Miji nayotamani kuitembelea na kwa sababu gani.

Miji nayotamani kuitembelea na kwa sababu gani.

Wamejitoa fahamu now, wale ni jobless kwa hiyo ukiingia anga zao na stori zako za wazimu wa MJ imekula kwako!

Paris! Toto limeharibika lile sipata ona, MJ angekuwepo angejimurder!!

Toto linavuta mibangi, unga, mitatoo ile, na kile kibwana chake Michael, full kumchuna hela za urithi!
dadeq hahaaa kwahiyo Jamaa anakula kitonga ..daaahh yasije kumsibu kama Yale yliyo msibu yule bint wa Whitney maskini ..binti alikuwa haambiwi wala hasikii ..mwisho wa siku mauti yakamfika
 
Copacabanaaaaaaaaaaaa fukwe maarufu kuliko zote duniani
watoto wazuri muda mwingi wako kwenye dressing table kujipamba kuliko nchi yoyote duniani, machotara waukweli wamejaa kila kona ila ukienda shingo ufunge speed gavaner maana cyo kwa kugeuka huko [emoji14]
 
mama yao mbona yupo alikuwa na taaluma ya unesi but jina lake limenitoka ngoja nitapitia Google kisha nitalileta au waweza kupitia huko mkuu ..ila kuhusu hilo LA watoto wote kwanin wamekuwa wazungu nimeshindwa kulijua aisee but yule Jamaa alitumia mfumo wakuzaa kwaku pandikiza mbegu kwa yule mkewe ..so cjui hiyo ya weza kuwa sbabu au la...!? wataalamu waje watupe hii elimu
Huyo Mke wake wa zamani anaitwa Debbie Rowe, ni nesi ila sasa hivi kastaafu na anaumwa kansa....

Huyo mmama alipandikizwa mbegu na Dr Klein ( ndo mmiliki wa hiyo hospital na alikuwa bestie wa MJ)..

Mke wa pili wa MJ anaitwa Lisa Presley anazungumzia kwa kina kuhusu utata wa kufanya mapenzi ( anadai kukaa kote mamiaka na mamiaka na huyo jamaa hakuwahi kuona dyudyu yake!)
 
dadeq hahaaa kwahiyo Jamaa anakula kitonga ..daaahh yasije kumsibu kama Yale yliyo msibu yule bint wa Whitney maskini ..binti alikuwa haambiwi wala hasikii ..mwisho wa siku mauti yakamfika
Asee anaeza kuelekea huko, kanakula bangi kama ice cream! Hicho ki Michael ni kitoto chenzake hopeless kabisa! Na ndo anamuharibu...eti Paris alimpendea jina(Michael) linafanana na la babake! Bangi hizi[emoji23] [emoji23] [emoji23] ..

Bobbi Christina ni zao la wale wazazi wanywa pombe, bangi, unga mbele ya watoto wao lazima arithi tuu...
 
Mji wa kwanza Dubai,nataka nikaone vitu vya kifahari kama majengo,barabara magari .
Mji wa pili ni Shanghai China nataka nione uzuri wa mji huu naskia uko modern kinyama loh!
 
Wa kwanza Lagos, usmart, kujiamini na swaga Zao,
Bila kusahau muvi zao.
Afrika bila Nigeria Sijui ingekuwaje
 
Mji wa kwanza Dubai,nataka nikaone vitu vya kifahari kama majengo,barabara magari .
Mji wa pili ni Shanghai China nataka nione uzuri wa mji huu naskia uko modern kinyama loh!
Majengo ya Dubai kama ya barabara ya mwenge Morocco mkuu usiogope.hahaha
 
Wa kwanza Lagos, usmart, kujiamini na swaga Zao,
Bila kusahau muvi zao.
Afrika bila Nigeria Sijui ingekuwaje
Wanaija wajanja sana na wanajiamini mpaka rahaa.kuna kitu cha kujifunza kutoka kwao.
 
Katika kitu nachokipenda katika maisha yangu ni kusafiri asee,yaani kwenda mahali tofauti na pale nilipopazoea au ninapokaa.

