Miji sita inayogombaniwa na waislamu,Wayahudi na Wakristo

Miji sita inayogombaniwa na waislamu,Wayahudi na Wakristo

Tayari Trump amewaambia wahamie misri na Jordan ili wajenge Gaza
Trump ni mprotestant na alisema hadharani kabisa anaitambua Yerusalemu,hivo Trump na Netenyau wanajipanga kuhakikisha Israel inarejesha maeneo yake yaliyoporwa
 
Daah nimeona hapo Ibrahim, isaka , yakobo na yusufu ni waislamu??

Jamani jamani.
 
Daah nimeona hapo Ibrahim, isaka , yakobo na yusufu ni waislamu??

Jamani jamani.
Ile propaganda Yao kuwa mitume na manabii wakiyahudi walikuwa waislamu Huwa wanakwambia unaona hata makaburi yapo misikitini


Kama hujui historia wanakubeba

Uislamu bila kujipendekeza na Kupora maeneo ya wayahudi na kujinasibisha na mababa wa kiyahudi Leo hii Uislamu ungekuwa unazungumzwa kama Ubudha ,Shiva , Rastafarian,
 
Ile propaganda Yao kuwa mitume na manabii wakiyahudi walikuwa waislamu Huwa wanakwambia unaona hata makaburi yapo misikitini


Kama hujui historia wanakubeba

Uislamu bila kujipendekeza na Kupora maeneo ya wayahudi na kujinasibisha na mababa wa kiyahudi Leo hii Uislamu ungekuwa unazungumzwa kama Ubudha ,Shiva , Rastafarian,
Wanawachukia wayahudi wakati imani yao imejengwa kwa mababu za mayahudi.

Inashangaza.
 
Kuna mkristo anagombania mji kweli ndugu yangu

Mji wa wakristo ni mmoja tu ni ule aliouona mtumish wa MUNGU YOHANA wa ufunuo ukishuka kutoka mbingun
Yaan yerusalem mpya
Ukatoliki wanaitaka Yerusalemu
 
Back
Top Bottom