Mika Mwamba ndiye Producer mwenye uwezo mkubwa wa kutengeneza beats kali kuwahi kutokea kwenye historia ya Bongofleva

Mika Mwamba ndiye Producer mwenye uwezo mkubwa wa kutengeneza beats kali kuwahi kutokea kwenye historia ya Bongofleva

Salome - Dully Sykes
Julieta - Dully Sykes
Hi - Dully Sykes
Baby Girl - radio edit (acha ile version iliyofanyiwa video) ilikuwa ina unyama sana wa production na mixing ambao mpaka sasa producers wengine kibongo wanaweza wakawa hawana ujuzi nao
AY - Raha tu (original version)
Mez B - Fikiria (iilikuwa ngoma kali sana)
HipHop Mdundiko - Mambo Jambo
Mkao wa Kula - Mambo Jambo
Mchizi Mox - Mambo vipi

List ni ndefu sana aisee,
 
Julieta - Dully Sykes
Hi - Dully Sykes
Baby Girl - radio edit (acha ile version iliyofanyiwa video) ilikuwa ina unyama sana wa production na mixing ambao mpaka sasa producers wengine kibongo wanaweza wakawa hawana ujuzi nao
AY - Raha tu (original version)
Mez B - Fikiria (iilikuwa ngoma kali sana)
HipHop Mdundiko - Mambo Jambo
Mkao wa Kula - Mambo Jambo
Mchizi Mox - Mambo vipi

List ni ndefu sana aisee,
Kuna swali niliona jana lilinifikirisha, Naomba ushirikiano maana nakuona uliifatilia game kwa umakini

Maprodyuza na Wasanii wengi wakongwe kwa midomo yao wamekua wakitoa kauli mara kadhaa kwenye media kwamba mziki enzi hizo ulikuwa haulipi na walikuwa wanafanya kwajili ya mapenzi tu ya kuikuza sanaa

Hapa kwa Mika Mwamba ilikuwaje sasa ?, maana alikuwa anatokea kwao huko serious kabosa anakuja kupiga kazi ya muziki hapa Bongo, Kama mziki ulikuwa haulipi inakuwaje sasa huyu Mzungu alikuwa anatoka kwao huko kwenye uchumi mzuri anakuja Bongo kwenye mziki uliokuwa na maslahi kidogo ?

Au alikuwa anafanya kwa hobby tu zile burudani za wazungu kama wanavyopenda kusoma vitabu ila pembeni anapiga mishe zingine ?
 
Mindset zetu ndivyo zilivyosetiwa mashuleni, kuiepuka hii mindset hadi ufeli shule ama uwe na akili ya ziada kujitambua
Hakika. Mzungu katoka kwao kaona fursa Bongo na katoboa. Ila kijana kasoma zake BA Archaeology sijui BA Sociology nae analalamika ajira kutwa kulilia Ajira za Sensa au halmashauri
 
Hakika. Mzungu katoka kwao kaona fursa Bongo na katoboa. Ila kijana kasoma zake BA Archaeology sijui BA Sociology nae analalamika ajira kutwa kulilia Ajira za Sensa au halmashauri
Hatuwekezi kwenye kujifunza ujuzi binafsi kwenye kazi za mikono na vipaji.

Leo hii wahitimu wengi ukiwapora vyeti vyao wanalala njaa, hata kushona kiatu mtaani hawezi, hata waliokuwa na vipaji vya kuimba ama kutengeneza beats wakiwa wadogo walishavifukia kwa kuamini elimu ina thamani kuzidi hizo zawadi adimu walizobarikiwa, hatukatai elimu ni muhimu ila tujue ku balance mambo.
 
Hatuwekezi kwenye kujifunza ujuzi binafsi kwenye kazi za mikono na vipaji.

Leo hii wahitimu wengi ukiwapora vyeti vyao wanalala njaa, hata kushona kiatu mtaani hawezi, kipaji chake cha kuimba ama kutengeneza beats akiwa sekondari kilishafukiwa na wazazi wake waliokuwa wanamwambia aachane nacho ajikite tu kwenye masomo,
Daah. Hapo kijana anataka awe na gari, nyumba, na lifestyle ya insta kama Celebrities. Ila pesa hana matokeo yake yanasikitisha Nlni ama aibe au aolewe na wenye pesa hatimae LGBTQ
 
Maprodyuza na Wasanii wengi wakongwe kwa midomo yao wamekua wakitoa kauli mara kadhaa kwenye media kwamba mziki enzi hizo ulikuwa haulipi na walikuwa wanafanya kwajili ya mapenzi tu ya kuikuza sanaa
Master J na P Funk walishalijibu hili swali mara nyingi tu kwenye interview zao kwamba mziki zamani ulilipa lkn wanamziki ndio walikuwa wajinga tu
 
IMG_1985.jpg
 
Duh nilivyokua nasikia Mika mwamba sikutegemea angekua Mzungu ndio nimemuona leo haha
 
Mi NAIKUBALI ya mad ice baby girl ....halafu jamaa.mad ice Yuko Finland na MKE MZUNGU because of Mika.mwamba alimuamini kwamba mad ice ni talented aisee Ile baby girl kile kibanda ni hatari sana jamaa.kweli. mwamba kama JINA lake Mika mwamba
 
Back
Top Bottom