hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
mimi napenda kwenda PARIS MZEE baba ..nikataliii kwenye ile bustani nadhifu ya pale elfei tower.nikitoka hapo niende mexico daahh huwa navutiwa mnoo nawale mademu wa kilatin America ..yaani huwa wananimaliza kabisaaa..kisha niende Indonesia pale new Papua Guinea nikaione ile Jamii ya watu weusi wenye macho ya blue na wale wenye nywele za blond...
sijasahau U.S .A KUNA watu wanaonivutia mnoo pale ijapo kuwa. kwa sasa ni marehemu nasio wengine niwale watukutu na wahalifu walioacha historian yenye mvuto bonie & cyde
pia ningepata nafasi ya kukutana na familia ya hayati Michael Jackson ningefurahi mnoo ..nampnda mnoo yule marehemu yeye na Dada yake Janet ..huwa wanaukonga moyo wangu ..
sijasahau U.S .A KUNA watu wanaonivutia mnoo pale ijapo kuwa. kwa sasa ni marehemu nasio wengine niwale watukutu na wahalifu walioacha historian yenye mvuto bonie & cyde
pia ningepata nafasi ya kukutana na familia ya hayati Michael Jackson ningefurahi mnoo ..nampnda mnoo yule marehemu yeye na Dada yake Janet ..huwa wanaukonga moyo wangu ..