Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Mwalimu mkuu mama yako.Wananchi watapiga kura tu, mengine hayawahusu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwalimu mkuu mama yako.Wananchi watapiga kura tu, mengine hayawahusu
Nashauri mikakati mikali ifanyike kuhakikisha Hawa jamaa bunge walione kwenye TV tu. Hata kama itachukua gharama kiasi gani.
Ni watu wa hovyo wanaopenda vurugu na magomvi
ni muhimu sana kuwadhibiti kwa kujiridhisha tu,
but,
kiuhalisia nikuhakushieni tu kwamba, hakuna hakuna jimbo la uchaguzi wa Tanzania linaweza kuwaruhusu watu kama Lema na Heche achilia mbali kushinda uchaguzi, hawastahili hata kuruhusiwa kugombea udiwani tu tu 🐒
Hata ccm wapo wengi sanaKuondoa generation ya wana siasa wa hovyo
Kimsingi hawawezi wapa majimbo si wanajikutaNashauri mikakati mikali ifanyike kuhakikisha Hawa jamaa bunge walione kwenye TV tu. Hata kama itachukua gharama kiasi gani.
Ni watu wa hovyo wanaopenda vurugu na magomvi
ni muhimu watu wa fujo na vurugu kudhibitiwa mapema uongoziniKwani ma CCM mngewapendelea zaidi kina nani?

Wamesema hawagombei.WanafikiNashauri mikakati mikali ifanyike kuhakikisha Hawa jamaa bunge walione kwenye TV tu. Hata kama itachukua gharama kiasi gani.
Ni watu wa hovyo wanaopenda vurugu na magomvi
Ili iweje?Nashauri mikakati mikali ifanyike kuhakikisha Hawa jamaa bunge walione kwenye TV tu. Hata kama itachukua gharama kiasi gani.
Ni watu wa hovyo wanaopenda vurugu na magomvi