Mika Mwamba kali kweli alikuwa mkali

Mika Mwamba kali kweli alikuwa mkali

Kuna ngoma ya Ismail ile anaimba " unansononesha unansikitisha pale unapopita na vazi lako LA kanga , honey moyoni mwangu mi sina raha " nje ya mada kidogo KIOO kama unayo naomba huu wimbo tafadhali
 
Baridi ya Enica alitengeneza nani?mana lilegoma ni balaaa mpaka sasa sijaona,pamoja na hiyo Eno mic
 
Kuna ngoma ya Ismail ile anaimba " unansononesha unansikitisha pale unapopita na vazi lako LA kanga , honey moyoni mwangu mi sina raha " nje ya mada kidogo KIOO kama unayo naomba huu wimbo tafadhali
Rangi ya chungwa.
 
[USER]KIOO[/USER] hivi wewe ni Dynamic au unampata Dynamic? Ni mdau mkubwa sana wa Bongofleva.

Ila big Up Bro
 
Chege ft Mandojo & Domokaya - Kaunta ya Juu
Chege - Teacher
Godman ft Mad Ice - Vumilia
Mandojo & Domokaya - Nizikwe Hai
Matonya - Uaminifu
Solid Ground Family ft Gorilla Killaz - Eh Mola
O Ten - Voice Mail
Hard Mad - Sema Unachotaka
Taqwa - .......
 
Mila alitembea na bongo fleva, Majani alitembea na HipHop na rap zote. Ukizungumzia muziki wa bongo bila kumtaja Mika ni kumkosea heshima, na ukizungumzia bongo hiphop bila Majani isingekuwa hapa ilipo.
Natamani hii thread Iende kama ile ya P-Funky.
Wataalam watundike na "maudio" kabisa humu
 
1.chambua kama karanga-saida karoli
2.kitobelo-saida karoli
3.Mapenzi kizungu zungu-saida karoli
4.Wanok nok-Mandojo&domokaya
5.taswira-mandojo&domokaya
6.niaje-mandojo&domokaya
7.Nizikwe hai-mandojo&domokaya
8.Nyambizi-dully sykes
9.julieta-dully sykes
10.salome-dully sykes
11.nyambizi-dully sykes
12.hi-dully sykes
13.Historia ya kweli-dully sykes
14.hip hop mdundiko-mambo jambo
15.embe dodo- benjamini
16.Elimu mitaani.com-D knob
17.mtoto wa geti kali-insp haroun
18. Rudi mpenzi -BDP
19.wosia-BDP
20.Kitambo kidogo-BDP
21.Kamanda-Daz nundaZ
22.Barua-Daz nundaz
23.Matatizo-Daz nundaz
24.Maji ya shingo-Daz Nundaz
25.omba umauti-fagio la chuma
26.fagio la chuma-fagio la chuma
27.Siri yangu-jay dee
28.usiuseme moyo-jay dee
29.wanaume kama mabinti-jay dee
30.Nakumind-temba
 

Attachments

Mika mwamba noma.pigo zake hatari.
Mkuu KIOO naomba kama una ngoma ya suma lee mwache aende zake nisaidie. naisaka sana
 
Back
Top Bottom