faa8d12d3380a7e7fd206f8a155.jpg
ba42924255552e29b445c757dd8c11f8.jpg
3542ca85498e21dbf2e459deda11f718.jpg
 
This was the world dirty city league table
drawn by Forbes:
1. Baku, Azerbaijan
2. Dhaka, Bangladesh
3. Antananarivo, Madagascar
4. Port au Prince, Haiti
5. Mexico City, Mexico
6. Addis Ababa, Ethiopia
7. Mumbai, India
8. Baghdad, Iraq
9. Almaty, Kazakhstan
10. Brazzaville, Congo
11. Ndjamena, Chad
12. Dar es Salaam, Tanzania
13. Bangui, Central African Republic
14. Moscow, Russia
15. Ouagadougou, Burkina Faso
16. Bamako, Mali
17. Pointe Noire, Congo
18. Lome, Togo
19. Conakry, Guinea Republic
20. Nouakchott, Mauritania
21. Niamey, Niger
22. Luanda, Angola
23. Maputo, Mozambique
24. New Delhi, India
25. Port Harcourt, Nigeria
=======================
Cleanest African Cities:
1. Cape Town, South Africa.
2. Windhoek, Namibia
3. Kigali, Rwanda
4. Asmara, Eritrea
5. Victoria, Seychelles
6. Pretoria, South Africa
7. Pietermaritzburg, South Africa
8. Port Louis, Mauritius
9. Nairobi, Kenya
10. Victoria Falls, Zimbabwe

Source. Forbes.com /pollutide cities world
Hiyo list ina mashaka kidogo, haiwezekani Delhi ikawa chini ya Bongo, Delhi ni chafu zaidi
 
Hiyo list ina mashaka kidogo, haiwezekani Delhi ikawa chini ya Bongo, Delhi ni chafu zaidi
Kumbe kibera wanaishi watu million 1....nikijaribu kufikiria kwa jicho is tatu ni watu wengi sana!!
Serikali ya Kenya sijui imejipangaje.....hiyo ndio largest slum in Africa. .....
alafu apoapo kuna list yenye upupu kwamba nairobi ni kusafi. ....labda kama kibera Ipo nakuru apo sawa!!
 
Nakusogezea mkeka kutoka Nairobi ujionee tofauti kubwa iliopo kati ya middle income( class) na the poorest. .......
fa6b60722345b2c216ff7abb86689206.jpg
2ab35f52112194d75597a28546376ccc.jpg
58bb6734f1f99d093c66391f1ab75d88.jpg
2c6deafb6bd5c63937b764cb64848589.jpg
0b6b50d3a7ab6177ddaef5582bbc183e.jpg
f6ab1f6e4aa65817e2578a8e8fd11761.jpg
ac615faa8d12d3380a7e7fd206f8a155.jpg
ba42924255552e29b445c757dd8c11f8.jpg
3542ca85498e21dbf2e459deda11f718.jpg
Wenzetu haya na mengine mengi wana ya sukumizia chini ya jamvi.
 
Wenzetu haya na mengine mengi wana ya sukumizia chini ya jamvi.
Hatuyasukumi popote, maana ikiwa umetizima utaona ni juhudi zetu za kumaliza hali ya Slums Nairobi, Miaka Tano ijayo hutaikia tena Kibera Slum!!
 
Hatuyasukumi popote, maana ikiwa umetizima utaona ni juhudi zetu za kumaliza hali ya Slums Nairobi, Miaka Tano ijayo hutaikia tena Kibera Slum!!
Unaongea kama ndio mara ya kwanza unajiunga na JF, hauoni wakenya wenzako wanavyo kimbia kimbia humu? hawalali usiku wala machama, wapo na spade zao mkononi wakisikia siren tuu wanajuwa ni bad news. Wanakurupuka haraka haraka waanza kazi, kido wamemaliza, wanarukia nyingine kazi tena, duuh. Clam down Kenya's, it's just another day in paradise. Hahaha
 
Back
Top Bottom