dadeq hahaaa kwahiyo Jamaa anakula kitonga ..daaahh yasije kumsibu kama Yale yliyo msibu yule bint wa Whitney maskini ..binti alikuwa haambiwi wala hasikii ..mwisho wa siku mauti yakamfikaWamejitoa fahamu now, wale ni jobless kwa hiyo ukiingia anga zao na stori zako za wazimu wa MJ imekula kwako!
Paris! Toto limeharibika lile sipata ona, MJ angekuwepo angejimurder!!
Toto linavuta mibangi, unga, mitatoo ile, na kile kibwana chake Michael, full kumchuna hela za urithi!
Lamu Zenjibar malingo mengi..Lkn vitu vya Karibian Aaaah lazima Muumba tumpe sifa zake maana hata zile K zao nasikia za aina yake..Zanzibar si ipo mkuu?au karibiani unataka kukutana na wadogo zake Rhihana[emoji13]
watoto wazuri muda mwingi wako kwenye dressing table kujipamba kuliko nchi yoyote duniani, machotara waukweli wamejaa kila kona ila ukienda shingo ufunge speed gavaner maana cyo kwa kugeuka huko [emoji14]Copacabanaaaaaaaaaaaa fukwe maarufu kuliko zote duniani
Huyo Mke wake wa zamani anaitwa Debbie Rowe, ni nesi ila sasa hivi kastaafu na anaumwa kansa....mama yao mbona yupo alikuwa na taaluma ya unesi but jina lake limenitoka ngoja nitapitia Google kisha nitalileta au waweza kupitia huko mkuu ..ila kuhusu hilo LA watoto wote kwanin wamekuwa wazungu nimeshindwa kulijua aisee but yule Jamaa alitumia mfumo wakuzaa kwaku pandikiza mbegu kwa yule mkewe ..so cjui hiyo ya weza kuwa sbabu au la...!? wataalamu waje watupe hii elimu
Asee anaeza kuelekea huko, kanakula bangi kama ice cream! Hicho ki Michael ni kitoto chenzake hopeless kabisa! Na ndo anamuharibu...eti Paris alimpendea jina(Michael) linafanana na la babake! Bangi hizi[emoji23] [emoji23] [emoji23] ..dadeq hahaaa kwahiyo Jamaa anakula kitonga ..daaahh yasije kumsibu kama Yale yliyo msibu yule bint wa Whitney maskini ..binti alikuwa haambiwi wala hasikii ..mwisho wa siku mauti yakamfika
Utaiweza hiyo style mkuu?kagera _ katerero
Kibiti shwariiiiiiiiii,usisahau kuja na mninga nataka nitengenezee milango yangu.Kibiti
Majengo ya Dubai kama ya barabara ya mwenge Morocco mkuu usiogope.hahahaMji wa kwanza Dubai,nataka nikaone vitu vya kifahari kama majengo,barabara magari .
Mji wa pili ni Shanghai China nataka nione uzuri wa mji huu naskia uko modern kinyama loh!
When it comes to the issue of tall and modern buildings Dubai lead kijana!Majengo ya Dubai kama ya barabara ya mwenge Morocco mkuu usiogope.hahaha
I know mkuu,petro- dollars at work.was just kiddin'.When it comes to the issue of tall and modern buildings Dubai lead kijana!
Wanaija wajanja sana na wanajiamini mpaka rahaa.kuna kitu cha kujifunza kutoka kwao.Wa kwanza Lagos, usmart, kujiamini na swaga Zao,
Bila kusahau muvi zao.
Afrika bila Nigeria Sijui ingekuwaje
Moscow, Russia kwa Vladimir Vladimirovich Putin!Katika kitu nachokipenda katika maisha yangu ni kusafiri asee,yaani kwenda mahali tofauti na pale nilipopazoea au ninapokaa.
Safari yangu ya kwanza ilikua ni kutoka Mtwara kwenda Mbeya Tukuyu kwa bibi,nilikua na miaka 8 kipindi hicho.Safari ilianza saa 11 alfajiri na Land Rover 110 ya mzee,barabara ya Mtwara Songea ilikua mbaya sana ila nashukuru tulifika salama kesho yake jioni,nakumbuka tulilala Songea.
Kwa sasa natamani kutoka nje ya Tanzania kwa safari ya kilikizo kama hii na ifuatayo ni miji nayopenda kutembelea na sababu za kunifanya niwe na hamu hiyo.
Addis Ababa,Ethiopia.
Huu ndio mji mkuu wa ardhi ya Afrika iliyoweza kumpiga mkoloni,nataka niuone utamaduni wao na pia nataka nitembelee iliyokua kasri ya mfalme Haille Sellasie,halafu pia kuna watoto wazuri balaa.[emoji6]
Havana,Cuba.
Daah namkubali sana mtu mzima Fidel Castro,na inshaallah mwanangu wa kiume ntampa jina hili yaani Fidelcastro XXXX.Na ile mitaa ya Havana ilivyo kaa ki"old skul" napenda sana ile kitu.
Pyongyang, North Korea.
Mimi siamini wanavyosema eti watu wanakufa njaa,watu maskini,mara shida tupu,nataka niende nikajionee mwenyewe,hata kama wanasema watalii wanapelekwa sehemu nzuri nzuri tu na kuna sehemu ni marufuku kutembelea ila bado naamini kuna kitu cha kijifunza.
Dubai,UAE.
Nataka nikaendeshe Land Rover jangwani na kufanya "sky diving".
Lagos,Nigeria.
Daaah hawa masela kutoka Nigeria nshakutana nao mtaani hapa,wengi wao wako " smart " sana na wanajiamini balaa.Labda ntakuja kukutana na yule "Nigerian Prince" anaetafuta mtu kumpa hela zake sababu yeye ni yatima[emoji1] [emoji2] .
Amsterdam, The Netherlands.
Haa hapa nataka nipite maeneo yale ya "wilaya nyekundu" na nikavute weed ya ulaya [emoji6] ,na kidogo nisahau ,malaya nao wa kizungu.
Vipi wewe mdau unatamani uende mji gani na kufanya nini???
MIJI AMBAYO NISHAITEMBELEA NJE YA TZ:
Nairobi, Mombasa,Malindi na Nakuru nshawahi pita.
Kampala.
Cape Town.
Johannesburg.
Miji ambayo sijaitembelea kwa TZ:
Bukoba,Rukwa,Kigoma,Tanga(ila nshafika Korogwe[emoji6] ),Tabora.Ambayo sijaitaja nshafika yooooteeeee.
Ule mpaka wa Ethiopia na Kenya sio salama uwe makini sana.Tuna-share hobby mkuu.
Mimi Addis Ababa ipo kwenye diary tayari.
nataka nifanye on land tour (nitumie barabara via Nairobi )
Nimejipanga kwa hili InshaAllah
Yerusalemu!
Nikapaone alipozaliwa Yesu Kristo, Mkombozi wa ulimwengu! Pia kuona maeneo mbali mbali ambayo huwa nayasoma kwenye Biblia!