Safari yangu ya kwanza ilikua ni kutoka Mtwara kwenda Mbeya Tukuyu kwa bibi,nilikua na miaka 8 kipindi hicho.Safari ilianza saa 11 alfajiri na Land Rover 110 ya mzee,barabara ya Mtwara Songea ilikua mbaya sana ila nashukuru tulifika salama kesho yake jioni,nakumbuka tulilala Songea.

Kwa sasa natamani kutoka nje ya Tanzania kwa safari ya kilikizo kama hii na ifuatayo ni miji nayopenda kutembelea na sababu za kunifanya niwe na hamu hiyo.

Addis Ababa,Ethiopia.
Huu ndio mji mkuu wa ardhi ya Afrika iliyoweza kumpiga mkoloni,nataka niuone utamaduni wao na pia nataka nitembelee iliyokua kasri ya mfalme Haille Sellasie,halafu pia kuna watoto wazuri balaa.[emoji6]

Havana,Cuba.
Daah namkubali sana mtu mzima Fidel Castro,na inshaallah mwanangu wa kiume ntampa jina hili yaani Fidelcastro XXXX.Na ile mitaa ya Havana ilivyo kaa ki"old skul" napenda sana ile kitu.

Pyongyang, North Korea.
Mimi siamini wanavyosema eti watu wanakufa njaa,watu maskini,mara shida tupu,nataka niende nikajionee mwenyewe,hata kama wanasema watalii wanapelekwa sehemu nzuri nzuri tu na kuna sehemu ni marufuku kutembelea ila bado naamini kuna kitu cha kijifunza.

Dubai,UAE.
Nataka nikaendeshe Land Rover jangwani na kufanya "sky diving".

Lagos,Nigeria.
Daaah hawa masela kutoka Nigeria nshakutana nao mtaani hapa,wengi wao wako " smart " sana na wanajiamini balaa.Labda ntakuja kukutana na yule "Nigerian Prince" anaetafuta mtu kumpa hela zake sababu yeye ni yatima[emoji1] [emoji2] .

Amsterdam, The Netherlands.
Haa hapa nataka nipite maeneo yale ya "wilaya nyekundu" na nikavute weed ya ulaya [emoji6] ,na kidogo nisahau ,malaya nao wa kizungu.

Vipi wewe mdau unatamani uende mji gani na kufanya nini???

MIJI AMBAYO NISHAITEMBELEA NJE YA TZ:

Nairobi, Mombasa,Malindi na Nakuru nshawahi pita.

Kampala.
Cape Town.
Johannesburg.

Miji ambayo sijaitembelea kwa TZ:
Bukoba,Rukwa,Kigoma,Tanga(ila nshafika Korogwe[emoji6] ),Tabora.Ambayo sijaitaja nshafika yooooteeeee.
Moscow, Russia kwa Vladimir Vladimirovich Putin!
Aisee nishawai ota niko Red Square!
 
Tuna-share hobby mkuu.
Mimi Addis Ababa ipo kwenye diary tayari.
nataka nifanye on land tour (nitumie barabara via Nairobi )

Nimejipanga kwa hili InshaAllah
Ule mpaka wa Ethiopia na Kenya sio salama uwe makini sana.
 
1.Dubai_ nataka nicheki Arabic lifestyle.
2. Miami_ nataka nicheki pic ambazo sija wai kuziona mixer Ku swim nazo afu fresh hawana noma... Sio mbogo ume mgusa tu kwa bahati mbaya kwenye pool pic ina aanza mayowe, kelele.
3. Paris[emoji556]_ Nataka ni improve uvaaji wangu.. Huku ndio kunako ma designers wa hatari. Vitu kuntu.
 
Yerusalemu!
Nikapaone alipozaliwa Yesu Kristo, Mkombozi wa ulimwengu! Pia kuona maeneo mbali mbali ambayo huwa nayasoma kwenye Biblia!

Mungu anijalie ila Jerusalem nimejipangia lazima niende
 
UAE ni balaa nishawahi kufika miji 2, Dubai na nikiwa na ethiopian airline, na Abudhabi nlitumia etihad. Hii miji kama ukifika full starehe yaan kama ni sheria yangu nlitamani niendelee kubakia hapo
 
Back
Top Bottom