Labda haujui nchi yako.This is what you do...Evil doorers....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
jamaa anakazia sana issue ya albino[emoji35][emoji35] ,why? ? I am curious to know what is so interesting as you have already mention albino many times even if the topic is not related[emoji53][emoji53][emoji53]
Looh eti apo nako ni mjini....The waves having a visit to town....
View attachment 439082
View attachment 439084
View attachment 439085
Unaongelea matukio ya individuals? Hao ni wahalifu tu kama mlivyo wahalifu world wide. Kwani huko Garisa mliuana kwa mioyo yetu au yenu?Na nani hukatakata binadamu mwenzio kama Albino na kula nyama yake??
Mna midomo mirefu sana nyie watu, ndio maana hamuishi kuchapwa makofi na wake zenu. Vipi, nani amekuwa mwenyekiti wa kile chama chenu cha kutetea haki za wanaume? Tehe tehe tehe!Hamna kitu kinachoweza kuniuma zaidi ya niwe na liinchi likubwa kama lenu hilo na madini mengi zaidi ya nchi zote, vivutio bora, raslimali za kila aina lakini vyote vinaishia kutafunwa na Wachina na Wahindi. Wengine hata mnawavisha uchama maana wapo kwa shamba la bibi, mnawashobokea full na kujikombakomba kwao.
Hehehehe....Mafuriko hubomoa miundo mbinu hata kwenye nchi zilizoendelea kama Marekani. Hivyo hilo suala la kawaida, kwenu nyie hata mvua ya masaa mawili Dar panakua hapakaliki. Miundo mbinu ya ovyo, mifereji ya maji taka hamna, mavi/vinyesi vinaelea kwenye mafuriko katikati ya mji, harufu na uvundo wa ovyo.
HIZO NDO AKILI ZA WANAUME WANAOPIGWA PIGWA WAKENYA BILA KUPIGWA NA WAKE ZAO AU WASOMALI HAWAACHI KELELEMna midomo mirefu sana nyie watu, ndio maana hamuishi kuchapwa makofi na wake zenu. Vipi, nani amekuwa mwenyekiti wa kile chama chenu cha kutetea haki za wanaume? Tehe tehe tehe!
Mna midomo mirefu sana nyie watu, ndio maana hamuishi kuchapwa makofi na wake zenu. Vipi, nani amekuwa mwenyekiti wa kile chama chenu cha kutetea haki za wanaume? Tehe tehe tehe!
I agree. Its well beyond reason.This thread is the classic case of two pigs in a mud fight. ...
Pilipili ya shambani inakuwashia nini, mbona wasomali mjafukuza Kenya, wamejaa wengi sio wakenya. Clean your own back yard.Hamna kitu kinachoweza kuniuma zaidi ya niwe na liinchi likubwa kama lenu hilo na madini mengi zaidi ya nchi zote, vivutio bora, raslimali za kila aina lakini vyote vinaishia kutafunwa na Wachina na Wahindi. Wengine hata mnawavisha uchama maana wapo kwa shamba la bibi, mnawashobokea full na kujikombakomba kwao.
Hehehehe....Mafuriko hubomoa miundo mbinu hata kwenye nchi zilizoendelea kama Marekani. Hivyo hilo suala la kawaida, kwenu nyie hata mvua ya masaa mawili Dar panakua hapakaliki. Miundo mbinu ya ovyo, mifereji ya maji taka hamna, mavi/vinyesi vinaelea kwenye mafuriko katikati ya mji, harufu na uvundo wa ovyo.
Very few Kenyans understand human dignity mmoja ni huyo ndugu yako, sio kama na sisi tunashindwa kuweka vifo vya wakenya. But we know what is right and what is wrong.Depay please stop posting dead human beings pictures .....
figganigga alipost zingine last month nikashindwa kula nyama for a whole month....tuwe na heshma kwa hao walio uliwa pia!!!
Hiyo list ina mashaka kidogo, haiwezekani Delhi ikawa chini ya Bongo, Delhi ni chafu zaidiThis was the world dirty city league table
drawn by Forbes:
1. Baku, Azerbaijan
2. Dhaka, Bangladesh
3. Antananarivo, Madagascar
4. Port au Prince, Haiti
5. Mexico City, Mexico
6. Addis Ababa, Ethiopia
7. Mumbai, India
8. Baghdad, Iraq
9. Almaty, Kazakhstan
10. Brazzaville, Congo
11. Ndjamena, Chad
12. Dar es Salaam, Tanzania
13. Bangui, Central African Republic
14. Moscow, Russia
15. Ouagadougou, Burkina Faso
16. Bamako, Mali
17. Pointe Noire, Congo
18. Lome, Togo
19. Conakry, Guinea Republic
20. Nouakchott, Mauritania
21. Niamey, Niger
22. Luanda, Angola
23. Maputo, Mozambique
24. New Delhi, India
25. Port Harcourt, Nigeria
=======================
Cleanest African Cities:
1. Cape Town, South Africa.
2. Windhoek, Namibia
3. Kigali, Rwanda
4. Asmara, Eritrea
5. Victoria, Seychelles
6. Pretoria, South Africa
7. Pietermaritzburg, South Africa
8. Port Louis, Mauritius
9. Nairobi, Kenya
10. Victoria Falls, Zimbabwe
Source. Forbes.com /pollutide cities world
Kumbe kibera wanaishi watu million 1....nikijaribu kufikiria kwa jicho is tatu ni watu wengi sana!!Hiyo list ina mashaka kidogo, haiwezekani Delhi ikawa chini ya Bongo, Delhi ni chafu zaidi
Wenzetu haya na mengine mengi wana ya sukumizia chini ya jamvi.Nakusogezea mkeka kutoka Nairobi ujionee tofauti kubwa iliopo kati ya middle income( class) na the poorest. .......
Hatuyasukumi popote, maana ikiwa umetizima utaona ni juhudi zetu za kumaliza hali ya Slums Nairobi, Miaka Tano ijayo hutaikia tena Kibera Slum!!Wenzetu haya na mengine mengi wana ya sukumizia chini ya jamvi.
Unaongea kama ndio mara ya kwanza unajiunga na JF, hauoni wakenya wenzako wanavyo kimbia kimbia humu? hawalali usiku wala machama, wapo na spade zao mkononi wakisikia siren tuu wanajuwa ni bad news. Wanakurupuka haraka haraka waanza kazi, kido wamemaliza, wanarukia nyingine kazi tena, duuh. Clam down Kenya's, it's just another day in paradise. HahahaHatuyasukumi popote, maana ikiwa umetizima utaona ni juhudi zetu za kumaliza hali ya Slums Nairobi, Miaka Tano ijayo hutaikia tena Kibera Slum!!